Trump akamata magari 1000 bandarini

Compare apple with apple mifumo ya taasisi za US na Europe imejengeka kwa Muda mrefu sana na Kuna ufanisi mkubwa katika utendaji kazi wake uku Africa na TZ bado sana ndio maana kuiboresha viongozi wakuu lazima wafanye snap checks mara kwa mara kwa hiyo mkuu na PM wanavyofanya ni sahihi sana
 
Leo trump amefanya ziara ya ghafla Newyork airport , na kukutana mashine haifanyi kazi, amekasirika na kuamua kumtumbua manager wake, maelezo zaidi yanakuja.
 
Trump ametembelea bandari na kukuta magari ya hospitali ya Chicago ambayo yaliagizwa kwa jina la ofisi ya Rais iliyopo Washington ambayo Hayana Mwenyewe
 
JF siku hizi kumejaa wapumbavu wengi kupita insta na fcb !
Bado na moderator uzi kama huu anauvumilia !
Hii ni kuishusha JF kupita kiasi.
 
JF siku hizi kumejaa wapumbavu wengi kupita insta na fcb !
Bado na moderator uzi kama huu anauvumilia !
Hii ni kuishusha JF kupita kiasi.
umepotea, jukwaa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…