Trilioni 16 Vs Bilioni 700

Trilioni 16 Vs Bilioni 700

hivi Jusa na Maalim Seffu huwa wanakujaga naye jf!?
 
Endapo rasimu ya katiba mpya itapitishwa na wananchi na hivyo kuwepo kwa serikali tatu basi kitakachoiua serikali ya muungano ni rasilimali fedha!

Bajeti ya Tanzania bara ni takribani trilioni 16 na bajeti ya Zanzibar ni pungufu ya bilioni 700! Kwa serikali zote mbili fedha hizi hazitoshi!

Sasa je serikali hizi mbili zitamudu kuchangia serikali ya muungano pamoja na taasisi za kimataifa ambazo serikali hizi zitakuwa wanachama?! Na mchango wa serikali hizi mbili kwa serikali ya muungano utakuwaje?!

Kwa vyo vyote vile mchango ukiwa sawa Zanzibar haitaweza! na Kama Tanzania bara(Tanganyika) itachangia zaidi basi Zanzibar itajikuta inamezwa jambo ambalo Zanzibar haitakubali!

Hakika sasa ni wazi kifo cha muungano kinaandaliwa na kwamba kuna uwezekano mkubwa serikali ya muungano ikafa miaka michache baada ya kuundwa!!


NB: Sikubaliani na wewe naona wewe ni ANTI-Tanganyika......Lazima tupate Tanganyika yetu
 
Ndoto za ujio (kurudi?!) wa Sultan kama mkombozi wa kiuchumi na kisiasa wa Zanzibar.
 
nchi tajiri zinawaza kuungana,sisi tunawaza kupeana talaka,aibu sana,Nyerere aliona mbali na akaacha usia kuhusu hii dhambi ya ubaguzi na lazima itatutafuna tu
Ni kweli kuwa umoja ni nguvu! Lakini inapotokea katika umoja huo hakuna maelewano basi ni heri kutengana!

Viongozi wa Zanzibar wanatamani nchi yao iwe dola kamili; ili wawe na amiri jeshi, wawe na kiti umoja wa mataifa, wawe na mabalozi wao nje nk! Haya ni matamanio ya ubinafsi!

Hata huko Ulaya katika nchi zilizo katika muungano wa Euro wamefika mahala wanataka kuwatenga wenzao wa kusini kwa kushindwa kuwajibika kusimamia uchumi wa nchi zao na kusababisha fedha ya Euro kuingia matatani!
 
trilion 16= billion 16,000=million 16,000,000
idadi ya watanganyika 44million
ukigawa unapata wastani wa 36,3636.Tsh kwa kila mtu
watanganika wamewazidi wazanzibar kwa mara 31

trilion 0.7 =700bilion=million700,000
idadi ya wazanzibar 1.4million
ukigawa unapata wastani wa 500,000 Tsh kwa kila mtu
sasa tunaukataa muungano kihesabu huenda mkaelewa zanzibar ikiwa nje ya muungano itakusanya kodi zote yenyewe ikiwemo 50$ za visa,leseni za mabenki,kodi ya ushuru wa bidhaa,kodi ya mapato,ushuru wa forodha,leseni za viwanda nk....tunategemea baada ya miaka miwili bajeti ya znz itafikia 1trillion pamoja namikopo na misaada ya nje ambayo hatutakumbana na vikwazo nya bara tena. kuna ongezeko la gharama za uendeshaji lkn hilo litakua ndani ni mzunguko wa kiuchumi ndani fedha itakayotumika kulipa itazunguka ndani. hatujaaza kuingia kwenye mafuta na gesi iliyojazana baharini ambayo mliitaka sana watanganyika...tushafanya hesabu mnatuchelewesha na jinchi lenu kubwa sana limejaa ufisadiiiii
ZANZIBAR BILA MUUNGANO INAWEZEKANA

kwani sisi hatuna gesi yetu ? Mbona mapato yetu ya dhahabu tunatumia wote ?
Kama hamtaki muungano tokeni,kwani sisi tunakula kwenu ?
Msepe tu
 
Endapo rasimu ya katiba mpya itapitishwa na wananchi na hivyo kuwepo kwa serikali tatu basi kitakachoiua serikali ya muungano ni rasilimali fedha!

