True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

CHAI
 
Hatimae na mm nimeimaliza, hii story....ukiita wewe chai! Lete wewe kitafunio! Blalifakin wahed!....

Wengine twainywa hivyo hivyo! Bila hata kitafunwa!

Kuna pimbi kadhaa humu lengo ni kutuharibia burudani tu! Si zigeuke yunge au tatu basi zisukumiwe hata machakani! Blalifakin wahedi!
 
Uliambiwa ulale nae kwao sio vichakani
Ushaharibu dawa

Yaani hapo Kama mmoja anangoma wote mshapata
 
Mtoa story ni mkaidi sana hujawai kufanikiwa kwa mambo unayoambiwa na babu yako usifanye lkn wapi huelewi mpaka unakula yaani hubebeki
 
Hance Mtanashati the remaining cocastic ahusike na huu ujumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…