156
Nilimshangaa babu kuniambia eti wiki mbili nilikuwa uchi mbaya zaidi anataka nitoke nje ili bibi na yunge mdogo wamwone manyanda wangu na mayai yake akienda kulia na kushoto kama anakaanga karanga, kisha tena wayaone makalio yangu yanavyopishana moja likipanda juu, lingine linashuka chini, niliona upudhi huu, nilisimama pembeni ya mlango nisitoke.
Naona akili bado haijakuka sawa wewe, ebu tangulia ukaoge haraka kabla maji hayajapoa, alinikomalia babu.
Nilichungulia tena nje na kuwaona bibi na yunge mdogo wakiwa wanatazama huku tulipokuwa, niwazi waliisikia sauti ya babu akinilazimisha jambo, kabla sijafanya chochote nilimwona yunge mdogo akielekea tulipokuwa, yaani ndani mwangu, nikawa najiandaa kumbia chumbani.
Wamekuharibu sana mwanangu, aliongea babu akinitazama usoni huku akiwa kanishika mkono kwanguvu na kuanza kunivuta kuelekea nje, tulipishana yunge mdogo ambae aliambiwa angoje nioge kwanza kisha ataniona, hapo sasa badala ya kuvutwa na babu ilibidi nikimbie kukwepa yunge mdogo asiyafaidi matako!