Bajeti ya Tanzania bara ni takribani trilioni 16 na bajeti ya Zanzibar ni pungufu ya bilioni 700! Kwa serikali zote mbili fedha hizi hazitoshi!

Sasa je serikali hizi mbili zitamudu kuchangia serikali ya muungano pamoja na taasisi za kimataifa ambazo serikali hizi zitakuwa wanachama?! Na mchango wa serikali hizi mbili kwa serikali ya muungano utakuwaje?!

Kwa vyo vyote vile mchango ukiwa sawa Zanzibar haitaweza! na Kama Tanzania bara(Tanganyika) itachangia zaidi basi Zanzibar itajikuta inamezwa jambo ambalo Zanzibar haitakubali!

Hakika sasa ni wazi kifo cha muungano kinaandaliwa na kwamba kuna uwezekano mkubwa serikali ya muungano ikafa miaka michache baada ya kuundwa!!

Tume ya Warioba imekuja na mahesabu haya:
Swali: Gharama za uendeshaji wa Serikali hizi utakuwaje, huoni kama Rais wa Muungano atategemea zaidi fedha na msaada kutoka Tanganyika na Zanzibar?


Warioba: Katika Katiba ya sasa mapato ya Muungano yanatokana na vyanzo vitatu, Kodi ya Mapato (income tax), Ushuru wa Forodha (custom duty) pamoja na ushuru wa bidhaa (excise duty).


Kodi ya mapato ndiyo inatoa fedha nyingi sana na inafuatiwa na kodi ya ushuru wa bidhaa na ushuru wa forodha. Kutokana na hesabu tulizopiga, tumeona matumizi katika Serikali ya Muungano yapo katika sehemu mbili, moja ni yale ya Muungano na ya pili ni yale ya Tanganyika ambayo yanachukua fedha nyingi.


Mwaka 2010/2011 mapato ya kodi ya mapato yalikuwa Sh2 trilioni na mapato ya ushuru wa bidhaa yalikuwa Sh1trilioni na mapato ya ushuru wa forodha yalikuwa Sh600 bilioni.


Ni kwamba matumizi ya mambo ya Muungano yalikuwa chini ya Sh1trilioni, ndiyo maana tumechagua ushuru wa bidhaa, kwani tukipata fedha zile zitaweza kumaliza matumizi yote ya Serikali ya Muungano.


Hivyo basi kama tukiendelea na utaratibu huu wa Serikali tatu, ni wazi kwamba Serikali ya Muungano haitakuwa na haja ya kukopa fedha kwa kuwa itakuwa nazo za kutosha,......

Chanzo Warioba: Serikali ya Muungano haitakopa fedha - Kitaifa - mwananchi.co.tz

Kwa mahesabu haya, Serikali ya Muungano itatumia chini ya Trilioni 1....Usisahau pia mambo ya muungano pia yanaingiza fedha sio kuwa yanatumia fedha tu.(Mapato na matumizi). Wengi tunajikita katika matumizi tu bila kuangalia mambo ya muungano yanaingiza mapato kiasi gani.


Upo uzi huu pia ambao ulitoa changamoto ya matumizi ya shughuli za mambo ya muungano na serikali shirikishi.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/334649-tundu-lissu-na-kiinimacho-cha-muungano.html


Lakini hatuhitaji serikali tatu. Mwalimu alisema kama kutakuwa na EAC ambayo imeazimia kuunda Shirikisho la Kisiasa basi kupunguza utata,kufanya urahisi wa mambo tuwe na serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar tu.

Mwalimu alisema haya mwaka 1994:

Kwa kweli hata kesho Nchi za Afrika ya Mashariki zikiamua kuungana, na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili - ya Zanzibar na ya Tanganyika - kuliko Tanzania yenye Serikali Mbili, ya Tanzania na ya Zanzibar.Uk 11-12 link Uongozi Wetu Na Hatma Ya Tanzania (by Nyerere)
 
Kwanza la kujiuliza je wananchi wanautaka muungano?
 
