Nakutumia mkuuAfu namtafuta Nakadori simpati hewani Naomba halotel yake pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 😉!
Sawa mkuu naona amefunga pm mwambie anifungulie one time pullliiizzzzzzzzzzzzzzz nina shida nae sana!Nakutumia mkuu
Anasema anaelewa kila kitu. Barikiwa sanaSawa mkuu naona amefunga pm mwambie anifungulie one time pullliiizzzzzzzzzzzzzzz nina shida nae sana!
sawa dearAkitupia usisahau kunitag dearr!!
Kwa hii akili yako ukitulia ukaandika script we nitajiri..pitia pia short courses za script writing na movie directing ,utamshukuru Mwenyezi Mungu Kwa kukutana nami hapaWana jamvi leo nawaletea stori ya maisha niliyopitia, harakati za maisha, mapenzi, uonevu fitina na uchawi vyote utavipata hapa, ni true stori, lakini majini ya vijiji na watu nitabadilsha kwa ajili ya usalama wangu, karibuni.
Mzee sina kabisa mawazo hayo mchimbaji mimi.Kwa hii akili yako ukitulia ukaandika script we nitajiri..pitia pia short courses za script writing na movie directing ,utamshukuru Mwenyezi Mungu Kwa kukutana nami hapa
Shida yako nini mzee mwenzangu?Story imewekewa uongo mwingi mpaka haieleweki hapo yupo anatunga nn cha kuja kusema baada ya dawa kuharibika
Upo hadi huku kwenye ulozi🙂Santo sana Mmarekani nimefikaaa ngoja nitulie nisome vizuri!!
Wapii baby zu Tayukwa Lovelovie leadermoe Gily cocastic Nakadori Lastmost Mbobo mtzmweusi ERoni kitalembwa Unforgettable Tyrone Kaijage
🤣🤣Upo hadi huku kwenye ulozi🙂
Wewe achana nayo. Tunga yako Kama itakua na mvuto. Tumbili wewe.Story imewekewa uongo mwingi mpaka haieleweki hapo yupo anatunga nn cha kuja kusema baada ya dawa kuharibika
Una mambo ya kike we jamaa,kwa hiyo unaona vizuri kuandika vimistari 2/3 na kuacha.Tatizo nini kapyoko
Ufala uponao wewe ambae unaifatilia stori hii pasipo kuacha mpaka inafika hapa, ebu acha hasira za kijinga sawa?Una mambo ya kike we jamaa,kwa hiyo unaona vizuri kuandika vimistari 2/3 na kuacha.
Story inachukua mwezi mzima-si ufala huo
Mkuu achana nao watu kama hawa, shusha vitu Mzee tuendelee na story yetuUfala uponao wewe ambae unaifatilia stori hii pasipo kuacha mpaka inafika hapa, ebu acha hasira za kijinga sawa?
Santo sana Mmarekani nimefikaaa ngoja nitulie nisome vizuri!!
Wapii baby zu Tayukwa Lovelovie leadermoe Gily cocastic Nakadori Lastmost Mbobo mtzmweusi ERoni kitalembwa Unforgettable Tyrone Kaijage
Wapuuzie hawa viazi mkuu...wanamambo ya kigayShida yako nini mzee mwenzangu?