Trump akazia, Jordan na Misri watawachukua wapalestina wa Gaza, mana US imewafanyia mengi

Trump akazia, Jordan na Misri watawachukua wapalestina wa Gaza, mana US imewafanyia mengi

Waleteni Tanzania hao wapelestina. Tukawaoe Binti zao na wao waoe Binti zetu.
 
Sikutegemea kama utaandika upuuzi kama huu aysee...weeh mgalatia nikuulize swali kama wapelistina hapo sii kwao..kwao ni wapi?...si unajua history ya Australia na waliberia?...unashndw vipi kujua ya wapelistina?
 
Tuelezeni basi kwao wapi..mbn mambo yanaishia njiani?..hebu tuelezeni japo kidogo?
 
Hebu tuelezeni basi kwao wapi mbn mnaruka ruka mabomu yapo hata Congo hapo..hata USA black to black wanauana au wale ni wapelistina?
 
Misri na Jordan nazo Zina rais ambaye ana mamlaka kwa hiyo hawezi kuwapa amri ya kuwachukua Wapalestina.
Usichokijua usa anaangalia misri kama sehem ya isreael na kuna maelekezo huwa yanatokea televive ndo maana israel na misri ni miongoni mwa nchi mbili ambazo hazikujatiwa msaada .. western ndo waankitaka hicho wakuwekee kiganjani na wamefanikiwa kwa jordan imarate misri na saudi ukishaakula vya watu ni lazima ulipia . Huu ujinga ndo iran aliikataa kata kata kulamba miguu ya western
 
Alipokua akiulizwa kuhusu kauli yake alioitoa kuhusu kuhamishwa kwa wapalestina walioko Gaza, aliendelea kisisitiza msimamo huo.

Muda utatuambia kua huyu mzee hamnazo kabisa, kama lengo lake ni kushirikiana na wazayuni awatoe wapalestina gaza, amechelewa sana na haiwezekani.

Haiwezekani mtu wameishi hapo vizazi na vizazi leo aondolewa aje aishi mtu alietoka Brooklyn kwa kigezo cha “promise land”. Haiwezekani.

Ni EITHER WAPALESTINA WAISHI GAZA AU WAWAUE WOTE,HAKUNA ATAKAE KUBALI KUONDOKA. Kama anataka hivyo, awapeleke waisrael Iceland. Problem solved.
Nani kakupa mamlaka ya kuua wapalestina wote huko Gaza? Au kuna babu yako mmeongea nae kasema wauliwe wote?
 
Wawapeleke jangwa la sahara waunde nchi yao wakae kwa amani
 
Usiropoke kama huna ufahamu.

Judah Kingdom na Israel Kingdom, ndizo zilizokuwepo hapo tangu nyakati za kabla ya Kristo. Wewe leo kuishi Zenji wakati kwenu ni Kigoma, na kuna ardhi yako, hata ukifia huko Zenji, hakufuti haki ya watoto wako kurudi Kigoma kwenye eneo lao la urithi ambalo wewe baba yao ulilimiliki.

Wapalestina, kabila jipya, wana machaguo mawili tu, moja ni kuishi kwa amani bila fujo na wamiliki asilia wa Judah kingdom, au kuondoka na kuishi popote ambapo watapata amani ya mioyo yao.

Waafrika waliopelekwa USA kupitia biashara haramu ya mwarabu ya utumwa, hata baada ya biashara hiyo kufutwa, wapo ambao hawakupenda kuishi na Wamarekani mabwana wao wa wakati wa biashara ya utumwa, wapo walioamua kukubali yaliyotokea na kuendelea kuishi na waliokuwa mabwana zao, lakini sasa wakiwa huru. Hao walibakia USA mpaka leo. Ambao hawakutaka, walitafutiwa eneo huko Afrika Magharibi, na leo ndiyo nchi inayoitwa Liberia.

Wapalestina wanaokubali kuishi na Waisrael, waendelee na maisha, na wao wawe ni raia wenye haki zote ndani ya Israel. Hamas na waungaji mkono wao, watafutiwe eneo hata huko Sinai, wakatengeneze Taifa lao kama ilivyotokea kwa Liberia au Australia.

Wakorofi wa UK, walipelekwa Australia, leo Australia ni miongoni mwa mataifa bora.
Waisrael ndio Tramp atawachukua kutoka apa Palestina na kuwapeleka marekani na kwengineko

eneo lile sio la Wazungu acha kuota wewe kijana!! akuna mpalestine ataondoka ktk Ardhi yake

. AKILI awana Wazungu wameshindwa vitani sasa wanatumia midomo kutoa matamko debe tupu!! Je wataenda kupigana!!!
Ule mfupa mgumu Tramp Atakwama na kumfanya azeeke kwa kasizaid

uyu Tramp ni mlokole kipindichake chamwanzo alikuja na azimio lake ETI mpango wa Aman ya mashariki ya kati Watu wakamgomea

sasa tena anakuja na Tamko Japo ule w mwanzo ulipangwa kisomi kidogo ule mpango akimtumia mkwe wake kufanikisha

lkn sasaivi i!! kaja na MATAMKO MAREKANI na uyo Israel kwasasa weupe tu wachumba Wameishiwa akili kwasasa awana Air Defences Systems yoyote ya kushindana na Wahuni kama Myemen IRAN

kazi kwao wakitaka vita Yemen wapo Tayali wataendelea kupiga wapendapo ndani ya Israel!!!
huu ushenzi wao walitakiwa wafanye miaka 20 uko nyuma!!! Sio sasa kwasasa Israel na Marekani wanapigika Wachovu tu!!!

