Trump akazia, Jordan na Misri watawachukua wapalestina wa Gaza, mana US imewafanyia mengi

Trump akazia, Jordan na Misri watawachukua wapalestina wa Gaza, mana US imewafanyia mengi

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Alipokua akiulizwa kuhusu kauli yake alioitoa kuhusu kuhamishwa kwa wapalestina walioko Gaza, aliendelea kisisitiza msimamo huo.

Muda utatuambia kua huyu mzee hamnazo kabisa, kama lengo lake ni kushirikiana na wazayuni awatoe wapalestina gaza, amechelewa sana na haiwezekani.

Haiwezekani mtu wameishi hapo vizazi na vizazi leo aondolewa aje aishi mtu alietoka Brooklyn kwa kigezo cha “promise land”. Haiwezekani.

Ni EITHER WAPALESTINA WAISHI GAZA AU WAWAUE WOTE,HAKUNA ATAKAE KUBALI KUONDOKA. Kama anataka hivyo, awapeleke waisrael Iceland. Problem solved.
 
Alipokua aliulizwa kuhusu kauli yake alioitoa kuhusu kuhamishwa kwa wapalestina walioko Gaza, aliendelea kuaiaituza maimamo huo.

Muda utatuambia kua huyu mzee hamnazo kabisa, kama lengo lake ni kuahirikiana na wazayuni awatoe wapalestina gaza, amechelewa sana na haiwezekani.

Haiwezekani mtu wameisho hapi vizazi na vizazi leo aondolewa aje aishi mtu alietoka Brooklyn kwa kigezo cha “promise land”. Haiwezekani.

Ni EITHER WAPALESTINA WAISHI GAZA AU WAWAUE WOTE,HAKUNA ATAKAE KUBALI KUONDOKA. Kama anataka hivyo, awapeleke waisrael Iceland. Problem solved.
Uzi umejaa makosa ya kiuandishi mpka inakera kusoma, uzi ni wa kwako haraka na hasira za nini mpaka unashindwa kueleweka ulitaka kuandika nini?
 
Uzi umejaa makosa ya kiuandishi mpka inakera kusoma, uzi ni wa kwako haraka na hasira za nini mpaka unashindwa kueleweka ulitaka kuandika nini?
Kiswahili mkuu, some autocorrect na mengineyo, in short, Trump want to relocate Palestinians from gaza to Egypt and Jordan. This is ethnic cleansing and it won’t be accepted. Whatever favor he did to those countries, should remain on them and not Palestinians. That is their land and it will remain so.
 
Alipokua akiulizwa kuhusu kauli yake alioitoa kuhusu kuhamishwa kwa wapalestina walioko Gaza, aliendelea kisisitiza msimamo huo.

Muda utatuambia kua huyu mzee hamnazo kabisa, kama lengo lake ni kushirikiana na wazayuni awatoe wapalestina gaza, amechelewa sana na haiwezekani.

Haiwezekani mtu wameishi hapo vizazi na vizazi leo aondolewa aje aishi mtu alietoka Brooklyn kwa kigezo cha “promise land”. Haiwezekani.

Ni EITHER WAPALESTINA WAISHI GAZA AU WAWAUE WOTE,HAKUNA ATAKAE KUBALI KUONDOKA. Kama anataka hivyo, awapeleke waisrael Iceland. Problem solved.

Usiropoke kama huna ufahamu.

Judah Kingdom na Israel Kingdom, ndizo zilizokuwepo hapo tangu nyakati za kabla ya Kristo. Wewe leo kuishi Zenji wakati kwenu ni Kigoma, na kuna ardhi yako, hata ukifia huko Zenji, hakufuti haki ya watoto wako kurudi Kigoma kwenye eneo lao la urithi ambalo wewe baba yao ulilimiliki.

Wapalestina, kabila jipya, wana machaguo mawili tu, moja ni kuishi kwa amani bila fujo na wamiliki asilia wa Judah kingdom, au kuondoka na kuishi popote ambapo watapata amani ya mioyo yao.

Waafrika waliopelekwa USA kupitia biashara haramu ya mwarabu ya utumwa, hata baada ya biashara hiyo kufutwa, wapo ambao hawakupenda kuishi na Wamarekani mabwana wao wa wakati wa biashara ya utumwa, wapo walioamua kukubali yaliyotokea na kuendelea kuishi na waliokuwa mabwana zao, lakini sasa wakiwa huru. Hao walibakia USA mpaka leo. Ambao hawakutaka, walitafutiwa eneo huko Afrika Magharibi, na leo ndiyo nchi inayoitwa Liberia.

Wapalestina wanaokubali kuishi na Waisrael, waendelee na maisha, na wao wawe ni raia wenye haki zote ndani ya Israel. Hamas na waungaji mkono wao, watafutiwe eneo hata huko Sinai, wakatengeneze Taifa lao kama ilivyotokea kwa Liberia au Australia.

Wakorofi wa UK, walipelekwa Australia, leo Australia ni miongoni mwa mataifa bora.
 
Usiropoke kama huna ufahamu.

Judah Kingdom na Israel Kingdom, ndizo zilizokuwepo hapo tangu nyakati za kabla ya Kristo. Wewe leo kuishi Zenji wakati kwenu ni Kigoma, na kuna ardhi yako, hata ukifia huko Zenji, hakufuti haki ya watoto wako kurudi Kigoma kwenye eneo lao la urithi ambalo wewe baba yao ulilimiliki.

Wapalestina, kabila jipya, wana machaguo mawili tu, moja ni kuishi kwa amani bila fujo na wamiliki asilia wa Judah kingdom, au kuondoka na kuishi popote ambapo watapata amani ya mioyo yao.

Waafrika waliopelekwa USA kupitia biashara haramu ya mwarabu ya utumwa, hata baada ya biashara hiyo kufutwa, wapo ambao hawakupenda kuishi na Wamarekani mabwana wao wa wakati wa biashara ya utumwa, wapo walioamua kukubali yaliyotokea na kuendelea kuishi na waliokuwa mabwana zao, lakini sasa wakiwa huru. Hao walibakia USA mpaka leo. Ambao hawakutaka, walitafutiwa eneo huko Afrika Magharibi, na leo ndiyo nchi inayoitwa Liberia.

Wapalestina wanaokubali kuishi na Waisrael, waendelee na maisha, na wao wawe ni raia wenye haki zote ndani ya Israel. Hamas na waungaji mkono wao, watafutiwe eneo hata huko Sinai, wakatengeneze Taifa lao kama ilivyotokea kwa Liberia au Australia.

Wakorofi wa UK, walipelekwa Australia, leo Australia ni miongoni mwa mataifa bora.
Haya na nyie wabantu rudini Gabon mana ndiko mlikotokea.
Mtu mzima unaandika pumba
 
Kwa hyo anachosema trump hata kama ww ulale na mama yakoHaya na nyie wabantu rudini Gabon mana ndiko mlikotokea.
Mtu mzima unaandika pumba
Tena pumba za kula nguruwe kwa vle amesema Trump so akikuagiza ulale na mama yako kwako poa tu japo wauliwe lakini haweZ kuwaondoa ety mashogabzke wazidi kukaa pale
 
Hakuna atakayepokea hayo mazombi ya dini, yaje kulipuka lipuka mabomu, sio mara ya kwanza Wapalestina kuhamishwa sehemu na kuanza uasi wa kidini
 
Back
Top Bottom