Trump aanza kwa kutaka kunyakua Greenland na mfereji bahari wa Panama

Trump aanza kwa kutaka kunyakua Greenland na mfereji bahari wa Panama

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Rais mpya wa Marekani Donald Trump ameanza kipindi chake cha pili kwa mpango wa kutaka kunyakua Greenland ambalo ni eneo la nchi ya Denmark na mfereji wa Panama ambao ni eneo la nchi ya Panama.

Aliwahi kugusia jambo la US kuinunua Greenland katika kipindi chake cha kwanza cha uongozi watu wakafirkiri alikuwa anafanya utani tu au ni mjinga asiyejua anachokisema ila ameyarejea madai yake na akawajibu waandiashi wa habari yuko serious sana na pia hawezi kuwahakikishia hatatumia hata nguvu za kijeshi kuyachukua.

Anadai hayo ni maeneo muhimu kwa usalama na uchumi wa Marekani, amelalamika Wachina kujazana katika hayo maeneo.
 
Rais mpya wa Marekani Donald Trump ameanza kipindi chake cha pili kwa mpango wa kutaka kunyakua Greenland ambalo ni eneo la nchi ya Denmark na mfereji wa Panama ambao ni eneo la nchi ya Panama.

Aliwahi kugusia jambo la US kuinunua Greenland katika kipindi chake cha kwanza cha uongozi watu wakafirkiri alikuwa anafanya utani tu au ni mjinga asiyejua anachokisema ila ameyarejea madai yake na akawajibu waandiashi wa habari yuko serious sana na pia hawezi kuwahakikishia hatatumia hata nguvu za kijeshi kuyachukua.

Anadai hayo ni maeneo muhimu kwa usalama na uchumi wa Marekani, amelalamika Wachina kujazana Panama.
Sio tu Panama na Greenland huyu Mzaramo wa U.S anataka na Canada.

Mashabiki zake walikuwa wana msifia kuwa sio mtu wa vita na chokochoko ila hii speed aliyo anza nayo atawavua nguo.

Na sababu nyingine anasema lengo la kutaka maeneo hayo ni kumdhibiti China
 
Sio tu Panama na Greenland huyu Mzaramo wa U.S anataka na Canada.

Mashabiki zake walikuwa wana msifia kuwa sio mtu wa vita na chokochoko ila hii speed aliyo anza nayo atawavua nguo.

Na sababu nyingine anasema lengo la kutaka maeneo hayo ni kumdhibiti China
Huyo mzee ni kama amechanganyikiwa, anawavuruga washirika wa USA!
 
Kuna maelfu ya vijana wamepita JKT kwa mujibu wa sheria au kujitolea, hilo ni jeshi la akiba.
Shida ndio hii kudhani rwanda na burundi wana migambo, kwa taarifa yako tu rwanda wana jeshi la kisasa nanwamebadilika sana , si wakuwachukulia poa
 
Sio wa kuwachukulia poa ila ni wa kawaida tu kwa Tanzania, hawataenda round nyingi bila knockout.
Umeshawahi kushiriki operesheni yoyote mipakani? I did wakati naitumikia nchi yangu,

Raia acheni kushabikia vita kama simba na yanga, reanda ime change sana

moja ya kitu cha kwanza tulifundishwa coz ya tpdf wakati huu, ni kumdharau adui.

Na pia unapojiboresha, usidhani awapinzania wamelala, nao wanajiboresha. Majeshi yamebadilika, even uganda wame develop sana
 
Kuna maelfu ya vijana wamepita JKT kwa mujibu wa sheria au kujitolea, hilo ni jeshi la akiba.
Hii worse idea kwanza ungejua kinacho endelea kuhusu hayo mambo ya JKT na vijana wanaorudi usitake vita itokee kabisa hapa Tanzania itakuwa mbaya sana kwa askari waliopo TPDF sasa
 
Umeshawahi kushiriki operesheni yoyote mipakani? I did wakati naitumikia nchi yangu,

Raia acheni kushabikia vita kama simba na yanga, reanda ime change sana

moja ya kitu cha kwanza tulifundishwa coz ya tpdf wakati huu, ni kumdharau adui.

Na pia unapojiboresha, usidhani awapinzania wamelala, nao wanajiboresha. Majeshi yamebadilika, even uganda wame develop sana
Vita ni uchumi pia, kama nchi ina uchumi mdogo hata misuli ya kijeshi nayo inakuwa midogo.
 
Back
Top Bottom