Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
- Thread starter
-
- #1,001
146
Babu alinitaka kutozungumza stori za ulozi tukiwa pale nyumbani, hivyo tutatafuta siku tuzungumze yote hayo.
Nilikaa kimya pale kitandani na babu akasema kama nikipona {yaani kukamilisha siku 3 bila sex wala kuoga} atanipa mtihani mdogo na nikifaulu atanipa hadhina ya kijiji.
Ndo nini hiyo babu? Nilimwuliza babu.
Pona kwanza na wakati wakati nakupa mtihani nitakueleza hadhina ya kijiji ni nini, alisema babu huku akiinuka kitandani pale na kutoka nje.
Nilijawa na shauku sana ya kutaka kujua hadhina hiyo ni nini hivyo niliona muda unakwenda taratibu mpaka siku tatu ziishe niliona kama mwezi mzima.
Nilikuwa mpenzi wa michezo hivyo nilitafuta radio one, nilisikiliza muhtasari ambao haukunivutia, haraka nilitafuta tbc taifa na nikatulia pale.
Baadae babu aliniletea msosi nikala huku akinitaka kumwambia bibi kwamba tulienda porini kwa ajili ya zindiko langu wala nisimfiche kitu.
Aliondoka na vyombo huku akinipa dawa aliyonambia ilikuwa ya usingizi, niliinya kisha nikalala.
Hhuuuh! Hhuuu! Sauti za mafisi
Babu alinitaka kutozungumza stori za ulozi tukiwa pale nyumbani, hivyo tutatafuta siku tuzungumze yote hayo.
Nilikaa kimya pale kitandani na babu akasema kama nikipona {yaani kukamilisha siku 3 bila sex wala kuoga} atanipa mtihani mdogo na nikifaulu atanipa hadhina ya kijiji.
Ndo nini hiyo babu? Nilimwuliza babu.
Pona kwanza na wakati wakati nakupa mtihani nitakueleza hadhina ya kijiji ni nini, alisema babu huku akiinuka kitandani pale na kutoka nje.
Nilijawa na shauku sana ya kutaka kujua hadhina hiyo ni nini hivyo niliona muda unakwenda taratibu mpaka siku tatu ziishe niliona kama mwezi mzima.
Nilikuwa mpenzi wa michezo hivyo nilitafuta radio one, nilisikiliza muhtasari ambao haukunivutia, haraka nilitafuta tbc taifa na nikatulia pale.
Baadae babu aliniletea msosi nikala huku akinitaka kumwambia bibi kwamba tulienda porini kwa ajili ya zindiko langu wala nisimfiche kitu.
Aliondoka na vyombo huku akinipa dawa aliyonambia ilikuwa ya usingizi, niliinya kisha nikalala.
Hhuuuh! Hhuuu! Sauti za mafisi