Treni zote za SGR Kupewa majina ya Viongozi

Treni zote za SGR Kupewa majina ya Viongozi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ndio kauli mpya kutoka kwa Waziri wa Uchukuzi Mh Makame Mbarawa

HATA HIVYO MIMI NAPINGA JAMBO HILO KWA NGUVU ZOTE NA NITAHAKIKISHA HALITEKELEZWI KWA SABABU HALINA MAANA YOYOTE KWA WANANCHI NA WALA HALITOSAIDIA CHOCHOTE

Majina ya viongozi yabaki kuwa mali ya familia zao kwa faida ya koo zao

Muhimu: Tunatoa wito kwa familia za viongozi walio hai na waliokufa wakatae jambo hili kwa heshima ya watu wao, Wasijiingize kwenye LAANA YA UBINAFSI
---

1722536959792.png
Treni zetu za umeme za SGR tutazipa majina mbalimbali zipo ambazo zitapewa majina ya Marais na wakuu wa Nchi kama Samia Express au Magufuli Express na zipo nyingine tutazipa majina ya vivutio kama Sengereti express ili kuzifanyia branding mtu hata ukiwa nyumbani uwe unajua unasafiri na treni gani na muda gani hivyo natoa wito kwa watanzania huu ni usafiri wetu tuutumie na tuupende"

"Treni ya umeme ya SGR itakuwa na uwezo wa kubeba hadi tani elfu 10 ambayo ni sawa na malori 500 kwa wakati mmoja na inatarajiwa kuwa itapunguza msongamano wa mizigo bandarini na kupunguza uharibifu wa miundombinu ya barabara, Tanzania ndio nchi pekee Afrika yenye mtandao mkubwa wa reli ya umeme ambapo kwasasa zaidi ya kilomita 720 zimeunganishwa" - Prof Makame Mbarawa, Waziri wa Uchukuz
 
Hii ndio kauli mpya kutoka kwa Waziri wa Uchukuzi Mh Makame Mbarawa

View attachment 3056852View attachment 3056853

HATA HIVYO MIMI NAPINGA JAMBO HILO KWA NGUVU ZOTE NA NITAHAKIKISHA HALITEKELEZWI KWA SABABU HALINA MAANA YOYOTE KWA WANANCHI NA WALA HALITOSAIDIA CHOCHOTE

Majina ya viongozi yabaki kuwa mali ya familia zao kwa faida ya koo zao
Ni upuuzi tupu.

Mbona Jalala (Dampo) Kuu la takataka la Pugu Kinyamwezi hawaligombei ili liitwe kwa majina yao??? Kwa nini??
 
Hii ndio kauli mpya kutoka kwa Waziri wa Uchukuzi Mh Makame Mbarawa

View attachment 3056852View attachment 3056853

HATA HIVYO MIMI NAPINGA JAMBO HILO KWA NGUVU ZOTE NA NITAHAKIKISHA HALITEKELEZWI KWA SABABU HALINA MAANA YOYOTE KWA WANANCHI NA WALA HALITOSAIDIA CHOCHOTE

Majina ya viongozi yabaki kuwa mali ya familia zao kwa faida ya koo zao
Hospitali, mabwawa, madaraja, makaburi yao, mitaa, barabara na vituo vya mabasi vyote niali ya CCM! Wanatuona mazoba kwa sababu hatuna GenZ.
 
Hii ndio kauli mpya kutoka kwa Waziri wa Uchukuzi Mh Makame Mbarawa

View attachment 3056852View attachment 3056853

HATA HIVYO MIMI NAPINGA JAMBO HILO KWA NGUVU ZOTE NA NITAHAKIKISHA HALITEKELEZWI KWA SABABU HALINA MAANA YOYOTE KWA WANANCHI NA WALA HALITOSAIDIA CHOCHOTE

Majina ya viongozi yabaki kuwa mali ya familia zao kwa faida ya koo zao
Mpaka sasa treni zote za mchongoko zilizofika zina majina ya viongozi. Treni ya kwanza kufika ilipewa jina la Nyerere Express, kisha zikafatia Samia Express, Magufuli Express nk.
 
Hii ndio kauli mpya kutoka kwa Waziri wa Uchukuzi Mh Makame Mbarawa

View attachment 3056852View attachment 3056853

HATA HIVYO MIMI NAPINGA JAMBO HILO KWA NGUVU ZOTE NA NITAHAKIKISHA HALITEKELEZWI KWA SABABU HALINA MAANA YOYOTE KWA WANANCHI NA WALA HALITOSAIDIA CHOCHOTE.

Majina ya viongozi yabaki kuwa mali ya familia zao kwa faida ya koo zao
Huyu anasema nini?
Ukiingia kwenye train zenyewe ni matangazo ya samia mwanzo mwisho hadi kero.
Hayo hayatoshi?
 
Hii ndio kauli mpya kutoka kwa Waziri wa Uchukuzi Mh Makame Mbarawa

View attachment 3056852View attachment 3056853

HATA HIVYO MIMI NAPINGA JAMBO HILO KWA NGUVU ZOTE NA NITAHAKIKISHA HALITEKELEZWI KWA SABABU HALINA MAANA YOYOTE KWA WANANCHI NA WALA HALITOSAIDIA CHOCHOTE

Majina ya viongozi yabaki kuwa mali ya familia zao kwa faida ya koo zao
Huyu Waziri si ndiye yule alifundishwa kuvuta bangi na Magufuli , apuuzwe tu atakuwa ameshalivutatena lile la Njombe.
 
Hii ndio kauli mpya kutoka kwa Waziri wa Uchukuzi Mh Makame Mbarawa

View attachment 3056852View attachment 3056853

HATA HIVYO MIMI NAPINGA JAMBO HILO KWA NGUVU ZOTE NA NITAHAKIKISHA HALITEKELEZWI KWA SABABU HALINA MAANA YOYOTE KWA WANANCHI NA WALA HALITOSAIDIA CHOCHOTE

Majina ya viongozi yabaki kuwa mali ya familia zao kwa faida ya koo zao
Watu wengine kujidhalilisha hawajui yaani anatangaza hadharani kabisaa sasa majina ya viongozi ya nini kwa mfano
 
Ni upuuzi tupu.

Mbona Jalala (Dampo) Kuu la takataka la Pugu Kinyamwezi hawaligombei ili liitwe kwa majina yao??? Kwa nini??
Unataka liitweje, DAMPO LA SAMIA😂🤣

Mie sipingi miradi kuipa majina yao, majina si kitu, muhimu ni maendeleo, vitu vya maana vifanyike.
 
Back
Top Bottom