TRUE STORY: Nimekoswakoswa Kuibiwa na msichana wa JF

TRUE STORY: Nimekoswakoswa Kuibiwa na msichana wa JF

Yeah, bado naishi kwa wazazi, au kuna tatizo mimi kuishi kwa wazazi IKIWA
YESU MPAKA LEO BADO ANAISHI KWA BABA YAKE
Pamoja na kuwa na ID fake hapa JF, lakini ni ngumu sana kuficha tabia au utupu ulio katika vichwa vyetu. So as your comment STUNTER .
 
kama ulijua kabisa, wewe ndo mwenye lile jina linaloanza na M eeeeh, hata mimi nimekugundua maana tuko wote pande zote.

kama ID yako, unayumbayumba sana.
Hahahahaha jina langu halianziwi na M, kwani badoo hakuna sehemu ya kusearch unitajie jina lako nikusearch
 
Yaaan ulipiga naye story tu ukalala? Sasa ungepewa mzigo si ungezimia kabsa
 
Siku moja nimepanga kukutana na dem mmoja
humu JF ni maarufu sana jina namuweka
kapuni,
Nimemwambia njoo nyumbani akaja vizuri tu.
Tumepiga story wee mi mpaka nikapitiwa na usingizi lakini nilikuwa nimelala jicho moja,
demu akaanza
kunipiga sachi mi namuangalia tu naona anaanza
kubeba laptop yangu na waleti niliamka nikamdaka
shingo nilimpiga nusu nimuuwe makofi yakutosha,
ashukuru Mungu wasamaria wema walikuja
kumuoka alikuwa analia kama fisi pori.
[HASHTAG]#jamani[/HASHTAG] humu Jamiiforums Musimuamini Kila mtu
Mkuu ulionyesha dalili kutomlipa?? Au ulichomlipa kilikuwa hakiendani na huduma uliyopewa??? ndiyo maana akaamua kujilipa au kujiongezea malipo.
 
Back
Top Bottom