Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endapo rasimu ya katiba mpya itapitishwa na wananchi na hivyo kuwepo kwa serikali tatu basi kitakachoiua serikali ya muungano ni rasilimali fedha!
Bajeti ya Tanzania bara ni takribani trilioni 16 na bajeti ya Zanzibar ni pungufu ya bilioni 700! Kwa serikali zote mbili fedha hizi hazitoshi!
Sasa je serikali hizi mbili zitamudu kuchangia serikali ya muungano pamoja na taasisi za kimataifa ambazo serikali hizi zitakuwa wanachama?! Na mchango wa serikali hizi mbili kwa serikali ya muungano utakuwaje?!
Kwa vyo vyote vile mchango ukiwa sawa Zanzibar haitaweza! na Kama Tanzania bara(Tanganyika) itachangia zaidi basi Zanzibar itajikuta inamezwa jambo ambalo Zanzibar haitakubali!
Hakika sasa ni wazi kifo cha muungano kinaandaliwa na kwamba kuna uwezekano mkubwa serikali ya muungano ikafa miaka michache baada ya kuundwa!!
Ni kweli kuwa umoja ni nguvu! Lakini inapotokea katika umoja huo hakuna maelewano basi ni heri kutengana!nchi tajiri zinawaza kuungana,sisi tunawaza kupeana talaka,aibu sana,Nyerere aliona mbali na akaacha usia kuhusu hii dhambi ya ubaguzi na lazima itatutafuna tu
trilion 16= billion 16,000=million 16,000,000
idadi ya watanganyika 44million
ukigawa unapata wastani wa 36,3636.Tsh kwa kila mtu
watanganika wamewazidi wazanzibar kwa mara 31
trilion 0.7 =700bilion=million700,000
idadi ya wazanzibar 1.4million
ukigawa unapata wastani wa 500,000 Tsh kwa kila mtu
sasa tunaukataa muungano kihesabu huenda mkaelewa zanzibar ikiwa nje ya muungano itakusanya kodi zote yenyewe ikiwemo 50$ za visa,leseni za mabenki,kodi ya ushuru wa bidhaa,kodi ya mapato,ushuru wa forodha,leseni za viwanda nk....tunategemea baada ya miaka miwili bajeti ya znz itafikia 1trillion pamoja namikopo na misaada ya nje ambayo hatutakumbana na vikwazo nya bara tena. kuna ongezeko la gharama za uendeshaji lkn hilo litakua ndani ni mzunguko wa kiuchumi ndani fedha itakayotumika kulipa itazunguka ndani. hatujaaza kuingia kwenye mafuta na gesi iliyojazana baharini ambayo mliitaka sana watanganyika...tushafanya hesabu mnatuchelewesha na jinchi lenu kubwa sana limejaa ufisadiiiii
ZANZIBAR BILA MUUNGANO INAWEZEKANA
Endapo rasimu ya katiba mpya itapitishwa na wananchi na hivyo kuwepo kwa serikali tatu basi kitakachoiua serikali ya muungano ni rasilimali fedha!
Bajeti ya Tanzania bara ni takribani trilioni 16 na bajeti ya Zanzibar ni pungufu ya bilioni 700! Kwa serikali zote mbili fedha hizi hazitoshi!
Sasa je serikali hizi mbili zitamudu kuchangia serikali ya muungano pamoja na taasisi za kimataifa ambazo serikali hizi zitakuwa wanachama?! Na mchango wa serikali hizi mbili kwa serikali ya muungano utakuwaje?!
Kwa vyo vyote vile mchango ukiwa sawa Zanzibar haitaweza! na Kama Tanzania bara(Tanganyika) itachangia zaidi basi Zanzibar itajikuta inamezwa jambo ambalo Zanzibar haitakubali!
Hakika sasa ni wazi kifo cha muungano kinaandaliwa na kwamba kuna uwezekano mkubwa serikali ya muungano ikafa miaka michache baada ya kuundwa!!
Tume ya Warioba imekuja na mahesabu haya:
Swali: Gharama za uendeshaji wa Serikali hizi utakuwaje, huoni kama Rais wa Muungano atategemea zaidi fedha na msaada kutoka Tanganyika na Zanzibar?
Warioba: Katika Katiba ya sasa mapato ya Muungano yanatokana na vyanzo vitatu, Kodi ya Mapato (income tax), Ushuru wa Forodha (custom duty) pamoja na ushuru wa bidhaa (excise duty).
