True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

Huyu nae mleta story wa ovyo tu Hana maana..next time usianzishe kitu Cha kutunga wakati huna vitu vingi kichwani mwehu wewe..
We Acha 2, kila baada ya masaa kadhaa naingia,naona hola 2,inataka moyo sana kumvumulia ,..naunga hoja aisee
 
We jamaa ulivyoanza story yako na unachofanya sasa hivi,unatia huruma sana aisee.
 
Huyu nae mleta story wa ovyo tu Hana maana..next time usianzishe kitu Cha kutunga wakati huna vitu vingi kichwani mwehu wewe..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu jamaa sijibizani nae akija.. uzi Wake niliota napaa mara naning’inia na kamba mji mmoja kwenda mwingine[emoji23]
Na akija online atajibizana kwanza [emoji1787]
 
Back
Top Bottom