Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Endapo rasimu ya katiba mpya itapitishwa na wananchi na hivyo kuwepo kwa serikali tatu basi kitakachoiua serikali ya muungano ni rasilimali fedha!
Bajeti ya Tanzania bara ni takribani trilioni 16 na bajeti ya Zanzibar ni pungufu ya bilioni 700! Kwa serikali zote mbili fedha hizi hazitoshi!
Sasa je serikali hizi mbili zitamudu kuchangia serikali ya muungano pamoja na taasisi za kimataifa ambazo serikali hizi zitakuwa wanachama?! Na mchango wa serikali hizi mbili kwa serikali ya muungano utakuwaje?!
Kwa vyo vyote vile mchango ukiwa sawa Zanzibar haitaweza! na Kama Tanzania bara(Tanganyika) itachangia zaidi basi Zanzibar itajikuta inamezwa jambo ambalo Zanzibar haitakubali!
Hakika sasa ni wazi kifo cha muungano kinaandaliwa na kwamba kuna uwezekano mkubwa serikali ya muungano ikafa miaka michache baada ya kuundwa!!
Bajeti ya Tanzania bara ni takribani trilioni 16 na bajeti ya Zanzibar ni pungufu ya bilioni 700! Kwa serikali zote mbili fedha hizi hazitoshi!
Sasa je serikali hizi mbili zitamudu kuchangia serikali ya muungano pamoja na taasisi za kimataifa ambazo serikali hizi zitakuwa wanachama?! Na mchango wa serikali hizi mbili kwa serikali ya muungano utakuwaje?!
Kwa vyo vyote vile mchango ukiwa sawa Zanzibar haitaweza! na Kama Tanzania bara(Tanganyika) itachangia zaidi basi Zanzibar itajikuta inamezwa jambo ambalo Zanzibar haitakubali!
Hakika sasa ni wazi kifo cha muungano kinaandaliwa na kwamba kuna uwezekano mkubwa serikali ya muungano ikafa miaka michache baada ya kuundwa!!