Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mtoto akililia wembe mpeHivi yule Dada wa CCM alifikiria nini?
Atavuna anachopandaTulia kalishwa matango pori.
kwenye mkutano anaweka audio eti akiwa bungeni aliwaombea umeme na maji...
Hivi Betina alishaanza kampeni?Atavuna anachopanda
alizindua , sasa sijajua kama anaendelea au kajitoa kuepuka aibuHivi Betina alishaanza kampeni?
Bujibuji uko wapi? Hiyo ndiyo Moon Bay a.k.a Mbeya! Kumyitu! πHii hapa ni kata ya Iganzo , huyu mtu anasafisha mji kwa kushirikiana na watenda kazi wa hapohapo Mbeya , akiwemo mtu mzito John Mwambigija...
πππBujibuji uko wapi? Hiyo ndiyo Moon Bay a.k.a Mbeya! Kumyitu! π
Dah kweli katumia K yake vibayaalizindua , sasa sijajua kama anaendelea au kajitoa kuepuka aibu
Hana maana.Hivi yule Dada wa ccm alifikiria nini
Anautaka uspika, pia alijua yale ya uchaguzi wa serikali za mitaa yatajirudia, ndio maana walianza kupora wagombea fomu, ili wasipitishwe.Betina bana kauzu kweli angeenda viti maalum