Uchaguzi 2020 TRIANGLE ATTACK: Lazaro Nyalandu atikisa Singida Kaskazini, ni kama anasubiri kuapishwa tu

Uchaguzi 2020 TRIANGLE ATTACK: Lazaro Nyalandu atikisa Singida Kaskazini, ni kama anasubiri kuapishwa tu

Nyalandu ni mtu mwenye hofu sana ya Mungu. Anashindana na Ramadhani Ighondu mtekaji na mtesaji binadamu. Wema unashindana na uovu

Hapo kwenye HOFU SANA ya Mungu mh Hapana, umetumia kipindi gani na kinauzwa wapi mama nakuitaji
 
Kuna mtu alikua akipeleka kufua suti zake Ulaya.
 
Lazaro Nyalandu ni kama ameiua CCM Mkoa mzima wa Singida maana hata wakati Lissu akiwa nje ya nchi kwa matibabu, Mh Nyalandu aliendelea kuifyeka CCM bila huruma. Mpinzani wake wa CCM anaitwa Ramadhan Ighondu, mtu anayetajwa bila kukanusha kuhusika na kumteka na kumtesa kinyama kiongozi wa chama cha Madaktari Tanzania, Dr. Ulimboka kwa lengo la kumuua. Hata wana Singida wangekuwa wamelogwa na kufanywa misukule wasingeweza kuchagua mbunge wa aina ya Ighondu.

Pichani ni Mh Nyalandu akiwa kwenye kampeni jimboni kwake.

Umefika darasa la ngapi ?!
 
Nyalandu anatakiwa afanye kampeni mpaka Singida Mjini na majimbo mengine CDM waliyoweka wagombea, ana haiba nzuri ya kisiasa, anaonekana mstaarabu, anafahamika zaidi, anafaa sana kuwatangaza wagombea wengine wa Chadema mkoa wa Singida.
 
Nyalandu is veru humble.........

Ili kumuenzi mbeba maono Tundu Lissu nawaasa sana wanasingida wasiruhusu jimbo hata moja kwenda kwa wauaji ccm
 
Lazaro Nyalandu ni kama ameiua CCM Mkoa mzima wa Singida maana hata wakati Lissu akiwa nje ya nchi kwa matibabu, Mh Nyalandu aliendelea kuifyeka CCM bila huruma. Mpinzani wake wa CCM anaitwa Ramadhan Ighondu, mtu anayetajwa bila kukanusha kuhusika na kumteka na kumtesa kinyama kiongozi wa chama cha Madaktari Tanzania, Dr. Ulimboka kwa lengo la kumuua. Hata wana Singida wangekuwa wamelogwa na kufanywa misukule wasingeweza kuchagua mbunge wa aina ya Ighondu.

Pichani ni Mh Nyalandu akiwa kwenye kampeni jimboni kwake.

Ighondu ndo alimuua Dk Mvungi, eti wamewatoa kafara wale vijana
 
Back
Top Bottom