kweli digna sisemi uongo wala sio siku nyingi kiivo ni elfu mbili hii hii wallahSmile bhana, aaah! Umeniacha hoi na siredi zako. Nashukuru Mungu sikusoma shule ya ivo. Tulipimwa nadra sana na matron na manesi wa kike. Hiyo skuli kweli jameni, ama ilikuwa enzi gani hizo maana nina hakika uvumi ungesambaa hadi kwa Mkuu wa Wilaya. Bado siamini amini, Dah! Kweli hiyo najis.
mwenyewe ulikuwa unaona raha unatamani kila wiki iwe zama yako kupimwa??shuleni kulikuwa na utaratibu wa kupimwa mimba kila tufunguapo shule baada ya wiki mbili.ila upimaji wake daaah huwa nautafakari sana
mkuu wa shule alikuwa wa kiume,daktari wa kiume even tulikuwa na matron hakuruhusiwa kuingia
chumba cha kupimia alikuwa anaingia headmaster na dokta wake
jinsi ya kupima,tulikuwa tunavuliwa nguo zote
dokta na mkuu wa shule wanakushika shika tumbo na matiti wanadai wanapima cancer
mkuu wa shule sometimes alikuwa anasema ulale na mgongo apime na homa ya uti wa mgongo
hii ilikuwa fair kweli? Walikuwa wanakushika kweli hadi wadada wengine walikuwa wanazimia zoezi linaenda hata wiki
siku hzi sijui wanapimaje
nadhani unatamani ungekuwa ulisoma hii shule
sasa tungesemaje ? kwani mimi mimba nilikuwa najua inapimwa vp? nilidhani ndivo inavopimwaSmile mbona kama ni juzi hapo watoto wote wa 2000 ni wa kizazi cha www.com? We ilikuwaje mnakubaliana na najis kubwa hivo hamsemi hata kwa matron au wazazi au popote? Mie ni wa enzi za typewriter na fax yaani hata analog ilikuwa haijaja sembuse digital lakini wallah nakwambia taarifa zingemfikia hadi Mkuu wa Wilaya. Sasa www.com pia mmefanyiwa hivo kimya waja sema huku? Au pengine walikuwa wanakunajis wewe tu, yaani bado nashangaa.
sio mimi tu mamii kwani siku hz wanapimwajeSi Smile, hao walijua wewe mtoto mtulivu sana na umekaa kama sista fulani hivi husemi kitu. Kwani ulikuwa na miaka mingapi? We ulikuwaga husimuliani na wenzako skuli mambo yanavokuwaga na mimba zinavopimwa? Wasichana husimuliana kile wanachofahamu, kama wanaogopa kuuliza kwa wakubwa. Enzi zetu hatukuwa na maongezi na wakubwa kama ilivyo leo. Lakini kizazi cha www.com au enzi hizi za 2000 hata cartoon zinaonyesha inakuwaje. Hakukuwa hata na ka TV home? Bado mwenzio sielewi kwa kweli. Ila kwa vile ni jana tu, hao watu bado hawajastaafu wapo. Nadhani inabidi kuwachukulia hatua, hata kama ni wewe binafsi kuwa face uwaambie hukuwa ukipendezwa na matendo yao. Nadhani walikuonea sana wewe kwa vile ulionyesha dalili zote na :tape:
bado sijaolewa so sina 24 hrs access na yeye ila kila nipatapo nafasi lazima nifanye hata kama ijumaa+jumosi+jpili consecutively mchana usikuunafanya mara ngapi kwa mwezi?
huyu alikuwa anataka apimwage yeye tu kila wiki yaan hujamshtukia???Ila kwa kweli, siredi hii nikiunganisha na ile nyengine, nimecheka sana leo. Imenifungia wiki kwa kicheko cha mwaka. We mtundu sana. Bado sia mini www.com wangekuchezea hivo. Weekend njema Smile!
Digna 'Hakunaga' watoto wajinga kihivyo, lazima angejitokeza hata mmoja akaseme nyumbani kwao manake ni kitu kisichofurahisha!.. Shule nzima mkae kimya jamani, jamani khaaa! Hakunaga mpendwa!Smile mbona kama ni juzi hapo watoto wote wa 2000 ni wa kizazi cha www.com? We ilikuwaje mnakubaliana na najis kubwa hivo hamsemi hata kwa matron au wazazi au popote? Mie ni wa enzi za typewriter na fax yaani hata analog ilikuwa haijaja sembuse digital lakini wallah nakwambia taarifa zingemfikia hadi Mkuu wa Wilaya. Sasa www.com pia mmefanyiwa hivo kimya waja sema huku? Au pengine walikuwa wanakunajis wewe tu, yaani bado nashangaa.
ndio enzi hizo hizo
Ataje basi jina la hiyo shule LABDA ni kweli, narudia tena LABDA!Ila kwa kweli, siredi hii nikiunganisha na ile nyengine, nimecheka sana leo. Imenifungia wiki kwa kicheko cha mwaka. We mtundu sana. Bado sia mini www.com wangekuchezea hivo. Weekend njema Smile!
nilikuwa najikunyata kama kifaranga
bado sijaolewa so sina 24 hrs access na yeye ila kila nipatapo nafasi lazima nifanye hata kama ijumaa+jumosi+jpili consecutively mchana usiku
Karibu sana. Hapa zaidi ninatetea hii dhana ya (ku)najisi ambayo ni dhahania tu "subjective". Sio lazimathax kwa kunitetea mkuu.watu humu wanajua kuchonga tu bila sababu
baada ya kunitongoza nikakukataa naona unanijia juu siku mingi mkuu.sikutaki basi