Trump akazia, Jordan na Misri watawachukua wapalestina wa Gaza, mana US imewafanyia mengi

Hii haitawezekana
 
Ila akitukana mashoga mnamshangilia na kumuita the best president ever, subirini dawa iwaingie
Inaonekana wew ni shoga, maana mtu kuongelea ushoga sana means na yeye anaupenda huo ushoga.

Kitu ambacho sipendi ni kuniquote Kwa kunikulupukia, wakati mada inayoongelewa hapa ni tofauti na ushoga.
 
Mwarabu wa kamachumu akimjibu trump kwa kutumia jf huku anatufokea ila watu wa chuo cha madrasa bhana
 
Hakuna atakayepokea hayo mazombi ya dini, yaje kulipuka lipuka mabomu, sio mara ya kwanza Wapalestina kuhamishwa sehemu na kuanza uasi wa kidini
Hawana akili ndo chanzo cha machafuko huko lebanon
 
Ndio tattoo la kuishi kwa kutegemea wengine unakosa kauli, inabidi zitii amri maana wameshakula singing vya US ni mda wa kufungua mipaka
 
Inatakiwa kuwapisha watu waliotoka brooklyn
 
Kwani hao wapalestina Gaza kwao? Ni hisani ya Israel kuwapa Gaza na wakizingua anawatandika mpaka akili ziwakae sawa! Mxiuuuuh!😒😣
wewe unaishi sayari ipi ?? au msitu upi ??
 
Waleteni Tanzania hao wapelestina. Tukawaoe Binti zao na wao waoe Binti zetu.
Mwafrika ana mawazo ya ngono tu , na CCM ameshawaelewa ndio kwenye kampeni zake ni ngoma na kukesha usiku watu na ngoma , kunywa pombe na kufanya zinaa , hamjui chengine mwisho wa siku anaingiza magunia ya kura feki
 
I like your English
 
Netanyahu kawa kiongozi mkubwa wa kwanza kukutana na Trump nadhani huu mpango ni serious sana na huenda ukafanikiwa
Hata hii deal ya mateka na wafungwa nadhani Hamas wamechezewa kekundu
Nb:ila Gaza imeharibika sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…