bulicheka 4
JF-Expert Member
- Mar 22, 2020
- 915
- 1,019
The same to Jiwe na LisuNyalandu ni mtu mwenye hofu sana ya Mungu. Anashindana na Ramadhani Ighondu mtekaji na mtesaji binadamu. Wema unashindana na uovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The same to Jiwe na LisuNyalandu ni mtu mwenye hofu sana ya Mungu. Anashindana na Ramadhani Ighondu mtekaji na mtesaji binadamu. Wema unashindana na uovu
Nyalandu ni mtu mwenye hofu sana ya Mungu. Anashindana na Ramadhani Ighondu mtekaji na mtesaji binadamu. Wema unashindana na uovu
Umefika darasa la ngapi ?!Lazaro Nyalandu ni kama ameiua CCM Mkoa mzima wa Singida maana hata wakati Lissu akiwa nje ya nchi kwa matibabu, Mh Nyalandu aliendelea kuifyeka CCM bila huruma. Mpinzani wake wa CCM anaitwa Ramadhan Ighondu, mtu anayetajwa bila kukanusha kuhusika na kumteka na kumtesa kinyama kiongozi wa chama cha Madaktari Tanzania, Dr. Ulimboka kwa lengo la kumuua. Hata wana Singida wangekuwa wamelogwa na kufanywa misukule wasingeweza kuchagua mbunge wa aina ya Ighondu.
Pichani ni Mh Nyalandu akiwa kwenye kampeni jimboni kwake.
Tunawakumbusha tuu ccm wasipotoka 2020 , 2025 tunarudi tena huu ni mwendelezo.
Kuna mtu alikua akipeleka kufua suti zake Ulaya.
Ccm wanalipa fadhilaHivi ccm ilikosa kabisa wagombea hadi kumteua Ighondu ?
Umefika darasa la ngapi ?!
Anajua Kusoma& Kuandika. Kwani Sifa za Wagombea wa CCM ni Elimu gani?
[/QUOTE
Lema amefika la ngapi? Sugu naye la ngapi?
kama ya bashiteAnajua Kusoma& Kuandika. Kwani Sifa za Wagombea wa CCM ni Elimu gani?
Inahitaji waovu wenzao kutawala.Hivi ccm ilikosa kabisa wagombea hadi kumteua Ighondu ?
Ighondu ndo alimuua Dk Mvungi, eti wamewatoa kafara wale vijanaLazaro Nyalandu ni kama ameiua CCM Mkoa mzima wa Singida maana hata wakati Lissu akiwa nje ya nchi kwa matibabu, Mh Nyalandu aliendelea kuifyeka CCM bila huruma. Mpinzani wake wa CCM anaitwa Ramadhan Ighondu, mtu anayetajwa bila kukanusha kuhusika na kumteka na kumtesa kinyama kiongozi wa chama cha Madaktari Tanzania, Dr. Ulimboka kwa lengo la kumuua. Hata wana Singida wangekuwa wamelogwa na kufanywa misukule wasingeweza kuchagua mbunge wa aina ya Ighondu.
Pichani ni Mh Nyalandu akiwa kwenye kampeni jimboni kwake.
mueleweshe kwa faida ya wengi, wakati yale maseke yanatokea wengine walikua wadogo na hata mitandao ilikua bado wavivu wakusoma magazeti hasa ya siasa walikua wanapitwa na mambo mengiKama hujui hujui tu
Eee bhana eeee !!Ighondu ndo alimuua Dk Mvungi, eti wamewatoa kafara wale vijana
[emoji106]Hofu ya nani[emoji1786][emoji1786][emoji1786]
Sema yuko smart kichwani tuu inatosha
Kuna Johnstone Lusinde- Kibajaji na Msukuma wote Darasa la Saba tena waliofeli....!!!