Asante mkuu
Asante kushukiruAsante mkuu
Ee nafasi ikipatkana najitahdi kukimbizaLeo umeshusha nondo za kutosha
Niliishia ya 35 kesho ntaiangaliababy zu Antonnia Numbisa KatKit Dr Restart Analyse raraa reree Amehlo Johnnie Walker Dejane IamBrianLeeSnr Demi Depal
Naona mnagoma kusoma story za ulozi😬
Mara ya kwanza unadinya yalikutoka kwa haraka? Huenda ulianza kunyandua ukiwa kijebaUmeanza kuharibu ulipofika sehemu ya 36 na hasa 37. Mimi ni mwanaume kunidanganya acha!
Kikawaida kwa mwanaume kupita muda mrefu bila kufanya,siku akitunukiwa dakika 6 ni nyingi tukio zima linakuwa limekamilika,labda next round sasa ndipo hizo mbwembwe sijui kulamba mara blaablaa ndipo zitafuata.
Hiyo iliyonitag ni id yako nyingine?Asante kushukiru
Ukiachana na uchawi jamaa ana siku 2 tu kijijini ila ashakutana na bikra mbili na hekaheka zote hiziHivi hii ni true story? Siamimi kama duniani kuna mambo ya namna hii
Hatari sana aiseeUkiachana na uchawi jamaa ana siku 2 tu kijijini ila ashakutana na bikra mbili na hekaheka zote hizi
Hutaki kuambiwa ukweli ww vipiMzee hivi kuna mtu anaekuita hapa? Si uende hata jukwaa la siasa? Niache basi kwani stori hii inakufata? Ebu acha ujuaji wa kishamba bwana.
HahaaaaaaAmkaaaa unaotaa mkuuu utajikojoleaa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Usihalalishe kwamba wote ipo hivyo na pia katika hadhithi sio kila kitu kitahadithiwa mengine hupunguzwa ili kufanya story iwe fupiUmeanza kuharibu ulipofika sehemu ya 36 na hasa 37. Mimi ni mwanaume kunidanganya acha!
Kikawaida kwa mwanaume kupita muda mrefu bila kufanya,siku akitunukiwa dakika 6 ni nyingi tukio zima linakuwa limekamilika,labda next round sasa ndipo hizo mbwembwe sijui kulamba mara blaablaa ndipo zitafuata.
Lkn pia ninahisi wewe ndiye uliyewahi kuandika thread yenye heading HOW I MET MY WIFE.
Sina uhakika sana ijapo kwa kipindi hicho sikuwa member bali nilikuwa mpenzi msomaji tu.
Doh! Bibi yako? Au sijaelewa...55
Acha mkwara we mzee nakama wakinikamata nitasema wewe ndo ulinituma.
Nilijikakamua na kumwambia ingawa moyoni nilikuwa na kimuhemuhe.
Hahahaaaa! Pumbavu, tena umejichanganya, hukupaswa kuoga bali ungeanza kutimua mbio kabla hawajafika. Aliendelea kutania babu wakati huu nilitambua kumbe ni utani tu.
Nichelewe wapi wakati kuna baiskeli yangu humo ndani haina kazi? Nilitania na kuongeza, ebu ikague kama pumzi inatosha ili nikiipanda iwe kamserereko tu.
Hiii! Sasa hapo kwenye usafiri wangu nitakufunga kabla hata wafungaji hawajakufata alikoroma babu na kweli utani ulikorea nasasa nilianza kumzoea babu yangu na kuvutiwa na ucheshi wake,
Wakati huu natoka bafuni alitania kwa kunong'ona, leo tunabadilishana mawindo dogo! Wewe utakula ng'homele
(nyama iliyobanikwa) akimaanisha bibi, namimi nitakula freshi akimaanisha yunge.
Hapo nipo tayari kabisa unajua bibi yangu bado kisu kabisa? Yaani humwangaliagi tu huko nyuma, nilitania huku nikizichapa hatua kuingia ndani.
Pumbavu nitakung'oa p..bu,
Alifoka babu!
Mnafiki Wa KujitegemeaUmeanza kuharibu ulipofika sehemu ya 36 na hasa 37. Mimi ni mwanaume kunidanganya acha!
Kikawaida kwa mwanaume kupita muda mrefu bila kufanya,siku akitunukiwa dakika 6 ni nyingi tukio zima linakuwa limekamilika,labda next round sasa ndipo hizo mbwembwe sijui kulamba mara blaablaa ndipo zitafuata.
Lkn pia ninahisi wewe ndiye uliyewahi kuandika thread yenye heading HOW I MET MY WIFE.
Sina uhakika sana ijapo kwa kipindi hicho sikuwa member bali nilikuwa mpenzi msomaji tu.
Mmefika wazee wa mastory 😂 baby zu
Hivi hii ni true story? Siamimi kama duniani kuna mambo ya namna hii