Trump amechomoa betri ghafla, serikali za Afrika zenye viongozi walioshindwa kutumia rasilimali za nchi zao hawajui nini wafanye

Silishwi na yeyote kama Kuna chanzo za Watoto zilikuwa za Msaada au madawa ya wagonjwa wa malaria,kifua Kikuu na ukimwi Serikali itaanza kulipia.
Kwa pesa gani serikali inayo? Kwani bajeti ya serikali % ngapi inatokana na mapato ya ndani?
 
Waafrika sijui ni lini tutaamka usingizini
kika kitu mpaka tusaidiwe na misaada tunayopewa inapigwa na wahuni wachache..
Nampongeza Trump akaze zaidi akili zikae sawa!
 
Kwani hata hiyo misaada ilipokuwa inakuja iliwasaidia nini wananchi zaidi ya kununulia V8, kukimbiza moto/mwenge nchi nzima na kufanya matamasha Kizimkazi
 
... TANZANIA, DONER COUNTRY, HAITAYUMBA!
SAGA CHUPA UNYWE!
😅
I
la KENYA inaponzwa na Obama Ambaye ni hasimu mkubwa wa TRUMP!
 
Mpaka Sasa Bado Chini Ya CCM Tunazungumzia Maadui Wa Tanzania Ni :-
1. Umasikini
2. Ujinga
3. Maradhi



Trump Donald Anawaamsha Hawa Wa Kwetu
Wameongozeka sn wamekuwa 8
4. Uchawa
5. Yanga na Simba
6. Betting
7. Ushirikina
8. Lucas Mwashambwa
 
Trump amefanya jambo la maana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…