True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

Mzee mwenzangu kumbe upo ilazo hapo?
Mwez ujao nakuja Dom,nitakuita tule 🍺bariid hapo Bambalaga
 
Nimepata malalamiko kuwa unachelewa sana kuleta episodes. Usiendelee kuwakwaza wasomaji. Leta episodes nyingi na zenye ujazo. Sipendi tuingie kwenye mgogoro halafu niku remove jukwaani. So zingatia haya ili tusije onana wabaya. Pia wengi wanataka uwatangazie moja ijulikane kuwa HICHO NI KIJIJI CHA WACHAWI. KUWA KILA MTU NI MCHAWI. AMA SIVYO WEKA NA CHARACTERS AMBAO SI WACHAWI.

Natumaini utayafanyia kazi haya. Nasubiri utekelezaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…