Tetesi: Trump afadhaika kukatazwa kutumia simu zake

Tetesi: Trump afadhaika kukatazwa kutumia simu zake

shige2

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
8,106
Reaction score
3,966
Kama ilivyo kila wakati Rais mpya anapoingia madarakani huko Marekani hupewa masharti ya kiusalama ambayo ni LAZIMA ayazingatie.

Rais mteule Donald Trump amekatazwa na wataalamu wa kiusalama wa WHITE HOUSE kwamba hataruhusiwa kuitumia simu yake simu zake za SMARTPHONE -za Kupangusa (Android) akiwa IKULU na hata kaba hajaingia IKULU ya White House!

Badala yake ameambiwa atumie Blackberry na simu maalumu atakazo pewa na wataalamu wake wa kiusalama kama vile Obama naye alivyokatazwa na kuanza kutumia Blackberry mara tualipochaguliwa kuwa rais!

Backberry inadaiwa ni salama.Maana iko ENCRYPTED - Mawasilano yaliyovurugwa.
Mtu mwingine hawezi kuelewa mnachoongea ila ni yule tu anayepigiwa simu ndo ataelewa.
Hii ni kuzuia USIRI wa Rais Trump na Ikulu ya White.

Tukio hili limemfadhaisha sana Trump na kulalamika akisema atapoteza marafiki zake aliozoea kuongea nao.
Na unajua Marekani watu wa usalama wa Rais -SECRET SERVICE nk ndo walio na usemi wa mwisho kuhusu usalama wake

Swali Trump atawezaje mambo ya utawala na biashara zake bila simu zake hizo?
Maana amehuzunika sana!
 
Alikuwa hajajiandaaa
Laiti angejua asingegombea.
Mzushi haya majamaa hivi unawezaje kuomba nafasi ya kazi usiejua hata life style ya kazi hiyo??
Anajuta eeeh!!!
Aombewe sana na yeye
 
Biashara zake watoto wake ndio watakaoziendesha hilo liko wazi. Na pili anahaki ya kusikitika nadhani ni jambo la kawaida ni sawa na mtu anayehamishwa kituo cha kazi na anakopelekwa atalipwa zaidi lakini lazma atahudhunika kupoteza marafiki n.k. Sioni shida yeye kusema yaliyopo moyoni mwake ila ukumbuke Hillary akiwa secretary of state yeye alikaidi hayo yote matatizo yake nadhan mliyasikia
 
Nakumbuka Obama naye alilalamika sana. Alisema anakatzwa kila kitu na kubadirishiwa kila kitu, na kwamba ni kama amekatazwa maisha aliyoyazoea na watu aliozea kuwasiliana nao. Na kuna siku alitaka kutumia simu tofauti jama wa secrete service alimnyang'anya mbele ya watu.
 
Kama ilivyo kila wakati Rais mpya anapoingia madarakani huko Marekani hupewa masharti ya kiusalama ambayo ni LAZIMA ayazingatie.

Rais mteule Donald Trump amekatazwa na wataalamu wa kiusalama wa WHITE HOUSE kwamba hataruhusiwa kuitumia simu yake simu zake za SMARTPHONE -za Kupangusa (Android) akiwa IKULU na hata kaba hajaingia IKULU ya White House!

Badala yake ameambiwa atumie Blackberry na simu maalumu atakazo pewa na wataalamu wake wa kiusalama kama vile Obama naye alivyokatazwa na kuanza kutumia Blackberry mara tualipochaguliwa kuwa rais!

Backberry inadaiwa ni salama.Maana iko ENCRYPTED - Mawasilano yaliyovurugwa.
Mtu mwingine hawezi kuelewa mnachoongea ila ni yule tu anayepigiwa simu ndo ataelewa.
Hii ni kuzuia USIRI wa Rais Trump na Ikulu ya White.

Tukio hili limemfadhaisha sana Trump na kulalamika akisema atapoteza marafiki zake aliozoea kuongea nao.
Na unajua Marekani watu wa usalama wa Rais -SECRET SERVICE nk ndo walio na usemi wa mwisho kuhusu usalama wake

Swali Trump atawezaje mambo ya utawala na biashara zake bila simu zake hizo?
Maana amehuzunika sana!
Rais wa Marekani is a public commodity kwa hiyo lazima atii maelekezo hayo, kipindi chote cha urais lazima ajitenge na biashara zake ili kuzuia mgongano wa kimaslahi akiwa kama Rais, hana jinsi bali kusema NDIYOOO! Ana bahati watoto wake alikuwa anafanya nao kazi kwa hiyo ana watu anaowaamini wa kusukuma jahazi mbele wakati yeye anaendelea kuivuruga dunia!
 
Vipi ndo kusema warembo hatawapata tena beach mbalimbali kama florida na miami?
Pengine ila hatujui sana. Yetu macho tu.
Miongoni mwa mambo ya kiuasalama labda nikumdhibiti kimaadili. Sijui sana!
 
Nakumbuka Obama naye alilalamika sana. Alisema anakatzwa kila kitu na kubadirishiwa kila kitu, na kwamba ni kama amekatazwa maisha aliyoyazoea na watu aliozea kuwasiliana nao. Na kuna siku alitaka kutumia simu tofauti jama wa secrete service alimnyang'anya mbele ya watu.
Mmhh!!!sasa huo utumwa .
 
Back
Top Bottom