Kodi ya mapato ndiyo inatoa fedha nyingi sana na inafuatiwa na kodi ya ushuru wa bidhaa na ushuru wa forodha. Kutokana na hesabu tulizopiga, tumeona matumizi katika Serikali ya Muungano yapo katika sehemu mbili, moja ni yale ya Muungano na ya pili ni yale ya Tanganyika ambayo yanachukua fedha nyingi.
Mwaka 2010/2011 mapato ya kodi ya mapato yalikuwa Sh2 trilioni na mapato ya ushuru wa bidhaa yalikuwa Sh1trilioni na mapato ya ushuru wa forodha yalikuwa Sh600 bilioni.
Ni kwamba matumizi ya mambo ya Muungano yalikuwa chini ya Sh1trilioni, ndiyo maana tumechagua ushuru wa bidhaa, kwani tukipata fedha zile zitaweza kumaliza matumizi yote ya Serikali ya Muungano.
Hivyo basi kama tukiendelea na utaratibu huu wa Serikali tatu, ni wazi kwamba Serikali ya Muungano haitakuwa na haja ya kukopa fedha kwa kuwa itakuwa nazo za kutosha,......
Chanzo Warioba: Serikali ya Muungano haitakopa fedha - Kitaifa - mwananchi.co.tz
Kwa mahesabu haya, Serikali ya Muungano itatumia chini ya Trilioni 1....Usisahau pia mambo ya muungano pia yanaingiza fedha sio kuwa yanatumia fedha tu.(Mapato na matumizi). Wengi tunajikita katika matumizi tu bila kuangalia mambo ya muungano yanaingiza mapato kiasi gani.
Upo uzi huu pia ambao ulitoa changamoto ya matumizi ya shughuli za mambo ya muungano na serikali shirikishi.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/334649-tundu-lissu-na-kiinimacho-cha-muungano.html
Lakini hatuhitaji serikali tatu. Mwalimu alisema kama kutakuwa na EAC ambayo imeazimia kuunda Shirikisho la Kisiasa basi kupunguza utata,kufanya urahisi wa mambo tuwe na serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar tu.
Mwalimu alisema haya mwaka 1994:
Kwa kweli hata kesho Nchi za Afrika ya Mashariki zikiamua kuungana, na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili - ya Zanzibar na ya Tanganyika - kuliko Tanzania yenye Serikali Mbili, ya Tanzania na ya Zanzibar.Uk 11-12 link Uongozi Wetu Na Hatma Ya Tanzania (by Nyerere)
Tume ya Warioba imekuja na mahesabu haya:
Swali: Gharama za uendeshaji wa Serikali hizi utakuwaje, huoni kama Rais wa Muungano atategemea zaidi fedha na msaada kutoka Tanganyika na Zanzibar?
Warioba: Katika Katiba ya sasa mapato ya Muungano yanatokana na vyanzo vitatu, Kodi ya Mapato (income tax), Ushuru wa Forodha (custom duty) pamoja na ushuru wa bidhaa (excise duty).
Kodi ya mapato ndiyo inatoa fedha nyingi sana na inafuatiwa na kodi ya ushuru wa bidhaa na ushuru wa forodha. Kutokana na hesabu tulizopiga, tumeona matumizi katika Serikali ya Muungano yapo katika sehemu mbili, moja ni yale ya Muungano na ya pili ni yale ya Tanganyika ambayo yanachukua fedha nyingi.
Mwaka 2010/2011 mapato ya kodi ya mapato yalikuwa Sh2 trilioni na mapato ya ushuru wa bidhaa yalikuwa Sh1trilioni na mapato ya ushuru wa forodha yalikuwa Sh600 bilioni.
Ni kwamba matumizi ya mambo ya Muungano yalikuwa chini ya Sh1trilioni, ndiyo maana tumechagua ushuru wa bidhaa, kwani tukipata fedha zile zitaweza kumaliza matumizi yote ya Serikali ya Muungano.
Hivyo basi kama tukiendelea na utaratibu huu wa Serikali tatu, ni wazi kwamba Serikali ya Muungano haitakuwa na haja ya kukopa fedha kwa kuwa itakuwa nazo za kutosha,......
