Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] kwakweliKweli shemela??? Basi hakupendi kiukweli....piga chini, hizo hela tupe shemeji zako tule bia achana nae kiazi huyo
Nilipogundua mi mwenyewe naipenda miamala yangu, nikaachana kabisaa na masuala haya.. najitumia tu mwenyewe toka line hii kwemda nyingime au toka kwenye simu kwenda bank.Mwambie ndugu yako apunguze kujieleza pia madem wanapenda miamala
Ni vitoto vipumbavu ndo mambo yao hayaKhaaa
"NAOMBA NIPENDE"
Sijaamini what this upo serious
Brand imeshuka saaaanaAarghh...nini?
Naomba nipende?
Mjinga sana kijana
Enzi za kulilia kupendwa, wanaume kama mademuBrand imeshuka saaaana
Hata wewe ni phalla mwingine🤣🤣🤣🤣Mwanaume gani unaandika "jamani" acha kelele tuma mualamala hapo muulize kama amepokea akisema bado ongeza muamala wa pili muulize bado haijathibitishwa?
Yaani story chache afu aanze kukuona dhahabu. Sio kuomba upendwe. No way.Mad Max mchizi wangu mwanaume utakosaje swaga la kumlowanisha binti ajilete mwenyewe?😂😂😂
Aaah wapi wanawake wenye akili wanaona kinyaa kwa mwanaume mnyonge, zaidi atachunwa tu, binti wa kichaga wanaheshima yao🤣Yaani story chache afu aanze kukuona dhahabu. Sio kuomba upendwe. No way.
Sema. Mwamba hajachelewa, anaweza kuamua kumpotezea mwezi tu demu utasikia mbona umenisusa.
Dia jamani uchoyo umeanza liniNilipogundua mi mwenyewe naipenda miamala yangu, nikaachana kabisaa na masuala haya.. najitumia tu mwenyewe toka line hii kwemda nyingime au toka kwenye simu kwenda bank.
Ukiiona ile message walah ni raha sana, achen tu mademu wapende miamala,
Ndio kazi ya hela..matumiziHata wewe ni phalla mwingine🤣🤣🤣🤣
Hivi utageuzwa ATM
Mwanaume wa kuendesha mapenzi kwa jeuri ya pesa ni mwanaume dhaifu sana.Ndio kazi ya hela..matumizi
Huo mda wa kupenda mwanaume unatoa wapi? Huwezi kufanya vyote chagua moja btwn kutafuta hela au kuendekeza mwanamkeMwanaume wa kuendesha mapenzi kwa jeuri ya pesa ni mwanaume dhaifu sana.
Vocal lako kwanza lazime lipenye moyoni kwa binti.
Nguvu ya pesa ukanunulie wanaojiuza barabarani
Pesa ndio inafanya mwanamke akuheshimu..oyaa ukiletewa maji ya kunywa unapigiwa goti?? Kama bado tafuta helaMwanaume wa kuendesha mapenzi kwa jeuri ya pesa ni mwanaume dhaifu sana.
Vocal lako kwanza lazime lipenye moyoni kwa binti.
Nguvu ya pesa ukanunulie wanaojiuza barabarani
Muambie kijana afocus na shule kuwa muwazi kwabwamdogo acha kumfumbiaFocus na mambo ya msingi halafu kama demu anakupotezea kwanini unalazimisha ? Kwanza una umri Gani?