Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii alikuwa anamsifia dikteta wa Zaire, MOBUTU SESESEKO NZAMUBANGA WA ZABANGA KUKU NGEBEDU. [emoji23]Mobutu seseseko.....
Mario wapo wengi sana Dsm , kazi yao ni kufuga ndevu na kubeba Mapochi ya vibibi vizee [emoji23]Huyo marioo Hana tofauti na vijana wa darisalama
Yeah, alipotoka gerezani ili kuepusha Shari akaamua kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa!! Madikteta bhana.Hii alikuwa anamsifia dikteta wa Zaire, MOBUTU SESESEKO NZAMUBANGA WA ZABANGA KUKU NGEBEDU. [emoji23]
Hiki Kibao Ni kikali sana! Ukute live utaipenda!Pesa position
Mobutu mzee wa BataYeah, alipotoka gerezani ili kuepusha Shari akaamua kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa!! Madikteta bhana.
Nna ngoma zake zote jamaa baada ya kurehemika madiluu alishindwa kuvaa viatu vyake kabisaPeuch del sol, Kamikaze, freins a man, kila kibao Cha huyu mwamba ni kitamu mnoo! Haviishi utamu Wala havichuji. Halafu alibahatika kupata waaimbaji wenye sauti tamu Sana. Madilu, Simaroo masiya Lutumba na wengineo! Plani yangu hapo baadae ni kununua player na LP zote za Tp Ok Jazz uzeeni nnaburudika tuu!
Kombo ya sika ba Zairois ba pesi1.Mamou
2.Candidat na biso mobutu(hapa alimsifu sana rais Mobutu. Huu ulikuwa wimbo kwenye kampeni ya uchuguzi ule ulionekana kuwa mgumu sana kwa Mobutu
Ushindi wake Mobutu ulichagizwa na wimbo huu wa Franco.
3.Mario
4.Azda(ndio ninao usikiliza muda huu)
[emoji23][emoji23]Peuch del sol, Kamikaze, freins a man, kila kibao Cha huyu mwamba ni kitamu mnoo! Haviishi utamu Wala havichuji. Halafu alibahatika kupata waaimbaji wenye sauti tamu Sana. Madilu, Simaroo masiya Lutumba na wengineo! Plani yangu hapo baadae ni kununua player na LP zote za Tp Ok Jazz uzeeni nnaburudika tuu!
AZDA ulitungwa 1973 lakini ukawa released 74. hapa Kuna ufundi wa solo wa hali ya juu. Wakati huo Madilu bado hajafika TP OK JazzKuna azda
Akiwa jela alitunga wimbo unaitwa Mokolo Tonga.Yeah, alipotoka gerezani ili kuepusha Shari akaamua kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa!! Madikteta bhana.