Trump akazia, Jordan na Misri watawachukua wapalestina wa Gaza, mana US imewafanyia mengi

Trump akazia, Jordan na Misri watawachukua wapalestina wa Gaza, mana US imewafanyia mengi

Alipokua akiulizwa kuhusu kauli yake alioitoa kuhusu kuhamishwa kwa wapalestina walioko Gaza, aliendelea kisisitiza msimamo huo.

Muda utatuambia kua huyu mzee hamnazo kabisa, kama lengo lake ni kushirikiana na wazayuni awatoe wapalestina gaza, amechelewa sana na haiwezekani.

Haiwezekani mtu wameishi hapo vizazi na vizazi leo aondolewa aje aishi mtu alietoka Brooklyn kwa kigezo cha “promise land”. Haiwezekani.

Ni EITHER WAPALESTINA WAISHI GAZA AU WAWAUE WOTE,HAKUNA ATAKAE KUBALI KUONDOKA. Kama anataka hivyo, awapeleke waisrael Iceland. Problem solved.
Hii haitawezekana
 
Ila akitukana mashoga mnamshangilia na kumuita the best president ever, subirini dawa iwaingie
Inaonekana wew ni shoga, maana mtu kuongelea ushoga sana means na yeye anaupenda huo ushoga.

Kitu ambacho sipendi ni kuniquote Kwa kunikulupukia, wakati mada inayoongelewa hapa ni tofauti na ushoga.
 
Alipokua akiulizwa kuhusu kauli yake alioitoa kuhusu kuhamishwa kwa wapalestina walioko Gaza, aliendelea kisisitiza msimamo huo.

Muda utatuambia kua huyu mzee hamnazo kabisa, kama lengo lake ni kushirikiana na wazayuni awatoe wapalestina gaza, amechelewa sana na haiwezekani.

Haiwezekani mtu wameishi hapo vizazi na vizazi leo aondolewa aje aishi mtu alietoka Brooklyn kwa kigezo cha “promise land”. Haiwezekani.

Ni EITHER WAPALESTINA WAISHI GAZA AU WAWAUE WOTE,HAKUNA ATAKAE KUBALI KUONDOKA. Kama anataka hivyo, awapeleke waisrael Iceland. Problem solved.
Mwarabu wa kamachumu akimjibu trump kwa kutumia jf huku anatufokea ila watu wa chuo cha madrasa bhana
 
Hakuna atakayepokea hayo mazombi ya dini, yaje kulipuka lipuka mabomu, sio mara ya kwanza Wapalestina kuhamishwa sehemu na kuanza uasi wa kidini
Hawana akili ndo chanzo cha machafuko huko lebanon
 
Ndio tattoo la kuishi kwa kutegemea wengine unakosa kauli, inabidi zitii amri maana wameshakula singing vya US ni mda wa kufungua mipaka
 
Alipokua akiulizwa kuhusu kauli yake alioitoa kuhusu kuhamishwa kwa wapalestina walioko Gaza, aliendelea kisisitiza msimamo huo.

Muda utatuambia kua huyu mzee hamnazo kabisa, kama lengo lake ni kushirikiana na wazayuni awatoe wapalestina gaza, amechelewa sana na haiwezekani.

Haiwezekani mtu wameishi hapo vizazi na vizazi leo aondolewa aje aishi mtu alietoka Brooklyn kwa kigezo cha “promise land”. Haiwezekani.

Ni EITHER WAPALESTINA WAISHI GAZA AU WAWAUE WOTE,HAKUNA ATAKAE KUBALI KUONDOKA. Kama anataka hivyo, awapeleke waisrael Iceland. Problem solved.
Inatakiwa kuwapisha watu waliotoka brooklyn
 
Waleteni Tanzania hao wapelestina. Tukawaoe Binti zao na wao waoe Binti zetu.
Mwafrika ana mawazo ya ngono tu , na CCM ameshawaelewa ndio kwenye kampeni zake ni ngoma na kukesha usiku watu na ngoma , kunywa pombe na kufanya zinaa , hamjui chengine mwisho wa siku anaingiza magunia ya kura feki
 
Kiswahili mkuu, some autocorrect na mengineyo, in short, Trump want to relocate Palestinians from gaza to Egypt and Jordan. This is ethnic cleansing and it won’t be accepted. Whatever favor he did to those countries, should remain on them and not Palestinians. That is their land and it will remain so.
I like your English
 
Netanyahu kawa kiongozi mkubwa wa kwanza kukutana na Trump nadhani huu mpango ni serious sana na huenda ukafanikiwa
Hata hii deal ya mateka na wafungwa nadhani Hamas wamechezewa kekundu
Nb:ila Gaza imeharibika sana
 
Back
Top Bottom