Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Umeanza kua kaongo ntamuita mtetezi wa wasoma hadithi Chizi Maarifa [emoji23]Wakuu tukutane saa 11 asbuh. Nasign out hivyo.
Tumesimamia ahadi yako mzeeWazee mkiona kimya mjiongeze basi.
Aiseee ule uzi wa poker uko jukwaa gani mkuu nitag nahuo uzi nimeupoteza kabisa yaani.Heading ya hii story haikunivutia kabisa,hvyo nilkuwa naipitiliza tu lakin kuna member niliona anaisifia kwenye ile story ya ujambaz wa chuga,tabora kigoma zambia ndo nikaamua niisake,nimeipenda sana
Weka weka na uongo ili iwe tamu zaidi
Tumesimamia ahadi yako mzee
kumbuka hata Biblia imesema ukiahidi Jambo kwa ndugu yako, kama huwezi timiza basi tengua mapema usimwachie arosto
Yule mleta uzi Poker kapotea hakuna jipya kuleAiseee ule uzi wa poker uko jukwaa gani mkuu nitag nahuo uzi nimeupoteza kabisa yaani.
Leta storiWazee mkiona kimya mjiongeze basi.
Kwaiyo Una tufokea we boyaWazee mkiona kimya mjiongeze basi.
Ona hii EvilSpirit !Kwaiyo Una tufokea we boya
KAZI IENDELEE MPAKA SAA SITA USIKUπ π179
Niliendelea kujipa matumaini huenda nikirudia maji nitamwona tatu hivyo nilifika nyumbani na kumimina maji mtungini, nilitoka nje ambapo nilimkuta bibi kajianika kwenye kijua kile cha asbuhi, sikutaka kuonesha utofauti bali nilimsalimia kwa uchangamfu naye akajibu salamu yangu kwa uchangamfu.
Niliondoka kuelekea bombani kuchota maji, lakini kabla sijafika mbali niligeuka nyuma na kumwangalia bibi, nilishangaa kumwona kaniangalia kwa jicho la kuogopesha, aliangalia pembeni mara tu nilipogeuka, alichelewa kwani nilikuwa nimemshitukiza.
Nilifika pale bombani huku kichwani nikiwa na mawazo juu ya vita aloniambia babu dhidi ya bibi na yunge, kwa muonekano ule wa bibi kunikata jicho kali nilikosa amani kabisa, yaani yeye ndie mpishi pale nyumbani, itawezekana kweli kukawa na usalama? Niliiona hatari mbele yangu.
Kumbe bado upo hapa nzehe? Mie nilifikri ulirudi mjini baada ya tukio la siku ile, nilishituliwa na sauti ya msichana aliyejulikana kwajina la mage, huyu alikuwa rafiki yake tatu.
Nipo tu mage.
Tujiongezee nnWazee mkiona kimya mjiongeze basi.
Zawadi ya FC LIBOLO bangala LITOMBOππ181
Usiku wa siku ile nilibanwa na kichomi hivyo babu alijaribu kunifanyia dawa ili nipate nafuu, lakini kadri muda ulivyosonga hali ilizidi kuwa mbaya na kupelekea kupumua kwa tabu sana, kulipokucha asubuhi tuliondoka na babu kwenda kwa mzee mmoja ambae alinichanja chale mwili mzima, alinipaka dawa na kweli baada ya muda nilipata nafuu na tukarejea nyumbani muda ukiwa si rafiki tena,
Sasa nilishangaa siku ile nafika kisimani anaanza kunishambulia kwa maneno makali vile kweli? Nilimweleza mage aliyeonekana kuguswa sana na uwongo wangu ule.
Kiukweli hata mimi nilichukizwa na ulopokaji wake, yaani kumbe mlikuwa na miadi na yeye badala atulie umweleze tatizo nini akawa analopoka vile? Alishangaa mage huku akisema shoga yake huyu huwaga ni kilopolopo mno.
Sasa mage ninazawadi yako, naomba umwambie aje tuyaongee yaishe kwani mimi nampenda mno tatu na sitaki akae na wasiwasi vile, nilimwambia mage ambae alionekana kuvutiwa na maongezi yangu huku shoga zake wakiwa wametuacha umbali kiasi.
Zawadi gani hiyo?