True story: Jinsi nilivyopambana kutafuta mali za Mjerumani mkoani Morogoro, mauzauza na vimbwanga nilivyokutana navyo

Mkuu mbona inaonekana kama wewe ndo Siasa unajipigia. chapuo?
 
Tuachane na stori kwanza, hivi madini ya mercury yana thamani kama ilivyo kwa vito au dhahabu?
 
hapana mkuu, mimi nina account 1 tu humu. na ananifahamu mtu mmoja tu humu. siwezi fanya kama wanavyofanya wengine si vizuri kutaja ila wanaaccount 7.

naeleza kisa cha kweli hakuna hata chembe ya uongo
Tuendelee basi mkuu, unapaka sana rangi. Wenzako huwa wanaweka kwa parts kwa vile wanakuwa busy sana, sasa wewe unacomment lakini humalizii hii story. Sio vizuri, sijapenda kwa kweli.
 
Tuachane na stori kwanza, hivi madini ya mercury yana thamani kama ilivyo kwa vito au dhahabu?
Kwa wachimba dhahabu kuna vitu vnachawanywa na hyo mercury akienda machimbo yenyewe hutumika kupata dhahabu kiurahc!!! Hiyo n kwaufupi sana ila unaweza kuifanyia vtu vingi ikakupa utajiri
 
Haya mambo yanawatia watu wazimu sana.
Sasa milioni 78 si ni mtaji mkubwa sana huo wa biashara.
 
Hii stori kama ni ya kweli wewe jamaa una roho ngumu sana.
Sehemu kama hiyo ambayo umeambiwa kuna joka kubwa unaingia ukiwa peke yako,nimekuvulia kofia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