Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli ulivosema hawasemi yoote utabaki kulaumu lakini sio rahisi
Hahaha wewe wacha kunichekesha.baada ya kunitongoza nikakukataa naona unanijia juu siku mingi mkuu.sikutaki basi
Fafanua zaidi kaka,
Walifanywa/fanyiwa nini??
Babu DC
miaka imepita mbu ingawa sio mingi mi huo muda sina pia wenzangu nitawaorganize vp?
kwa ushahidi gani? what if mwalimu alishaacha hiyo kitu, alishastaafu etc.
Ninaona ni kuwa kuna gap kubwa sana katika mawasiliano kati ya wazazi/walezi na watoto. Bila hivyo huyu mwalimu angeshashighulikiwa mapema mno.
Kujifunza kuwa karibu na watoto wetu kimawasiliano, tuwafanye marafiki zetu, tuwe wazi kwao na watakuwa wazi kwetu.
unajua gharama za kesi wewe?
...alikuwa 'anawafanya matusi' ofisini kwake, na waliokataa tuliwashuhudia wakichimbishwa visiki na kuchimbishwa mashimo ...adhabu zilizodumu hata wiki nzima...na wala haikuwa siri matendo yake pale shuleni.
...usijilazimishe, lakini mpaka kufikia leo hii 24/feb/2012 umeupandisha uzi huu hewani ni kithibitisho tosha psychologically umeathirika na hiyo experience...hata ukisema huna muda, jinamilizi hili litaendelea kukuandama kila wakati na popote utaposoma "mwanafunzi kadhalilishwa na mwalimu wake.."
...kosa ni kosa -halifutiki! hata kama lilifanyika miaka 40, 30, 20, au 10 iliyopita,
muhimu ni kupatikana ushahidi wa kutosha kumfungulia mashtaka
na kuhukumiwa kufuatia testimony [of witnesses]...
FYI sijasema yananuka nimesema unajisikia unanuka...yani sio lazima unuke...Afu kwenye usafi sio lazima mpaa unuke jiwahi kabla hujanuka, na anaye sema anamavuzi yasio nuka nani basi huyo atakuwa malaika si binadamu tena :biggrin:sijawai kusikia mafuzi ya wki tatu yakinuka.hayo ni ya kwako kamuone daktari.ni ugonjwa huo
unajua gharama za kesi wewe?
nyie mlikuwa mnapimwaje
unajua gharama za kesi wewe?
Yeah itabidi niendelee tu kucheka, sijui next thread utaleta yakusema; ulikuwa unanyonywa mdomo na matiti kwa sababu walikuwa wanakupima malaria, na nashaka sana itakuwa na yenyewe ni ture story pia :biggrin:utacheka saaana mwaka huu.
unajua gharama za kesi wewe?
Thanks and be blessed babu DC.Ahsante sana SL,
Ujumbe wa bibi nitaufikisha,
Mie sina la kusema kwa sababu story inatia uchungu sana...Na bora iwe ya kutungwa....
Hata hivyo ngoja tusubiri wadau wengine waliopita sekondari watupe ushuhuda wao!
Babu DC
sijamaanisha vibaya mbu sory kama umenielewa vibaya my dear friend mmmh.nchi hii corruption ipo juu besides muda umepita
...ooooppppsss, pole bana....nilikuwa nauchangia uzi huu kwa nia nzuri tu za kuelimishana,
samahani sana kwa kukukwaza iwapo lolote nililochangia limekuudhi.
Kwa wale wenye nia ya kujifunza mambo haya na msaada wa kisheria, mwaweza jikumbusha kesi
za mzee maumba, babu seya, na nyinginezo mtandaoni eg; court cases
siku njema.
Tehe! Fazaa we ni noma!Yeah itabidi niendelee tu kucheka, sijui next thread utaleta yakusema; ulikuwa unanyonywa mdomo na matiti kwa sababu walikuwa wanakupima malaria, na nashaka sana itakuwa na yenyewe ni ture story pia :biggrin:
sijamaanisha vibaya mbu sory kama umenielewa vibaya my dear friend mmmh.nchi hii corruption ipo juu besides muda umepita