Treni za SGR kuongezwa maana wasafiri wamepitiliza

Treni za SGR kuongezwa maana wasafiri wamepitiliza

Yeye kama hapendi mambo mazuri ya jirani zetu Kenya ni yeye lakini asitulazimishe watanzania wote tuwachukie Ndugu zetu wakenya
Kwani huwezi kusifia Kenya bila kutuhusisha watz na maneno yako hasi?
 
What football do you have??? Hiyo yanga yanga sijui simba inachpwa na Nakuru allstars....Wadanganyika wa wali
Don't be so exited, it was
Yanga-B,
Simba -B

By the way, Hongereni Wakenya.
Naona at first time wachezaji wenu wamecheza kwenye pitch ya Kisasa.
 
Usafiri wa Treni ni mzuri sana iwapo tu railway maintanance ni ya hali ya juu,kwasababu kama maintanance ni mbovu automatically speed ya trains itapunguzwa na hapo ndipo umaana wa kusafiri na Train unapo ondoka.
 
Who cares, tunatengeneza pesa nyingi kuliko SGR yenu. Nenda kamalizie chang'aa yako wasije wakakumalizia, ushalewa wewe sio bure.

Tihahahhaaaaa... Laughing at you now i have truly confirmed and configured the ujamaa brain in you
 
Don't be so exited, it was
Yanga-B,
Simba -B

By the way, Hongereni Wakenya.
Naona at first time wachezaji wenu wamecheza kwenye pitch ya Kisasa.
Excited*

Pili Leteni hlo Taifa stars yenu GOR itaichapa 10 nil

1496950846735.png
1496950858993.png
 
Don't be so exited, it was
Yanga-B,
Simba -B

By the way, Hongereni Wakenya.
Naona at first time wachezaji wenu wamecheza kwenye pitch ya Kisasa.
Tatu umesahau Kenya ndio Nchi pekeyake EAC ina wachezaji
Wawili EPL
wasaba ligue1 ufaransa
Na 23 other in leagues across Europe na hyo no football pekee hatujaenda Rugby!!!

Kalisha Haga!!!.....
Na Kenya National team ina prepare kwa mechi ya Gabon.....sisi sio kama nyinyi tunajua hao wachezaji wa Yanga na Simba Team A ndio wale wa Taifa

Harambe stars Players wako Uchina, Europa, Afrika Kusini Egypt etc .....
 
Waambieni Gor Mahia wasilete upuuzi wao wa kurusha mawe Tanzania.
Sasa nani anaongelea juu ya mawe??

Smh kuleni L

Gor mahia ilishinda
AFRIKA cup Kule Cairo Misri 1987
Against Setif ya Tunisia

Mwaka 1989 ikakuwa ya pili!!!

Kenya Breweries 1995 ilikuwa ya pili baada ya kufika final ikabanduliwa nje na Al ahly ya Egypt

AFC leopards pia ilifika Finals mara mbili......Niambie timu gani ya Tz imewai fika mbali hvo smh


Gor Fans From as Early as 1990s walikuwa wanarusha mawe wakishindwa tumewazoea hata Mtukufu Moi amewazoea ...
1496951258751.png
 
Sasa nani anaongelea juu ya mawe??

Smh kuleni L

Gor mahia ilishinda
AFRIKA cup Kule Cairo Misri 1987
Against Setif ya Tunisia

Mwaka 1989 ikakuwa ya pili!!!

Kenya Breweries 1995 ilikuwa ya pili baada ya kufika final ikabanduliwa nje na Al ahly ya Egypt

AFC leopards pia ilifika Finals mara mbili......Niambie timu gani ya Tz imewai fika mbali hvo smh


Gor Fans From as Early as 1990s walikuwa wanarusha mawe wakishindwa tumewazoea hata Mtukufu Moi amewazoea ...
View attachment 521430

Angalia fainali ya kombe la CAF 1993 ilikuwa nani na nani. Halafu kwa miaka ya karibuni timu za Tanzania zinafika mbali kuliko timu zenu. Muda wa kulala umefika, alamsiki.
 
Acha uongo usiokua na maana kama unapanda Lori ni we na hao ndugu zako mabwege,,,Tanzania asilimia kubwa imepitiwa na Barbara za lami sasa kila mkoa kuna usafir was mabus tena ya kisasa kuliko nchi yoyote afrika mashari....hao wakenya hiyo tren kutoka Mombasa kwenda Nairobi ndo unazuzuka wakati asilimia kubwa ya miji ya kenya haina Barbara wala usafir wa uhakika...Mombasa to Nairobi ni sawa na Dar to Mwanza sasa usafir was bus za kisasa zinazotoka dar to Mwanza ww unapopanda Lori na ndugu zako mnaonekana ni mabwege na mtaibiwa sana coz haujielewi na ndugu zako
Dereva wa Lori unamfahamu?, acha ujinga we bwege
 
Back
Top Bottom