Uchaguzi 2020 TRIANGLE ATTACK: Lazaro Nyalandu atikisa Singida Kaskazini, ni kama anasubiri kuapishwa tu

Hapa ni Nyalandu basi. Huyo mwingine aendelee na hiyo kazi akisubiri majibu ya Mungu wetu. Mungu ni wetu sote.
 
Lazaro Nyalandu ni kama ameiua CCM Mkoa mzima wa Singida maana hata wakati Lissu akiwa nje ya nchi kwa matibabu, Mh Nyalandu aliendelea kuifyeka CCM bila huruma....
hii picha mbona photoshop
 
hakuna msafi ndani ya hicho chama, kuna wacheza picha za ngono, wezi, majambazi, wauaji, watekaji, sasa atachaguliwa nani mkuu zaidi ya hao hao???????
Angalia hii
 

Attachments

  • Yani huko Kawe hadi Mbuzi hawamtaki Gwajima ilihali Mbuzi hawapigi kura. ( 640 X 640 ).mp4
    3.5 MB
God bless the Man
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…