True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

Kaongea vitu vingi vya uongo yaaani babu yake ndo awe anamuita dogo muongo mkubwa na Ole wake arudi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Wewe mchokozi sana.. unamuita muongo huku unasoma.
Jamaa kashasema Kama unajua zaidi yake simulia wewe.
Au hapa kuna Wale waliokua nae mkutano wa wachawi usiku ule pale mtini?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Wewe mchokozi sana.. unamuita muongo huku unasoma.
Jamaa kashasema Kama unajua zaidi yake simulia wewe.
Au hapa kuna Wale waliokua nae mkutano wa wachawi usiku ule pale mtini?
Aache kupotosha umma
 
Kwanini usisubiri mpaka mwisho ndio ukatoa makosa unayohisi? Kwanza Nani kakupa kazi ya u editor?
wewe ukikuta mtoto wako amewekewa sumu kwenye chakula anaanza kula utasubiri mpaka amalize kula ndo umsaidie?
 
Mkikaa mmevimbiwa maharagwe mnawaza jinsi ya kuja kudanganya watu huku JF kinachokera ni kuandika Hadith ya kweli wakati inaonekana kabisa ni ya kutunga. na sasa unaanza ku struggle kuunganisha matukio maana umekaribia kumaliza uongo. hadith ina uongo ambao hata mtoto wa darasa la 2 tu anaugundua. maongezi unaweka ya kitoto mara sijui chama na bao la nkana. kijijini hayo wanayajulia wapi tena na wanawake. yaani maongezi unayoandika yanaonesha hata wewe bado mtoto hujielewi
 
Mkikaa mmevimbiwa maharagwe mnawaza jinsi ya kuja kudanganya watu huku JF kinachokera ni kuandika Hadith ya kweli wakati inaonekana kabisa ni ya kutunga. na sasa unaanza ku struggle kuunganisha matukio maana umekaribia kumaliza uongo. hadith ina uongo ambao hata mtoto wa darasa la 2 tu anaugundua. maongezi unaweka ya kitoto mara sijui chama na bao la nkana. kijijini hayo wanayajulia wapi tena na wanawake. yaani maongezi unayoandika yanaonesha hata wewe bado mtoto hujielewi
Kaka usipovutiwa na Jambo, just ignore tu kimya kimya
Kuna wengine tunafatilia
 
Mkikaa mmevimbiwa maharagwe mnawaza jinsi ya kuja kudanganya watu huku JF kinachokera ni kuandika Hadith ya kweli wakati inaonekana kabisa ni ya kutunga. na sasa unaanza ku struggle kuunganisha matukio maana umekaribia kumaliza uongo. hadith ina uongo ambao hata mtoto wa darasa la 2 tu anaugundua. maongezi unaweka ya kitoto mara sijui chama na bao la nkana. kijijini hayo wanayajulia wapi tena na wanawake. yaani maongezi unayoandika yanaonesha hata wewe bado mtoto hujielewi
Hebu weka na wewe hadithi yako ya ukweli tuone au unataka tuanze kimchangia Hela kabisa kwa mkasa wake huu maksusi ili uumie zaidi??!
Au tumtafutie publisher aandike kitabu!?? Au apewe ulinzi? Kwani wewe unaumizwa na nn na uongo huo!!
 
Mkikaa mmevimbiwa maharagwe mnawaza jinsi ya kuja kudanganya watu huku JF kinachokera ni kuandika Hadith ya kweli wakati inaonekana kabisa ni ya kutunga. na sasa unaanza ku struggle kuunganisha matukio maana umekaribia kumaliza uongo. hadith ina uongo ambao hata mtoto wa darasa la 2 tu anaugundua. maongezi unaweka ya kitoto mara sijui chama na bao la nkana. kijijini hayo wanayajulia wapi tena na wanawake. yaani maongezi unayoandika yanaonesha hata wewe bado mtoto hujielewi
Unatabia za kike sana wewe na dada ako jeni wote sawa
 
Hebu weka na wewe hadithi yako ya ukweli tuone au unataka tuanze kimchangia Hela kabisa kwa mkasa wake huu maksusi ili uumie zaidi??!
Au tumtafutie publisher aandike kitabu!?? Au apewe ulinzi? Kwani wewe unaumizwa na nn na uongo huo!!
weka namba ya simu hapa uchangiwe... sisi tupo kuwasaidia ninyi wenye uelewa hafifu. hili ni jukwa huru so atakosorewa tu akitaka kudanganya.
 
Back
Top Bottom