Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio kauli mpya kutoka kwa Waziri wa Uchukuzi Mh Makame Mbarawa
HATA HIVYO MIMI NAPINGA JAMBO HILO KWA NGUVU ZOTE NA NITAHAKIKISHA HALITEKELEZWI KWA SABABU HALINA MAANA YOYOTE KWA WANANCHI NA WALA HALITOSAIDIA CHOCHOTE
Majina ya viongozi yabaki kuwa mali ya familia zao kwa faida ya koo zao
Muhimu: Tunatoa wito kwa familia za viongozi walio hai na waliokufa wakatae jambo hili kwa heshima ya watu wao, Wasijiingize kwenye LAANA YA UBINAFSI
---
Treni zetu za umeme za SGR tutazipa majina mbalimbali zipo ambazo zitapewa majina ya Marais na wakuu wa Nchi kama Samia Express au Magufuli Express na zipo nyingine tutazipa majina ya vivutio kama Sengereti express ili kuzifanyia branding mtu hata ukiwa nyumbani uwe unajua unasafiri na treni gani na muda gani hivyo natoa wito kwa watanzania huu ni usafiri wetu tuutumie na tuupende"
"Treni ya umeme ya SGR itakuwa na uwezo wa kubeba hadi tani elfu 10 ambayo ni sawa na malori 500 kwa wakati mmoja na inatarajiwa kuwa itapunguza msongamano wa mizigo bandarini na kupunguza uharibifu wa miundombinu ya barabara, Tanzania ndio nchi pekee Afrika yenye mtandao mkubwa wa reli ya umeme ambapo kwasasa zaidi ya kilomita 720 zimeunganishwa" - Prof Makame Mbarawa, Waziri wa Uchukuz
HATA HIVYO MIMI NAPINGA JAMBO HILO KWA NGUVU ZOTE NA NITAHAKIKISHA HALITEKELEZWI KWA SABABU HALINA MAANA YOYOTE KWA WANANCHI NA WALA HALITOSAIDIA CHOCHOTE
Majina ya viongozi yabaki kuwa mali ya familia zao kwa faida ya koo zao
Muhimu: Tunatoa wito kwa familia za viongozi walio hai na waliokufa wakatae jambo hili kwa heshima ya watu wao, Wasijiingize kwenye LAANA YA UBINAFSI
---
"Treni ya umeme ya SGR itakuwa na uwezo wa kubeba hadi tani elfu 10 ambayo ni sawa na malori 500 kwa wakati mmoja na inatarajiwa kuwa itapunguza msongamano wa mizigo bandarini na kupunguza uharibifu wa miundombinu ya barabara, Tanzania ndio nchi pekee Afrika yenye mtandao mkubwa wa reli ya umeme ambapo kwasasa zaidi ya kilomita 720 zimeunganishwa" - Prof Makame Mbarawa, Waziri wa Uchukuz