Tribute to William Ole Nasha: Alikuwa Miongoni Mwa Viongozi Wachache Bonafide Genuine Wazalendo wa Kweli waTaifa Hili. RIP Comred William Ole Nasha!

Kule yamejazana manyang'anyi tupu
 
Hata siku akienda Mtemi Chenge utasema hivi hivi mpk tunajiuliza hao wezi walio CCM ni akina nani
 
Mkuu Kasomi , kama jina lako lilivyo, ni wachache sana humu jf, wanaweza kusoma bandiko na kuibaini the central message
Thanks kwa kunielewa, kiukweli ni watu wachache humu wananielewa.
P
P,watu wanakuelewa sana na kuna watu waelewa sana ila hoja yao ni kwamba hakuna mtu mwadilifu ndani ya CCM na hoja yao ni kwamba wote walitoa mlungula wakati wa uchaguzi.
 
Mkuu, Pole sana kwa msiba huu wa kiongozi uliyebahatika kumuhoji ukiwa mwandishi na mtangazaji wa habari. Ukweli kifo cha Mheshimiwa Ole Nasha (R.I.P) kimetusikitisha watanzania tuliowengi.

Nikirejea kwenye nukuu hapo juu, nasita kuamini kama na wewe Mkuu ni mmoja ya wale wanaotaka iwepo E-vaccine passport hapa nchini, itungwe sheria ya kuwafukuza kazi wafanyakazi wote wa serikali na mashirika na makampuni binafsi ambao hawajachanjwa, itungwe sheria ya kuwafukuza wakulima wote kwenye mashamba yao ambao hawajachanja, itungwe sheria ya kuwafukuza wavuvi na wawindaji wote kutoka kwenye mito, maziwa , bahari, mabwawa, mbuga ambao hawaja chanjwa; na itungwe sheria ya kuwalinda wafanyabiashara wakubwa wasibughuziwe kwa masuala ya chanjo kwa sababu wanalipa kodi kubwa kubwa.

Mkuu, nasema nasita kuyaamini haya kwa sababu sidhani kama nawe pia upo mstari wa mbele kuahkikisha chanjo zinadungwa kwa kila mtu bila kujali hali halisi ya mtu kuhitaji chanjo muda huu ama ujao kwa kuzingatia vigezo vya afya ya mtu huyo.

Mama yetu kiongozi wa nchi anajua kuna umuhimu wa kuhakiki hali halisi ya mtu kabla ya kudungwa chanjo, ndiyo maana anasema , kuchanja ni uamuzi wa mtu binafsi na halazimishwi ingawa chanjo ni muhimu kwa wanaohitaji.

Bado nasisitiza nasita kuamini, mkuu mleta mada unaunga mkono niliyoandika aya ya pili na tatu ya bandiko hili.
 

Kaka Pascal, ulikusudia nini hapakwa andiko hili, umeongelea wasifu wako kitasnia, umeongelea chanjo, kisha umeongelea kuhusu Laigwanani Ole Nasha, coordination iko wapi, maudhui ya mahojiano yana akisi vipi andiko lako? Muktadha wa stakeholders na contextual learning, adopting etc Mahojiano yako pia na waziri mwenye dhamana apaswa kuwa na ufahamu huo. Umahususi wa bandiko ni upi? Sifa za Ole Nasha kwa rejea ya mahojiano hujaanisha kumpa huo upekee wake tofauti na hao wengine.
 
Retired ana kitu kinamtesa moyoni, kila anapochangia hoja anakiwakilisha alichonacho moyoni.
How? and why? niteswe na nini? Ole mwenyewe simjui, najua yuko CCM, (si zaidi ya hapo) na CCM wote ni wezi! wezi wa kura! wanafiki...... Hakuna cha kunitesa, hakipo kabisa sijawahi kuwa kwenye siasa hata siku moja and had opporunity to engage in politics... miaka ya 80s nadhani ulikuwa hujazaliwa. Ningelikuwa may be juu maana I had all qualities and qualifications of being there by those days. Ulikuwa ukimaliza University unachagua uende wapi/kazi gani etc etc.
 
Unafikili ndiyo utapata uteuzi ili uchumue nafasi yake,

Tuonyeshe hata kitu kimoja tu alichoacha kama alama,maana hapa Ngorongoro mi napafahamu,lakini wananchi wa Ngorongoro hawamfahamu hata marehemu zaidi ya kumuona kwenye uchaguzi.
 
Hata JPM alikua mtu mwema tena shujaa wa afrika .
Mkuu Janja weed , ni kweli kabisa JPM alikuwa shujaa wa Africa
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…