Nimekasirika sana jana nilivyokua naangalia habari i.t.v,,nakumbuka miaka miwili mitatu nyuma kulikuwa na tetesi znz kuna gesi,wale watu walitaka kuvunja muungano na kusisitiza gesi ni ya wa znz na sio wabara,,,,sasa hivi gesi yao haijapatikana na yetu imepatikana wanaanza kuuliza eti watanufaika vipi na gesi yetu?,,kikubwa we should let them go and see the results,,,,
am a proud Tanganyikan
 
Tume ya Warioba imekuja na mahesabu haya:
Swali: Gharama za uendeshaji wa Serikali hizi utakuwaje, huoni kama Rais wa Muungano atategemea zaidi fedha na msaada kutoka Tanganyika na Zanzibar?


Warioba: Katika Katiba ya sasa mapato ya Muungano yanatokana na vyanzo vitatu, Kodi ya Mapato (income tax), Ushuru wa Forodha (custom duty) pamoja na ushuru wa bidhaa (excise duty).


Kodi ya mapato ndiyo inatoa fedha nyingi sana na inafuatiwa na kodi ya ushuru wa bidhaa na ushuru wa forodha. Kutokana na hesabu tulizopiga, tumeona matumizi katika Serikali ya Muungano yapo katika sehemu mbili, moja ni yale ya Muungano na ya pili ni yale ya Tanganyika ambayo yanachukua fedha nyingi.


Mwaka 2010/2011 mapato ya kodi ya mapato yalikuwa Sh2 trilioni na mapato ya ushuru wa bidhaa yalikuwa Sh1trilioni na mapato ya ushuru wa forodha yalikuwa Sh600 bilioni.


Ni kwamba matumizi ya mambo ya Muungano yalikuwa chini ya Sh1trilioni, ndiyo maana tumechagua ushuru wa bidhaa, kwani tukipata fedha zile zitaweza kumaliza matumizi yote ya Serikali ya Muungano.


Hivyo basi kama tukiendelea na utaratibu huu wa Serikali tatu, ni wazi kwamba Serikali ya Muungano haitakuwa na haja ya kukopa fedha kwa kuwa itakuwa nazo za kutosha,......

Chanzo Warioba: Serikali ya Muungano haitakopa fedha - Kitaifa - mwananchi.co.tz

Kwa mahesabu haya, Serikali ya Muungano itatumia chini ya Trilioni 1....Usisahau pia mambo ya muungano pia yanaingiza fedha sio kuwa yanatumia fedha tu.(Mapato na matumizi). Wengi tunajikita katika matumizi tu bila kuangalia mambo ya muungano yanaingiza mapato kiasi gani.


Upo uzi huu pia ambao ulitoa changamoto ya matumizi ya shughuli za mambo ya muungano na serikali shirikishi.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/334649-tundu-lissu-na-kiinimacho-cha-muungano.html


Lakini hatuhitaji serikali tatu. Mwalimu alisema kama kutakuwa na EAC ambayo imeazimia kuunda Shirikisho la Kisiasa basi kupunguza utata,kufanya urahisi wa mambo tuwe na serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar tu.

Mwalimu alisema haya mwaka 1994:

Kwa kweli hata kesho Nchi za Afrika ya Mashariki zikiamua kuungana, na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili - ya Zanzibar na ya Tanganyika - kuliko Tanzania yenye Serikali Mbili, ya Tanzania na ya Zanzibar.Uk 11-12 link Uongozi Wetu Na Hatma Ya Tanzania (by Nyerere)

215. Vyanzo vya mapato ya Serikali ya Jamhuri yaMuunganovitakuwa:
(a) ushuru wa bidhaa;
(b) maduhuli yatokanayo na taasisi za Muungano;
(c) mchango kutoka kwa Washirika wa Muungano; na
(d) mikopo kutoka ndani na nje ya Jamhuri ya Muungano.
 
Tume ya Warioba imekuja na mahesabu haya:
Swali: Gharama za uendeshaji wa Serikali hizi utakuwaje, huoni kama Rais wa Muungano atategemea zaidi fedha na msaada kutoka Tanganyika na Zanzibar?


Warioba: Katika Katiba ya sasa mapato ya Muungano yanatokana na vyanzo vitatu, Kodi ya Mapato (income tax), Ushuru wa Forodha (custom duty) pamoja na ushuru wa bidhaa (excise duty).


