Mkuu bado hujamaliza kula Pasaka?Ipi hiyo?
Kwa sababu zipi???Mleta mada ndiye story teller mbovu zaidi kuwahi kutokea JF
Bado kabisa ndugu.Mkuu bado hujamaliza kula Pasaka?
Mzee mwenzangu kumbe upo ilazo hapo?Mzee hi story yako imeniogopesha Sana want narudi home nilipitia swaswa , Kisha kuja ilazo Ninako ishi natembee mdgomdg kuelekea ilazo huku nasoma story yako ajabu nikakutana na paka mwenye mabaka meusi meusi na meupe akasimama kwa ujasiri Basi namm nikamvyonza [emoji23] Kisha nikaendekea nasafar nafika home nafuta geti nashangaa kumuona yule paka Tena akinitangulia mbele yangu kwa kuruka ukuta na Kisha kukimbilia uvunguni mwa gari iliyo paki nikitafuta fimbo nimfate huku najeuza macho HV kurud sijamuona paka
Aliko pitaa huwenda Ni yunge ananichezea
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Aisee! Unasoma, ama unapitia mkuu.Hatimaye nimemaliza episode zote,yan ngoma meianza Leo tu
Au kapitiliza hadi kwa masista kule😆Atakua katokomea nzuguni 😁
😂 naona anaitafuta homboloAu kapitiliza hadi kwa masista kule😆
Kesho usiku namfatilia mdogo mdogo ntaanzia kona ya ihumwa hapo,nikimkuta tu huyo ameisha,...nimechanjwa mwili mzima na babu 😂😂 naona anaitafuta hombolo
Muwahi kabla hajaruka ukuta wa wenyewe 😅Ke
Kesho usiku namfatilia mdogo mdogo ntaanzia kona ya ihumwa hapo,nikimkuta tu huyo ameisha,...nimechanjwa mwili mzima na babu 😂
Wazee wa baka baka?,kule hapaingiliki mkuu,ntamuacha akecheze nao😆Muwahi kabla hajaruka ukuta wa wenyewe 😅
Huko huko 😂 kwenye kuta nyeupeWazee wa baka baka?,kule hapaingiliki mkuu,ntamuacha akecheze nao😆
Kumbe una familia mkuu?,....Nipo na familia mkuu pasaka hii na sidhani kama nitapata tyme ya kuandika ndani ya siku 3 hizi.
Labda mke mwenyewe ndo Yule three mkuu😂Hiki ki fala kilishalewa sifa dadeki
kwa iandishi wa ki uharo wa bata kwanini asimalize vi episode vifupi kama mgoli wa kwanza....Aisee! Unasoma, ama unapitia mkuu.
Kumbe una familia mkuu?,....
Ulimuoaga Three au Yunge mdogo ?
Uzi unaonekana wa [emoji91] episode zimeshiba vilivyo shukran sana kwa link. Ngoja niendelee