Kama ilivyo kila wakati Rais mpya anapoingia madarakani huko Marekani hupewa masharti ya kiusalama ambayo ni LAZIMA ayazingatie.
Rais mteule Donald Trump amekatazwa na wataalamu wa kiusalama wa WHITE HOUSE kwamba hataruhusiwa kuitumia simu yake simu zake za SMARTPHONE -za Kupangusa (Android) akiwa IKULU na hata kaba hajaingia IKULU ya White House!
Badala yake ameambiwa atumie Blackberry na simu maalumu atakazo pewa na wataalamu wake wa kiusalama kama vile Obama naye alivyokatazwa na kuanza kutumia Blackberry mara tualipochaguliwa kuwa rais!
Backberry inadaiwa ni salama.Maana iko ENCRYPTED - Mawasilano yaliyovurugwa.
Mtu mwingine hawezi kuelewa mnachoongea ila ni yule tu anayepigiwa simu ndo ataelewa.
Hii ni kuzuia USIRI wa Rais Trump na Ikulu ya White.
Tukio hili limemfadhaisha sana Trump na kulalamika akisema atapoteza marafiki zake aliozoea kuongea nao.
Na unajua Marekani watu wa usalama wa Rais -SECRET SERVICE nk ndo walio na usemi wa mwisho kuhusu usalama wake
Swali Trump atawezaje mambo ya utawala na biashara zake bila simu zake hizo?
Maana amehuzunika sana!
Rais mteule Donald Trump amekatazwa na wataalamu wa kiusalama wa WHITE HOUSE kwamba hataruhusiwa kuitumia simu yake simu zake za SMARTPHONE -za Kupangusa (Android) akiwa IKULU na hata kaba hajaingia IKULU ya White House!
Badala yake ameambiwa atumie Blackberry na simu maalumu atakazo pewa na wataalamu wake wa kiusalama kama vile Obama naye alivyokatazwa na kuanza kutumia Blackberry mara tualipochaguliwa kuwa rais!
Backberry inadaiwa ni salama.Maana iko ENCRYPTED - Mawasilano yaliyovurugwa.
Mtu mwingine hawezi kuelewa mnachoongea ila ni yule tu anayepigiwa simu ndo ataelewa.
Hii ni kuzuia USIRI wa Rais Trump na Ikulu ya White.
Tukio hili limemfadhaisha sana Trump na kulalamika akisema atapoteza marafiki zake aliozoea kuongea nao.
Na unajua Marekani watu wa usalama wa Rais -SECRET SERVICE nk ndo walio na usemi wa mwisho kuhusu usalama wake
Swali Trump atawezaje mambo ya utawala na biashara zake bila simu zake hizo?
Maana amehuzunika sana!