Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unawaza kula tu?"TRIANGLE ATTACK" kwa kiswahili ni "KUPIGWA MTUNGO" (Wanafalsafa wa Uzinzi wanajua maana yake kwa ufasaha na madhara ya mpigwa mtungo).
Tena ni mtu aaeyejulikana.Hivi ccm ilikosa kabisa wagombea hadi kumteua Ighondu ?
hakuna msafi ndani ya hicho chama, kuna wacheza picha za ngono, wezi, majambazi, wauaji, watekaji, sasa atachaguliwa nani mkuu zaidi ya hao hao???????Hivi ccm ilikosa kabisa wagombea hadi kumteua Ighondu ?
hakuna msafi ndani ya hicho chama, kuna wacheza picha za ngono, wezi, majambazi, wauaji, watekaji, sasa atachaguliwa nani mkuu zaidi ya hao hao???????
Huyo mhuni anagombea ubunge wakati alistahili kuwa ndani ya jela akisubiri kunyongwa!!!Hebu tuwekeeni picha ya huyo IGHONDU maana huyu bwana amesemwa sana kuhusika na utekaji!!
Kwani kuna msafi huko ccm??Hivi ccm ilikosa kabisa wagombea hadi kumteua Ighondu ?
Tupia picha ya mtekaji RAMADHANI IGHONDU tafadhaliLazaro Nyalandu ni kama ameiua CCM Mkoa mzima wa Singida maana hata wakati Lissu akiwa nje ya nchi kwa matibabu, Mh Nyalandu aliendelea kuifyeka CCM bila huruma...
hii picha mbona photoshopLazaro Nyalandu ni kama ameiua CCM Mkoa mzima wa Singida maana hata wakati Lissu akiwa nje ya nchi kwa matibabu, Mh Nyalandu aliendelea kuifyeka CCM bila huruma....
HatiaIghondu ana shida gani mkuu ?
Angalia hiihakuna msafi ndani ya hicho chama, kuna wacheza picha za ngono, wezi, majambazi, wauaji, watekaji, sasa atachaguliwa nani mkuu zaidi ya hao hao???????
ALIKUWA ASIYEJULIAKANA KWA ULIMBOKAIghondu ana shida gani mkuu ?
Ighondu ana shida gani mkuu ?
Mungu amlinde na kumpa nguvuNyalandu ni mtu mwenye hofu sana ya Mungu. Anashindana na Ramadhani Ighondu mtekaji na mtesaji binadamu. Wema unashindana na uovu
Na maombi yako yatimizweNapendekeza Lazarus Nyalandu apewe Uwaziri wa Foreign. Affairs na Mhe. Rais Tundu Antipas Mughwayi Lissu baada ya tarehe 28/10/2020
Ni shetani huyo tena ibilisi wa mguu mmoja.Hebu tuwekeeni picha ya huyo IGHONDU maana huyu bwana amesemwa sana kuhusika na utekaji!!
He is a killerIghondu ana shida gani mkuu ?
God bless the ManLazaro Nyalandu ni kama ameiua CCM Mkoa mzima wa Singida maana hata wakati Lissu akiwa nje ya nchi kwa matibabu, Mh Nyalandu aliendelea kuifyeka CCM bila huruma. Mpinzani wake wa CCM anaitwa Ramadhan Ighondu, mtu anayetajwa bila kukanusha kuhusika na kumteka na kumtesa kinyama kiongozi wa chama cha Madaktari Tanzania, Dr. Ulimboka kwa lengo la kumuua. Hata wana Singida wangekuwa wamelogwa na kufanywa misukule wasingeweza kuchagua mbunge wa aina ya Ighondu.
Pichani ni Mh Nyalandu akiwa kwenye kampeni jimboni kwake.