Kaongea vitu vingi vya uongo yaaani babu yake ndo awe anamuita dogo muongo mkubwa na Ole wake arudi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Wewe mchokozi sana.. unamuita muongo huku unasoma.
Jamaa kashasema Kama unajua zaidi yake simulia wewe.
Au hapa kuna Wale waliokua nae mkutano wa wachawi usiku ule pale mtini?