Tarifa iliyopo huko X (Twitani) ni kwamba, muda wowote PK ataanza kuchezea vikwazo na ama kufurushwa kabisa ikuluni na hawa walezi wa dunia hii
Swali ni kwamba, nchi za Africa haziwezi kabisa kuadabishana mpaka tuingiliwe na watu dunia ya mbaali huko?
Kama ndivyo, Je, Africa inaouwezo sasa, kuzuia wazungu wasitutawale tena?
Kama tu migogoro yetu mpaka iamliwe na wazungu, tunalipi sasa?
Nguvu ya AU iko wapi?
Swali ni kwamba, nchi za Africa haziwezi kabisa kuadabishana mpaka tuingiliwe na watu dunia ya mbaali huko?
Kama ndivyo, Je, Africa inaouwezo sasa, kuzuia wazungu wasitutawale tena?
Kama tu migogoro yetu mpaka iamliwe na wazungu, tunalipi sasa?
Nguvu ya AU iko wapi?