Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
- Thread starter
- #101
mje tu ila hakuna siku ambae mtakuwa na sisi ama mbele yetu...even in 100yrswatz tunakuja juu saivi uongo mbaya hadi wakenya tumeanza kulingishana maendeleo, kenya mko mbele kwa maendeleo sikatai, ila kwa siku za karibuni tumekuwa tukiwakimbiza ille mbaaaaaaaaaaaya.