Chanzo Warioba: Serikali ya Muungano haitakopa fedha - Kitaifa - mwananchi.co.tz
Kwa mahesabu haya, Serikali ya Muungano itatumia chini ya Trilioni 1....Usisahau pia mambo ya muungano pia yanaingiza fedha sio kuwa yanatumia fedha tu.(Mapato na matumizi). Wengi tunajikita katika matumizi tu bila kuangalia mambo ya muungano yanaingiza mapato kiasi gani.
Upo uzi huu pia ambao ulitoa changamoto ya matumizi ya shughuli za mambo ya muungano na serikali shirikishi.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/334649-tundu-lissu-na-kiinimacho-cha-muungano.html
Lakini hatuhitaji serikali tatu. Mwalimu alisema kama kutakuwa na EAC ambayo imeazimia kuunda Shirikisho la Kisiasa basi kupunguza utata,kufanya urahisi wa mambo tuwe na serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar tu.
Mwalimu alisema haya mwaka 1994:
Kwa kweli hata kesho Nchi za Afrika ya Mashariki zikiamua kuungana, na Tanzania ikawa ni mshiriki, naamini kuwa ni rahisi zaidi kushirikisha Tanzania yenye Serikali Mbili - ya Zanzibar na ya Tanganyika - kuliko Tanzania yenye Serikali Mbili, ya Tanzania na ya Zanzibar.Uk 11-12 link Uongozi Wetu Na Hatma Ya Tanzania (by Nyerere)
huo ushuru wa bidhaa zinazoagizwa na Bara ni kiasi gani na zinazoagizwa na wazanzibar ni kiasi gani, ndipo tuzichanganye na kuona hiyo trillion moja inatoka wapi? maana tusizungumzie tu kwamba zinazo hitajika ni trillion 1, wakati wenzetu kwenye serikali ya muungano wanataka 15:15, ubalozini wanataka nafasi, siwa nk wakati kuchangia hawawezi, mimi nafikiria ile formular ya 40m:2m ifuatwe au ile ya imf ya 4.5% Zanzibar 94.5% bara au Tanganyika
215. Vyanzo vya mapato ya Serikali ya Jamhuri yaMuunganovitakuwa:
(a) ushuru wa bidhaa;
(b) maduhuli yatokanayo na taasisi za Muungano;
(c) mchango kutoka kwa Washirika wa Muungano; na
(d) mikopo kutoka ndani na nje ya Jamhuri ya Muungano.
Nadhani kuna hoja hapa haizingatiwi!Kama umesoma hayo majadiliano ya mwandishi na jaji Warioba,utagundua kuwa hivyo vifungu b,c,d havitakuwa na ulazima. Ndio sababu Warioba alisema serikali ya Muungano haitohitaji kukopa na itakuwa na fedha za kujiendesha za kutosha na kuwa na ziada.
Mimi naungana na Mwalimu Nyerere. Umeuona ushauri wake hapo juu?
Hatuhitaji serikali tatu. Tunahitaji serikali mbili tu, ya Tanganyika na Zanzibar. EAC ndio kiungo kitakacholeta shirikisho la Afrika Mashariki(Muungano).
trilion 16= billion 16,000=million 16,000,000
idadi ya watanganyika 44million
ukigawa unapata wastani wa 36,3636.Tsh kwa kila mtu
watanganika wamewazidi wazanzibar kwa mara 31
trilion 0.7 =700bilion=million700,000
idadi ya wazanzibar 1.4million
ukigawa unapata wastani wa 500,000 Tsh kwa kila mtu
sasa tunaukataa muungano kihesabu huenda mkaelewa zanzibar ikiwa nje ya muungano itakusanya kodi zote yenyewe ikiwemo 50$ za visa,leseni za mabenki,kodi ya ushuru wa bidhaa,kodi ya mapato,ushuru wa forodha,leseni za viwanda nk....tunategemea baada ya miaka miwili bajeti ya znz itafikia 1trillion pamoja namikopo na misaada ya nje ambayo hatutakumbana na vikwazo nya bara tena. kuna ongezeko la gharama za uendeshaji lkn hilo litakua ndani ni mzunguko wa kiuchumi ndani fedha itakayotumika kulipa itazunguka ndani. hatujaaza kuingia kwenye mafuta na gesi iliyojazana baharini ambayo mliitaka sana watanganyika...tushafanya hesabu mnatuchelewesha na jinchi lenu kubwa sana limejaa ufisadiiiii
ZANZIBAR BILA MUUNGANO INAWEZEKANA