mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Tulia ww Kolo hakuna mwanachama/shabiki wa Yanga anayemtaka Chama.. chama Hana hadhi ya kuingia ndani ya kikosi cha Yanga hata kwa Sub.. pelekeni huko manyoya yenu. Si mnamuona Chama ndo mama enu.. mleteni bac, Ila bado matatizo yatabaki palepaleUtopolo walikua wana mmezea mate chama na walitamani akirudi bongo moja kwa moja afikie jangwani, ila ndo hivyo tena imeshindikana kwahiyo kupoza machungu wanaamua kutema nyongo na kejeli kibao wakati kiuhalisia yanga hii wanayoona imeimarika kwenye first eleven yao sijaona wa kumuweka nje clatous chama, hapo hapo wanasahau kuwa hata wao wenyewe wamemrudisha makambo ambaye Kawa zaidi ya garasa.
Nani mwenye uwezo wa kumuweka chama benchi hapo uzuzuni ?Tulia ww Kolo hakuna mwanachama/shabiki wa Yanga anayemtaka Chama.. chama Hana hadhi ya kuingia ndani ya kikosi cha Yanga hata kwa Sub.. pelekeni huko manyoya yenu. Si mnamuona Chama ndo mama enu.. mleteni bac, Ila bado matatizo yatabaki palepale
Aucho mmoja sawa na Chama10! Huko aliko Kisinda ni tegemeo kuliko huyo chama!Nani mwenye uwezo wa kumuweka chama benchi hapo uzuzuni ?
Labda chama snacks sio triple C, hiyo aucho hamna lolote ni kawaida tu ya wana utopolo kukuza majina ya wachezaji.Aucho mmoja sawa na Chama10! Huko aliko Kisinda ni tegemeo kuliko huyo chama!
Hujui kwamba kocha wa kisinda akiwa vita club ndiye huyo aliyenae huko Bekane? Kwahiyo ulitegemea mwanariadha kisinda akae benchi? Chama ana kipaji cha mpira, acha kumlinganisha na aucho anayetegemea mpira wa kufundishwa tu wewe sukule.Aucho mmoja sawa na Chama10! Huko aliko Kisinda ni tegemeo kuliko huyo chama!
Umenikumbusha kale ka hadithi ka sungura ka sizitaki mbichi hizi. Wivu ni mbaya sanaTulia ww Kolo hakuna mwanachama/shabiki wa Yanga anayemtaka Chama.. chama Hana hadhi ya kuingia ndani ya kikosi cha Yanga hata kwa Sub.. pelekeni huko manyoya yenu. Si mnamuona Chama ndo mama enu.. mleteni bac, Ila bado matatizo yatabaki palepale
Umetoa sababu za ajabu ajabu kumzuia Chama asirudi bongo, ulitaka aende popote hata kama hawakumuhitaji?Chama akirudi Bongo, iwe kwa Simba au Yanga, nitamuona wa ajabu sana. Hivi inakuwaje unafanikiwa hadi kusonga mbele, then ghafla unaamua kurudi nyuma sababu ya changamoto ndogo ndogo. Waafrika wa kusini mwa jangwa la sahara tunapenda sana kutukuzwa, ilhali ni wavivu. Chama yafaa apiganie namba, akomae asonge mbele, huku anapotaka kurudi hakuna jipya. Kwanza bongo mpira unachezwa na marefa, sio wachezaji. Mara Yanga wanapewa penati ya uongo na kweli ilimradi wasipoteze mechi AU goli la timu pinzani likataliwa ilimradi Simba asipoteze ushindi wake.
Ligi ambayo board ya ligi inazijali timu mbili tu. Ni kawaida kuona timu zingine zinacheza mpira saa 8, jua likiwa kali. Ila wafalme Simba na Yanga hawawezi kutana na hali hiyo.
Yani huku bongo kwa mchezaji mwenye akili na uwezo hawezi kubali kubaki miaka yote.
Ila Makombo kurudi Utopolo kunamfaa na ni kusonga mbele.Chama akirudi Bongo, iwe kwa Simba au Yanga, nitamuona wa ajabu sana. Hivi inakuwaje unafanikiwa hadi kusonga mbele, then ghafla unaamua kurudi nyuma sababu ya changamoto ndogo ndogo. Waafrika wa kusini mwa jangwa la sahara tunapenda sana kutukuzwa, ilhali ni wavivu. Chama yafaa apiganie namba, akomae asonge mbele, huku anapotaka kurudi hakuna jipya. Kwanza bongo mpira unachezwa na marefa, sio wachezaji. Mara Yanga wanapewa penati ya uongo na kweli ilimradi wasipoteze mechi AU goli la timu pinzani likataliwa ilimradi Simba asipoteze ushindi wake.
Ligi ambayo board ya ligi inazijali timu mbili tu. Ni kawaida kuona timu zingine zinacheza mpira saa 8, jua likiwa kali. Ila wafalme Simba na Yanga hawawezi kutana na hali hiyo.