Lkn lengine yumkin Israel na Tramp wanacheza ngoma moja ipo ivi kwasasa Israel inasumbuliwa na furahaa za kushangilia Ushindi wa Palestina yumkin Tramp anacheza mchezo wa kisaikolojia kwa Dunia na Wapalestina wanaoshangilia!!!

wajue picha alijaisha kipropaganda!! lkn akuna wakwenda Gaza Wapalestina wapo tayali kwa lolote ndiomana awakuomba pooo baada ya vifo vyao vya watu 46000!!

watapambana upya na mpalestine kufa sio jambo kubwa kwake !!! ISRAEL ikishambulia kwa Anga nayeye atapigwa kutokea YEMEN

KUna ile promis no3 itatumiwa kupiga maeneo nyeti ambayo kwasasa silaha zinazotoka Marekani zinawekwa uko Promis no 3 itaiyacha Israel taabani upande wa silaha!!
Lkn ikiwa Israel itakiuka ndio mana Hamas
WaKataka Nchi zengine zakuzamini MKATABA uki kiuikwa kwanza Hamas itaongea na Nchi zile ikiona kimya nao watatakiwa waandike kwamaandishi kuwa kweli Mkataba Umekiukwa
kwenye mkataba Waisrael wamepewa vipengele kibao iliwemo vyakula maji mafuta matibabu Ujenzi mpya wa Gaza

na muimu zaid Israel iwache UGAID wa kuwachukua Wapalestina mateka na Gaza kutokushambuliwa ,,,, ukiukaji wowote w kipengele chochote kunaweza kusababisha vita upya !!!

Nawakumbusha ili HAMAS awashindwi kwenda kuchukua upya Mateka uko Israel Wanajesh wanaoilinda Israel yani IDF imejulikana Wanawaogopa WaJuba wa Hamas. Ujumbe wa leo Izi kelele z Trump debe tupu!!!
 
uwe unasoma vizuri mada na kuielewa.
Numesoma nikaelewa, kwani wewe ni msemaji wa wapalestina hadi useme hawako tayari kuhama labda wauawe wote?
Umeongea na babu yako huko au wewe ni mpalestina?
 
Alipokua akiulizwa kuhusu kauli yake alioitoa kuhusu kuhamishwa kwa wapalestina walioko Gaza, aliendelea kisisitiza msimamo huo.

Muda utatuambia kua huyu mzee hamnazo kabisa, kama lengo lake ni kushirikiana na wazayuni awatoe wapalestina gaza, amechelewa sana na haiwezekani.

Haiwezekani mtu wameishi hapo vizazi na vizazi leo aondolewa aje aishi mtu alietoka Brooklyn kwa kigezo cha “promise land”. Haiwezekani.

Ni EITHER WAPALESTINA WAISHI GAZA AU WAWAUE WOTE,HAKUNA ATAKAE KUBALI KUONDOKA. Kama anataka hivyo, awapeleke waisrael Iceland. Problem solved.
Pilipili usizozila zakuwashia nini. Waarabu wako kimya we wawashwa na nini mwarabu wa buza?. Eti haiwezekani, we pambana na huo ufukara wa kwenu
 
Usiropoke kama huna ufahamu.

Judah Kingdom na Israel Kingdom, ndizo zilizokuwepo hapo tangu nyakati za kabla ya Kristo. Wewe leo kuishi Zenji wakati kwenu ni Kigoma, na kuna ardhi yako, hata ukifia huko Zenji, hakufuti haki ya watoto wako kurudi Kigoma kwenye eneo lao la urithi ambalo wewe baba yao ulilimiliki.

Wapalestina, kabila jipya, wana machaguo mawili tu, moja ni kuishi kwa amani bila fujo na wamiliki asilia wa Judah kingdom, au kuondoka na kuishi popote ambapo watapata amani ya mioyo yao.

Waafrika waliopelekwa USA kupitia biashara haramu ya mwarabu ya utumwa, hata baada ya biashara hiyo kufutwa, wapo ambao hawakupenda kuishi na Wamarekani mabwana wao wa wakati wa biashara ya utumwa, wapo walioamua kukubali yaliyotokea na kuendelea kuishi na waliokuwa mabwana zao, lakini sasa wakiwa huru. Hao walibakia USA mpaka leo. Ambao hawakutaka, walitafutiwa eneo huko Afrika Magharibi, na leo ndiyo nchi inayoitwa Liberia.

Wapalestina wanaokubali kuishi na Waisrael, waendelee na maisha, na wao wawe ni raia wenye haki zote ndani ya Israel. Hamas na waungaji mkono wao, watafutiwe eneo hata huko Sinai, wakatengeneze Taifa lao kama ilivyotokea kwa Liberia au Australia.

Wakorofi wa UK, walipelekwa Australia, leo Australia ni miongoni mwa mataifa bora.
Kuna neno linaitwa utopia ndicho ulichoandika. Kwa hiyo Burundi na Rwanda ni sehemu ya Tanzania maana Tanganyika ya Mjerumani hao wote walikua sehemu ya Tanzania. Vikiria tena vizuri kabla hujaandika article ingine
 
Kiswahili mkuu, some autocorrect na mengineyo, in short, Trump want to relocate Palestinians from gaza to Egypt and Jordan. This is ethnic cleansing and it won’t be accepted. Whatever favor he did to those countries, should remain on them and not Palestinians. That is their land and it will remain so.
Mwingereza wa buza, kwa hiyo unajua kiingereza kuliko lugha ya Taifa lako siyo? Mswahili akitaka kuandika jambo la kipumbavu hutumia kiingereza
 
Back
Top Bottom