amoc thedon
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 345
- 531
mtu akikutia shit unajibu maelezo marefu kuliko ata story yako yenyewe141
Kulikucha asubuhi hii kukiwa na mawingu mazito angani yaliyoashiria huenda ingenyesha mvua kubwa muda si mrefu, hivyo yunge aliniaga huku akisema tungoje hali ya hewa tuone kama itakaa vizuri tutakwenda mbugani.
Aliondoka na kuniacha nikiwa naomba yale mawingu yayeyuke ili twende mbugani, lakini wapi! Mvua ilianza kutimba mda kidogo mbele, kuanzania saa 12 mpaka ikaja punguza makali saa 4 asbuhi, napo haikukata kabisa bali iliendelea kunyesha ndogo ndogo, hivyo nikajua leo imeshindikana.
Muda kidogo bibi aligonga dirisha na kunitaka nitoke kwa ajili ya kulijaza tumbo, nilitoka nje huku vimanyunyu vikiendelea,
Tulikula kisha nikarudi ndani mwangu na kujilaza.
Muda mfupi babu aliingia mle ndani mwangu na tukaanza piga stori, baadae alileta bao akawa ananifundisha namna ya kucheza, sikukawia, tayari nikawa nimeelewa vizuri tu.
Naona sasa mpango wenu wakwenda majarubani umekwamishwa na mvua, alisema babu.
Babu alinataka nijiandae twende porini ili akanipe zindiko la uhakika kwani baraa lilininyemelea.
Nimekoma babu.mtu akikutia shit unajibu maelezo marefu kuliko ata story yako yenyewe
Hivi mbona wengine hatuwezi kutukana,nyie mnaotukukana mmekulia wapi, mmesoma shule zipi, marafiki zako ni watu aina gani?Write your reply...huyu jamaa kwanza nilibwege li mmoja..anajikuta hensam eti mademu wote wamshobokee kwan ye nani labda kama kajichanjia dawa..nasema hivii peleka matako meusi huko kawasimulie kina yuge stori zako zakisenge zisizo isha..mtu unajifanya steling kujipakulia minyama yote wakat msukuma mshamba mmoja nastor zako zakinyabi. .puuuumbaf malizia stori yako matako ww niko hapa nachanja gomba na poker
We nae .....ya kwako ya ukweli Iko wapi🤷UANDISHI WAKO WA KITOTO UNAWEKA MANENO MENGI YA UONGO AMBAYO KWA WATU WA KIJIJINI HAWAWEZI YATAMKA. UNATAKA KUONESHA UMECHANGAMKA SANA MPAKA UNAHARIBU. BADO JIFUNZE KUSIMULIA IONEKANE KAMA YA UKWELI. WEWE UNASIMULIA INAONEKANA NI UONGO KABISA.
sisi tunaangalia kiwango cha uongo kwenye story. kikipitiliza tunaingilia kati. lengo ni kuwafanya watungaji wawe smart.
Sawa Katibu mkuu wa basatasisi tunaangalia kiwango cha uongo kwenye story. kikipitiliza tunaingilia kati. lengo ni kuwafanya watungaji wawe smart.
Ni gamboshi nini,[emoji23][emoji23][emoji23]Yungee mkubwa mchawi
Yunge mdogo mchawi
Bibi mchawi
Babu ndo vile mchawi mstaarabu
Majirani wachawi
Wachezaji uwanjani wachawi
Kifupi hicho kijiji sio cha kuishi binadamu
mimi: Kitendawili????Kanda ya ziwa na uchawi ni makofi na polisi
Usiiname hovyo mbele yangu mkuu Kichwa kidogo hakina macho.. ohooSasa kusema hivo ndo kutolewa marinda ukizoea kufanyiwa kitu mda wote unayawaza punga ww
Huyu jamaa ange myandua Tatu hii stori tungeipata zamani kutoka kwa Tatu🤣🤣. Lakini ana nyandua Wanga kuonekana hawataki sasa stori zao utazipata wapi😂
we mwaga mzigo tu sie tunakuelewa tuKwanza uelewe mimi si mwandishi, wala sina mpango huo, ninachofanya ni ujumbe wakueleweka ufike BHAAASH! Sihitaji righting skills wala writing skills.
Leta story145
Hutakiwi kulala na mwanamke kwa muda wa siku 3, hapa sasa ndo nitajua kama umekuwa ama hapana, kiufup hutakiwi kulala mtu yeyote zaidi yako pekeyako, aliongea kwa msisitizo babu.
Nilikubali sharti hilo liloambatana na jingine la kutokuoga siku zote hizo 3.
Tunaweza kwenda na hutakiwi kugeuka nyuma mpaka tunafika nyumbani sawa?
Sawa babu niliitikia na tukatoka mle ndani babu akitangulia, nilijipa kazi ya kufikiri jambo moja tu kwamba sitakiwi kugeuka nyuma, kweli nilifanikiwa kwani mpaka tunafika nyumbani sikupata shida yoyote kunifanza nigeuke.
Ilikuwa saa 1 kasoro dakika kadhaa tulipofika pale nyumbani, babu alinitaka niingie ndani na kazi ya kukoka moto nimwachie yeye.
Niliingia ndani na kufungulia redio, nikawa nawaza mambo mengi mno hasa kuhusu babu kuishi na bibi zaidi ya miaka 60 na asijue kama ni mchawi wakati yeye babu anasema hakuna mtu wa kumgusa?
Baadae babu aliingia ndini mle na haraka nilimwuliza inakuaje anasema hajui kama bibi ni mlozi wakati siku ile walinitesa jikoni kwakuhamahama?