Kodi ya mapato ndiyo inatoa fedha nyingi sana na inafuatiwa na kodi ya ushuru wa bidhaa na ushuru wa forodha. Kutokana na hesabu tulizopiga, tumeona matumizi katika Serikali ya Muungano yapo katika sehemu mbili, moja ni yale ya Muungano na ya pili ni yale ya Tanganyika ambayo yanachukua fedha nyingi.


Mwaka 2010/2011 mapato ya kodi ya mapato yalikuwa Sh2 trilioni na mapato ya ushuru wa bidhaa yalikuwa Sh1trilioni na mapato ya ushuru wa forodha yalikuwa Sh600 bilioni.


Ni kwamba matumizi ya mambo ya Muungano yalikuwa chini ya Sh1trilioni, ndiyo maana tumechagua ushuru wa bidhaa, kwani tukipata fedha zile zitaweza kumaliza matumizi yote ya Serikali ya Muungano.


Hivyo basi kama tukiendelea na utaratibu huu wa Serikali tatu, ni wazi kwamba Serikali ya Muungano haitakuwa na haja ya kukopa fedha kwa kuwa itakuwa nazo za kutosha,......

Chanzo Warioba: Serikali ya Muungano haitakopa fedha - Kitaifa - mwananchi.co.tz

Kwa mahesabu haya, Serikali ya Muungano itatumia chini ya Trilioni 1....Usisahau pia mambo ya muungano pia yanaingiza fedha sio kuwa yanatumia fedha tu.(Mapato na matumizi). Wengi tunajikita katika matumizi tu bila kuangalia mambo ya muungano yanaingiza mapato kiasi gani.


Upo uzi huu pia ambao ulitoa changamoto ya matumizi ya shughuli za mambo ya muungano na serikali shirikishi.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/334649-tundu-lissu-na-kiinimacho-cha-muungano.html


Lakini hatuhitaji serikali tatu. Mwalimu alisema kama kutakuwa na EAC ambayo imeazimia kuunda Shirikisho la Kisiasa basi kupunguza utata,kufanya urahisi wa mambo tuwe na serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar tu.

Mwalimu alisema haya mwaka 1994:

Kwa kweli hata kesho Nchi za Afrika ya Mashariki zikiamua kuungana, na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili - ya Zanzibar na ya Tanganyika - kuliko Tanzania yenye Serikali Mbili, ya Tanzania na ya Zanzibar.Uk 11-12 link Uongozi Wetu Na Hatma Ya Tanzania (by Nyerere)

huo ushuru wa bidhaa zinazoagizwa na Bara ni kiasi gani na zinazoagizwa na wazanzibar ni kiasi gani, ndipo tuzichanganye na kuona hiyo trillion moja inatoka wapi? maana tusizungumzie tu kwamba zinazo hitajika ni trillion 1, wakati wenzetu kwenye serikali ya muungano wanataka 15:15, ubalozini wanataka nafasi, siwa nk wakati kuchangia hawawezi, mimi nafikiria ile formular ya 40m:2m ifuatwe au ile ya imf ya 4.5% Zanzibar 94.5% bara au Tanganyika
 
huo ushuru wa bidhaa zinazoagizwa na Bara ni kiasi gani na zinazoagizwa na wazanzibar ni kiasi gani, ndipo tuzichanganye na kuona hiyo trillion moja inatoka wapi? maana tusizungumzie tu kwamba zinazo hitajika ni trillion 1, wakati wenzetu kwenye serikali ya muungano wanataka 15:15, ubalozini wanataka nafasi, siwa nk wakati kuchangia hawawezi, mimi nafikiria ile formular ya 40m:2m ifuatwe au ile ya imf ya 4.5% Zanzibar 94.5% bara au Tanganyika

Mimi naungana na Mwalimu Nyerere. Umeuona ushauri wake hapo juu?

Hatuhitaji serikali tatu. Tunahitaji serikali mbili tu, ya Tanganyika na Zanzibar. EAC ndio kiungo kitakacholeta shirikisho la Afrika Mashariki(Muungano).
 
