Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba unapora maeneo kirahisi rahisi tu haahKumbe greenland yenyewe haina uwezo wa kijeshi na ina watu wachache kama elfu hamsini! Denmark inalazimika kuipa ulinzi na inaonekana hata marekani ikiichukua hakutakuwa na vita, denmark itaona poa tu
ufaransa inalalama, inasema umoja wa ulaya hautakubali hilo litokeeKwamba unapora maeneo kirahisi rahisi tu haah
denmark yenyewe inasema wagreenland wenyewe wataamua kama wawe sehemu ya marekani au laKwamba unapora maeneo kirahisi rahisi tu haah
Hv hz rwanda na burundi zilitushindaje!Hivi Tanzania hatuwezi kuzinyakua Rwanda na Burundi tukazirudisha?
Basi tukishindwa hata Comoro au Shelisheli tu
Yeye siyo wa kwanza kutamani kuinunua Greenland bali hata watangulizi wake walifata sera hiyo hiyoRais mpya wa Marekani Donald Trump ameanza kipindi chake cha pili kwa mpango wa kutaka kunyakua Greenland ambalo ni eneo la nchi ya Denmark na mfereji wa Panama ambao ni eneo la nchi ya Panama.
Aliwahi kugusia jambo la US kuinunua Greenland katika kipindi chake cha kwanza cha uongozi watu wakafirkiri alikuwa anafanya utani tu au ni mjinga asiyejua anachokisema ila ameyarejea madai yake na akawajibu waandiashi wa habari yuko serious sana na pia hawezi kuwahakikishia hatatumia hata nguvu za kijeshi kuyachukua.
Anadai hayo ni maeneo muhimu kwa usalama na uchumi wa Marekani, amelalamika Wachina kujazana katika hayo maeneo.
Tuna Zanzibar tayari, acha urohoHivi Tanzania hatuwezi kuzinyakua Rwanda na Burundi tukazirudisha?
Basi tukishindwa hata Comoro au Shelisheli tu
Kuna viongozi Africka wanatamani Trump aelekeze macho kwenye nchi zao ili watafute maneno ya hadaa kwa wananchi wao fikiria nchi ikiwa mikononi mwa muwakilishi wa KaweAliwahi kugusia jambo la US kuinunua Greenland katika kipindi chake cha kwanza cha uongozi watu wakafirkiri alikuwa anafanya utani tu au ni mjinga asiyejua anachokisema ila ameyarejea madai yake na akawajibu waandiashi wa habari yuko serious sana na pia hawezi kuwahakikishia hatatumia hata nguvu za kijeshi kuyachukua.
Hamuwezi ....Hivi Tanzania hatuwezi kuzinyakua Rwanda na Burundi tukazirudisha?
Basi tukishindwa hata Comoro au Shelisheli tu