Ninae hapa Lupaso japo umeme umekatika, sijui ni mbinu za Yunge?Mida yetu ngosha fanya kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninae hapa Lupaso japo umeme umekatika, sijui ni mbinu za Yunge?Mida yetu ngosha fanya kweli
Cc manyanda...haha wewe ni msukuma kweli kweli138
Nilimwona yunge anatokwa mchozi, nilishtuka nikachomoa lungu langu kitumbuani mwake na kumwuliza kama nilikuwa nimemwumiza.
Hujaniumiza wala, alibu.
Mbona unalia sasa? Nilimwuliza.
Naumia moyo kwanini umeshindwa kutunza siri yetu, hujui nitaanza kufatiliwa na kuwekewa mitego? Alilalama yunge.
Nilishangaa huyu kajuaje kama kuna mtu nimemwambia siri yake, nikamwuliza ni nani huyo nimemwambia siri yako? Mbona unanikata stimu mpenzi wangu? Nilivunga kususa.
Inamaana hakuna mtu uliyemwambi jambo lile kweli? Aliuliza yunge.
Nilikwambia mimi siyo mlopokaji, naona unanitaftia tu vi sababu ili uniache, sawa bwana hata kama umepata mwingine mie sikubali uniache, nakupenda sana yunge mpenzi, hapa nilimpoteza maboya na nilimwona akianza kutabasamu mfululizo.
Sikumpa nafasi ya kuongea, nilimlaza kwa pupa na kumpeleka manyanda kunako mzinga wake wa asali, nilianza kupakua asali huku mwenye mzinga akiwa ametulia tu akiniangalia.
Muda kidogo vitu vikanitoka na yunge akawa amelowa kwani mvua yangu ilimnyeshea!
Yakulalia nzeheSina mood getegete.
Haha Yunge mdogo...hujambo mayu?😂😂Yakulalia nzehe
Pole nzehe...kweli usimuliaji wako u ngosha kwelikweli😂😂Sina mood getegete.
Tayar mpaka kijana wetu kawa mchawiNi gamboshi nini,[emoji23][emoji23][emoji23]
Babu mwanga mstaarabuItoshe kusema babu nae ni mwanga tu, mambo yasiwe mengi.
Halafu eti hajui kama mke wake mwangaBabu mwanga mstaarabu
Hahala hala jirani story yetu palepale tunaomba la sivyo nakurogaShapigwa na kitu kizito, game hii niliweka sare ila dakika za jioni kocha kaharibu kwa hasira zake, mpuuzi sana yule, hatakama tumeingia bure ndo turudi wanyonge? Mechukia mno leo.
Nitoe wapi morale ya kuandika? Hapa ni mpaka asubuhi kbs.Hahala hala jirani story yetu palepale tunaomba la sivyo nakuroga
Ila huyu.Kwani matokeo ya mechi ngap ngap?
Shafikepe?Bukoli - Geita
next episode plzShapigwa na kitu kizito, game hii niliweka sare ila dakika za jioni kocha kaharibu kwa hasira zake, mpuuzi sana yule, hatakama tumeingia bure ndo turudi wanyonge?
Hilo jina.Kosa likowap kuuliza outcome
Napunguza zangu hasira hapa, ngoja nikate flyingfish kadhaa ndo nikajilaze, asbuh ntaamka mapema, tena kesho nipo tu maskani naahidi mtafrah.next episode plz
upo kiwanja gani nikujoin?.Napunguza zangu hasira hapa, ngoja nikate flyingfish kadhaa ndo nikajilaze, asbuh ntaamka mapema, tena kesho nipo tu maskani naahidi mtafrah.
Nasignout hivyo.
Hivi huyu kocha hajui kwamba mchezaji akiwa na mgorogoro akili haitulii?Kwani matokeo ya mechi ngap ngap?