215. Vyanzo vya mapato ya Serikali ya Jamhuri yaMuunganovitakuwa:
(a) ushuru wa bidhaa;
(b) maduhuli yatokanayo na taasisi za Muungano;
(c) mchango kutoka kwa Washirika wa Muungano; na
(d) mikopo kutoka ndani na nje ya Jamhuri ya Muungano.

Kama umesoma hayo majadiliano ya mwandishi na jaji Warioba,utagundua kuwa hivyo vifungu b,c,d havitakuwa na ulazima. Ndio sababu Warioba alisema serikali ya Muungano haitohitaji kukopa na itakuwa na fedha za kujiendesha za kutosha na kuwa na ziada.
 
Kama umesoma hayo majadiliano ya mwandishi na jaji Warioba,utagundua kuwa hivyo vifungu b,c,d havitakuwa na ulazima. Ndio sababu Warioba alisema serikali ya Muungano haitohitaji kukopa na itakuwa na fedha za kujiendesha za kutosha na kuwa na ziada.
Nadhani kuna hoja hapa haizingatiwi!

Serikali ya muungano ya sasa kwa kiasi kikubwa inagharimiwa na Tanzania Bara na hivyo siyo rahisi kuiainisha au kuichanganua kwa usahihi!

Serikali ya shirikisho inayopendekezwa na rasimu ya katiba mpya itakuwa na mawaziri wasiozidi 15, kwa maana hiyo itakuwa kubwa kuliko ilivyo sasa kwa kuwa itakuwa na rais wake na makamu wa rais wake; itakuwa na mahakama yake na mwanasheria mkuu wake; itakuwa na bunge lake na polisi wake; Aidha JWTZ itakuwa chini ya serikali hii ya shirikisho!

Kwa kifupi serikali ya shirikisho itahitaji fedha nyingi kujiendesha na si hiyo trilioni 1! Hivyo vyanzo vyote vilivyoorodheshwa hapo juu vitahitajika!
 
Kweli mkuu. Hata mimi mara nyingi nawaza hivyo. Kuwe na serikali ya Tanganyika na kuwe na serikali ya Zanzbar. Huo muungano wala hauna haja. Kama bado tunapendana kwani hatuwezi tukakutana au kushirikiana kwenye EAC au SADC!
Mimi naungana na Mwalimu Nyerere. Umeuona ushauri wake hapo juu?

Hatuhitaji serikali tatu. Tunahitaji serikali mbili tu, ya Tanganyika na Zanzibar. EAC ndio kiungo kitakacholeta shirikisho la Afrika Mashariki(Muungano).
 
jitoeni sasa!!!!
na watu wenu wajiandae kurudi mapema. wapemba ambao wametapakaa kila kona ya bara, wapemba maarufu kwa maduka makubwa huku na majumba bara, naombeni mjitoe mapema--la sivyo hamtarudi na kitu pemba, vijana wetu wanaokabiliwa na umaskini mkubwa wnayahitaji hayo.....
trilion 16= billion 16,000=million 16,000,000
idadi ya watanganyika 44million
ukigawa unapata wastani wa 36,3636.Tsh kwa kila mtu
watanganika wamewazidi wazanzibar kwa mara 31

trilion 0.7 =700bilion=million700,000
idadi ya wazanzibar 1.4million
ukigawa unapata wastani wa 500,000 Tsh kwa kila mtu
sasa tunaukataa muungano kihesabu huenda mkaelewa zanzibar ikiwa nje ya muungano itakusanya kodi zote yenyewe ikiwemo 50$ za visa,leseni za mabenki,kodi ya ushuru wa bidhaa,kodi ya mapato,ushuru wa forodha,leseni za viwanda nk....tunategemea baada ya miaka miwili bajeti ya znz itafikia 1trillion pamoja namikopo na misaada ya nje ambayo hatutakumbana na vikwazo nya bara tena. kuna ongezeko la gharama za uendeshaji lkn hilo litakua ndani ni mzunguko wa kiuchumi ndani fedha itakayotumika kulipa itazunguka ndani. hatujaaza kuingia kwenye mafuta na gesi iliyojazana baharini ambayo mliitaka sana watanganyika...tushafanya hesabu mnatuchelewesha na jinchi lenu kubwa sana limejaa ufisadiiiii
ZANZIBAR BILA MUUNGANO INAWEZEKANA
 
Back
Top Bottom