Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Mbarali hiyo ![emoji111][emoji111]View attachment 1570973
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbarali hiyo ![emoji111][emoji111]View attachment 1570973
Amekwama vibaya sana !Anautaka uspika, pia alijua yale ya uchaguzi wa serikali za mitaa yatajirudia, ndio maana walianza kupora wagombea fomu, ili wasipitishwe.
Kwenye mkutano anaweka audio eti akiwa bungeni aliwaombea umeme na maji. akisahau yeye aliteuliwa kama mbunge wa Dar...[emoji30][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulia kalishwa matango pori.
Kwenye mkutano anaweka audio eti akiwa bungeni aliwaombea umeme na maji. akisahau yeye aliteuliwa kama mbunge wa Dar...
Hoja yake kubwa ni kuwa alianza kuwasaidia kabla hajawa mbunge.. (yale yale ya Lowassa na mafuriko)..
Kwa mtu aliyepo Mbeya atakubaliana na mimi kuwa Bettina ana hali mbaya.. kila akienda anasomba vijana ila bado hamfikii hata robo muhuni Sugu.