Tribute to Mwana JF Mwenzetu William Malecela Le Mutuz, Alikuwa Mtu wa Watu

Umetisha Mayalla.. Marehemu Senyagwa nakumbuka aliwahi kukimbiza"Dabate" Dar es Salaam kupitia Tambaza.. Alimwaga mayai balaa.
 
Kuna msiba mwingine mkubwa ulitokea JF, warumi alided
 
Huyu Babu hakuwa na noma, niliwahi mjibu hovyo ila hakupanic alicheka tu, enzi za uchaguzi 2015
 
Sasa wanamaliza zote hizo?[emoji28][emoji28]

Ila wasukuma wako washamba sana

Nyani Ngabu

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…