Yani huku bongo kwa mchezaji mwenye akili na uwezo hawezi kubali kubaki miaka yote.
Acha masiharaa weweeeSakho ni bora kuliko hata chama
Maneno haya unatofauti gani na dada yako? Maneno ya jikoni ukikata nyanya na vitunguu.Tulia ww Kolo hakuna mwanachama/shabiki wa Yanga anayemtaka Chama.. chama Hana hadhi ya kuingia ndani ya kikosi cha Yanga hata kwa Sub.. pelekeni huko manyoya yenu. Si mnamuona Chama ndo mama enu.. mleteni bac, Ila bado matatizo yatabaki palepale
Kwani mchezaji mzuri kurudi klabuni kuna ubaya gani?Chama wa nini, simba tunafeli mchezaji kashaondoka tuendelee na wengine
Kafanikiwa kusajiliwa lakini anawekwa bench, na hata akicheza basi ni dakika chache hii inamuondolea morale wakati kuna timu alikua anacheza kwa dakika zote na akaweza kuonesha kipaji chake mpaka hiyo berkane ikamtamaniChama akirudi Bongo, iwe kwa Simba au Yanga, nitamuona wa ajabu sana. Hivi inakuwaje unafanikiwa hadi kusonga mbele, then ghafla unaamua kurudi nyuma sababu ya changamoto ndogo ndogo. Waafrika wa kusini mwa jangwa la sahara tunapenda sana kutukuzwa, ilhali ni wavivu. Chama yafaa apiganie namba, akomae asonge mbele, huku anapotaka kurudi hakuna jipya. Kwanza bongo mpira unachezwa na marefa, sio wachezaji. Mara Yanga wanapewa penati ya uongo na kweli ilimradi wasipoteze mechi AU goli la timu pinzani likataliwa ilimradi Simba asipoteze ushindi wake.
Ligi ambayo board ya ligi inazijali timu mbili tu. Ni kawaida kuona timu zingine zinacheza mpira saa 8, jua likiwa kali. Ila wafalme Simba na Yanga hawawezi kutana na hali hiyo.
Yani huku bongo kwa mchezaji mwenye akili na uwezo hawezi kubali kubaki miaka yote.
Una point lakini hauna fact, uwezi kusema chama asonge mbele angalia na age ya chama. Ko kwa akili yako na age ya chama anaweza akaenda ulaya, au asonge mbele aende wapi?Chama akirudi Bongo, iwe kwa Simba au Yanga, nitamuona wa ajabu sana. Hivi inakuwaje unafanikiwa hadi kusonga mbele, then ghafla unaamua kurudi nyuma sababu ya changamoto ndogo ndogo. Waafrika wa kusini mwa jangwa la sahara tunapenda sana kutukuzwa, ilhali ni wavivu. Chama yafaa apiganie namba, akomae asonge mbele, huku anapotaka kurudi hakuna jipya. Kwanza bongo mpira unachezwa na marefa, sio wachezaji. Mara Yanga wanapewa penati ya uongo na kweli ilimradi wasipoteze mechi AU goli la timu pinzani likataliwa ilimradi Simba asipoteze ushindi wake.
Ligi ambayo board ya ligi inazijali timu mbili tu. Ni kawaida kuona timu zingine zinacheza mpira saa 8, jua likiwa kali. Ila wafalme Simba na Yanga hawawezi kutana na hali hiyo.
Yani huku bongo kwa mchezaji mwenye akili na uwezo hawezi kubali kubaki miaka yote.
Utaelewa baadae mkuu!Acha masiharaa weweee
Kwa mpira gani wa Sakhoo
Amzidi Chama
Huo mfano wa CR 7 na Chama ni irrelevantIla Makombo kurudi Utopolo kunamfaa na ni kusonga mbele.
CR 7 kurudi Man U wala haina tatizo.
Anayerudi ni Chama wewe kinakuhusu nini? Au unapendezwa kusikia anabeba majezi?
Chama akirudi Bongo, iwe kwa Simba au Yanga, nitamuona wa ajabu sana. Hivi inakuwaje unafanikiwa hadi kusonga mbele, then ghafla unaamua kurudi nyuma sababu ya changamoto ndogo ndogo. Waafrika wa kusini mwa jangwa la sahara tunapenda sana kutukuzwa, ilhali ni wavivu. Chama yafaa apiganie namba, akomae asonge mbele, huku anapotaka kurudi hakuna jipya. Kwanza bongo mpira unachezwa na marefa, sio wachezaji. Mara Yanga wanapewa penati ya uongo na kweli ilimradi wasipoteze mechi AU goli la timu pinzani likataliwa ilimradi Simba asipoteze ushindi wake.
Ligi ambayo board ya ligi inazijali timu mbili tu. Ni kawaida kuona timu zingine zinacheza mpira saa 8, jua likiwa kali. Ila wafalme Simba na Yanga hawawezi kutana na hali hiyo.
Yani huku bongo kwa mchezaji mwenye akili na uwezo hawezi kubali kubaki miaka yote.