Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama vipi niruhusiwe kuimalizia tu...maana mi mwenyewe msukuma!!Oyah we mwamba kwa style hii kweli utamaliza?
okay, mimi kama mwenyekiti nakupa ruhusaKama vipi niruhusiwe kuimalizia tu...maana mi mwenyewe msukuma!!
Kwa lipi?!Takataka kabisa don't waste your time
Vifupi sana daaahSehemu ya 9
Nilijiegesha kitandani, mawazo yalizonga, nilijaribu kuvuta picha itakuwaje kwenye uwanja wa vita dhidi ya yunge, bibi na watu wengine wengi wenye uchu na nyama za watu? Huku sio kujitaftia matatizo kweli? Niliwaza.
****
Nilishtuliwa na babu akinitikisa niamke haraka, nilikurupuka nikidhani muda wa kwenda kufanya maangamizi ya yunge na washirika wake sasa umewadia, lahaulaa! Nilijidanganya hakika, kulikuwa kumekucha tena jua limechomoza, niliangaza huku na kule, yalikuwa mazingira tofauti na ndani nilimokuwa nimelala.
Tulikuwa makaburini asubuhi ile, niliogopa sana, yani nilale ndani usiku, ila kunakucha nimelala makaburini? Nilishangaa na hofu ilinikamata vibaya mno.
Tuondoke haraka, aliamrisha babu aliyeonekana kuchanganyikiwa na kitendo kile,
Hawa wajinga wametushtukia, na hali itakuwa mbaya sana, wametuwahi, alisema babu kwa masikitiko.
Kwani imekuaje babu, maana jana uliaga kwamba saa 7 ungerudi ili tukainze kazi yetu, ukaniacha ndani nmejilaza, inakuwaje kunakucha tupo makaburini? Dah!
Hivi Mafisango Chama ndo uliihamishia hii issue inbox?!Sehemu ya 9
Nilijiegesha kitandani, mawazo yalizonga, nilijaribu kuvuta picha itakuwaje kwenye uwanja wa vita dhidi ya yunge, bibi na watu wengine wengi wenye uchu na nyama za watu? Huku sio kujitaftia matatizo kweli? Niliwaza.
****
Nilishtuliwa na babu akinitikisa niamke haraka, nilikurupuka nikidhani muda wa kwenda kufanya maangamizi ya yunge na washirika wake sasa umewadia, lahaulaa! Nilijidanganya hakika, kulikuwa kumekucha tena jua limechomoza, niliangaza huku na kule, yalikuwa mazingira tofauti na ndani nilimokuwa nimelala.
Tulikuwa makaburini asubuhi ile, niliogopa sana, yani nilale ndani usiku, ila kunakucha nimelala makaburini? Nilishangaa na hofu ilinikamata vibaya mno.
Tuondoke haraka, aliamrisha babu aliyeonekana kuchanganyikiwa na kitendo kile,
Hawa wajinga wametushtukia, na hali itakuwa mbaya sana, wametuwahi, alisema babu kwa masikitiko.
Kwani imekuaje babu, maana jana uliaga kwamba saa 7 ungerudi ili tukainze kazi yetu, ukaniacha ndani nmejilaza, inakuwaje kunakucha tupo makaburini? Dah!
Pumbavu zako mikwara ya kibwege hiii achaWewe tulia kuna mtego nmeutega hapa, nataka anijibu pumba zake ili nimwoneshe kama ulozi upo ama la! maana ameshupaza shingo kunambia nachosimulia ni uwongo.
wegero kwetu hii avatar yako sijawahi kuchoka kuiangalia...alikuwa anatolewa mwibaKimeshakimbia hiki ki pimbi
[emoji23][emoji23] mbususu ilikuwa inaliwawegero kwetu hii avatar yako sijawahi kuchoka kuiangalia...alikuwa anatolewa mwiba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbususu ilikuwa inaliwa
[emoji23]Hatimae nimerudi tena.
Fwala mmojaHatimae nimerudi tena.