niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
Hivi hizi munaagiza kutoka Japan au kuna mahali hapa Tanzania wanauza?.Ukiipata fighter kama hii hautakua na stress as hii inapiga route za hapa hapa town, machimbo to damping places. Kasheshe ukimiliki upcountry routes asee ukiiona simu ya dereva wako lazima tumbo liungurume.
View attachment 1531721
Hii mnaiitaje?Tandem na kipisi sio majina rasmi ya aina za truck bali ni "slang" zinazotumiwa kurahisisha maisha.
Tunazoita SINGLE ni 10tons truck iwe fuso isuzu man etc zinakuwa na exel mbili with 18000 gvm
Waafrika tuna akili za kurekebisha hivyo kwa upande wa 10tons truck huwa tunaongeza exel ili kubeba zaidi so unakuta fuso isuzu hino za tani 10 zimeongezwa exel zinabeba tan 16 na tunaziita TANDEM
Tunazoziita KIPISI kitaalam hujulikana kama 15tons truck iwe ni scania, volvo, man etc na ni kawaida kuwa na exeli tatu with 26000 gvm.
Tunazoziita MENDE huwa na exeli nne with 32000 gvm 20tons truck. Ukisikia mtu anataka MENDE it means ana mzigo unaozidi 16tons
Hizi Super Great sio nyingi hapa bongo?Haiwezi sababu injini za 16 au 17 zilizo katika Fuso hazitofanya kazi Kwa ufanisi kuvuta tani 30+.
Labda utumie Fuso Super Great ambazo zina injini kubwa.
Kwasasa ndo watu tunahamia huko. Ila ninkweli mwanzoni hazikua nyingi BongoHizi Super Great sio nyingi hapa bongo?
Naona nyingi zinatumika sana Uganda na Zambia.
Zina bodi kubwa kinoma.
Masahisho kama nimepotea
Hahahaaa nakazia hapo kwenye tandamu(TANDEM)Tandem na kipisi sio majina rasmi ya aina za truck bali ni "slang" zinazotumiwa kurahisisha maisha.
Tunazoita SINGLE ni 10tons truck iwe fuso isuzu man etc zinakuwa na exel mbili with 18000 gvm
Waafrika tuna akili za kurekebisha hivyo kwa upande wa 10tons truck huwa tunaongeza exel ili kubeba zaidi so unakuta fuso isuzu hino za tani 10 zimeongezwa exel zinabeba tan 16 na tunaziita TANDEM
Tunazoziita KIPISI kitaalam hujulikana kama 15tons truck iwe ni scania, volvo, man etc na ni kawaida kuwa na exeli tatu with 26000 gvm.
Tunazoziita MENDE huwa na exeli nne with 32000 gvm 20tons truck. Ukisikia mtu anataka MENDE it means ana mzigo unaozidi 16tons
FAW pia wana super great mkuu?Kwasasa ndo watu tunahamia huko. Ila ninkweli mwanzoni hazikua nyingi Bongo
Sasa hivi Super Great hailali aisee madalali na wenye mizigo wanazikimbilia balaa
Na zina mbavu balaa. Natamani sana vyuma vilegee nivute moja la FAW
Ndio mkuu ila model yao ni 35.34 sijui nadhani
Itakuwa anamaanisha configuration ya axle pale mbele (mende).
Mkuu unamaanisha Faw hizi.Ndio mkuu ila model yao ni 35.34 sijui nadhani
Ndo tunaziita super Great tu hivyo hivyo. Kuna jamaa yangu alinunua 2 kwa Wachina walimaliza kazi ya barabara. Tairi kdogo limetulia balaa. Halishindwi kitu
kiongozi uko vizuri sana kwenye ugavi[emoji736]Complementary.
No way the new enhanced railway system will kill road transportation sector.
- Railway system is expensive to roll out everywhere
- There are areas which rail cannot reach
- Railway transport takes long and could be detrimental to some type of goods e.g perishables
- For those wishing quick turn around road is the choice
- Cargo transportation is still very high in demand so multimodal transportation (sea, rail, road) is still critical.
USA and Germany have the best railway systems in the world but trucking is still the highest earning sector in those countries.
Utukufu ni kwa Bwanakiongozi uko vizuri sana kwenye ugavi[emoji736]
Yes! Sahihi kabisa mkuu..Itakuwa anamaanisha configuration ya axle pale mbele (mende).
Mitsubishi Fuso zao Zinaitwa Super Great, Isuzu Wana Isuzu Giga.
Anza kwa kuelezea kwanza, ni kwa vipi transit ina faida kuliko local?Uzi mzuri but naona kama uzi ume base sana kwenye biashara ya usafirishaji ambayo ni local sana, please wenye ujuzi na uelewa njooni hapa muongeze nyama kwa kutupa information upande wa logistics transit ambapo mimi binafsi ndo naona kuna faida zaidi ila kwa mfanyabiashara smart!!!
Niliwah kufanya kaz somewhere kwa boss fulani although sikuwa najishughulisha na logistics but anamiliki trucks na anafanya biashara hiyo kwa kias fulan nilipata kujua bei za usafirishaji local kiukwel zinaumiza kwa mfano alikuwa anabeba viaz mbeya to dar tani 20 kwa milion na laki mbili na hapo bado yamefanyika mabishano makali kati ya dalali, mwenye mzigo na boss!!!Anza kwa kuelezea kwanza, ni kwa vipi transit ina faida kuliko local?
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Duuuu! Huyu boss wako amenishangaza sana.. na kuna uwezekano hajui anafanya nini!Niliwah kufanya kaz somewhere kwa boss fulani although sikuwa najishughulisha na logistics but anamiliki trucks na anafanya biashara hiyo kwa kias fulan nilipata kujua bei za usafirishaji local kiukwel zinaumiza kwa mfano alikuwa anabeba viaz mbeya to dar tani 20 kwa milion na laki mbili na hapo bado yamefanyika mabishano makali kati ya dalali, mwenye mzigo na boss!!!
Nashauri wadau pia wanahitaj ushauri kuhusu hii biashara wajue pia kuna up and down in this sector sio mara zote hizo bei zitakuwa kama zilivyo wewe unaweza kuwa shaidi especially at this term hii biashara ilibuma sana even transit ambao kidogo kuna maslahi also biashara ilikuwa mbovu sijui sas kwa local!!!!Duuuu! Huyu boss wako amenishangaza sana.. na kuna uwezekano hajui anafanya nini!
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Yeah mkuu. Hatari sana hiyo mzigo inayobeba sitasema tu na inatoboa vizur mizani
Aisee sikujua kama na Isuzu anazo yenye axle 4 mbele. Ngoja nizungukie nako huko. Uzuri wa Isuzu zinaingiliana vizuri sana na Fuso(Injini na Gear box)....unaweza ukatoa chotara Mzuri sanaItakuwa anamaanisha configuration ya axle pale mbele (mende).
Mitsubishi Fuso zao Zinaitwa Super Great, Isuzu Wana Isuzu Giga.
Hiyo Faw ya mchina ya 8×4 Ina nguvu sana na huna haja ya kuongeza spring wewe ni kubeba mzigo kwenda mbele.Yeah mkuu. Hatari sana hiyo mzigo inayobeba sitasema tu na inatoboa vizur mizani
Aisee sikujua kama na Isuzu anazo yenye axle 4 mbele. Ngoja nizungukie nako huko. Uzuri wa Isuzu zinaingiliana vizuri sana na Fuso(Injini na Gear box)....unaweza ukatoa chotara Mzuri sana