Turampet hajawahi kua na akiliTrump ameamua kujaribu kuhamisha mjadala wa vifo vya wamarekani 5,112 waliokufa na Corona kwa kuitishia Iran.
Trump, kwenye akaunti ya tweeter amedai kuwa Iran na mawakala wake wanapanga kushambulia majeshi ya Marekani nchini Iraq
Trump ameshindwa kabisa kupambana na Corona sasa ameamua ahamie kwenye propaganda na Iran
Na sasa ameamua kulitumia jeshi la marekani pia kuzimisha mjadala wa Corona.
Nina uhakika hilo jamaa unalosema halina akili linakuzidi mbali mno kwa kila kitu.Turampet hajawahi kua na akili
Sent using My COVID-19
Anaweza kua anamaanisha maana wanaoenda kufa huko vitani ni watoto wa wamarekani maskini tu,yeye mtoto wake Ivanka yuko bize kuchezea mtarimbo wa kushner huku yule Erick yuko bize kutolewa puru.
Kama unahisi kila alokuzidi kila kitu ndio ana akili basi pole sana watu wanafikia mpaka kuua ili wapate pesa hizo akili !?Nina uhakika hilo jamaa unalosema halina akili linakuzidi mbali mno kwa kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Mohammed javad Zarif huwa namuelewa mnooooDonβt be mislead by usual warmongers, AGAIN, @realDonaldTrump:
Iran has FRIENDS: No one can have MILLIONS of"proxies"
Unlike the USβwhich surreptitiously lies, cheats & assassinatesβIran only acts in self-defense. Openly
Iran starts no wars, but teaches lessons to those who do
Zarif kaongea
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp unakimbilia kwenye pesa! Kwa kuwa umeona jamaa ni bilionea na wewe jeronea!πππ, Nimesema linakuzidi kila kitu, kama Jiwe anayekutawala wewe kwa liTrump mpuuzi fulani tu, je wewe ambaye hata kwa Humphrey Polepole unasubiri kwa liTrump itakuwaje?![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama unahisi kila alokuzidi kila kitu ndio ana akili basi pole sana watu wanafikia mpaka kuua ili wapate pesa hizo akili !?
Kijana kijana kijana
Sent using My COVID-19
Hili zee some time Kama linavuta bangi...!!!?Trump ameamua kujaribu kuhamisha mjadala wa vifo vya wamarekani 5,112 waliokufa na Corona kwa kuitishia Iran.
Trump, kwenye akaunti ya tweeter amedai kuwa Iran na mawakala wake wanapanga kushambulia majeshi ya Marekani nchini Iraq
Trump ameshindwa kabisa kupambana na Corona sasa ameamua ahamie kwenye propaganda na Iran
Na sasa ameamua kulitumia jeshi la marekani pia kuzimisha mjadala wa Corona.
Elezea ueleweke. Kamzidi kwa kitu gani hasa? Mbona hueleweki? Kila kitu ndiyo nini hicho?Vp unakimbilia kwenye pesa! Kwa kuwa umeona jamaa ni bilionea na wewe jeronea!πππ, Nimesema linakuzidi kila kitu, kama Jiwe anayekutawala wewe kwa liTrump mpuuzi fulani tu, je wewe ambaye hata kwa Humphrey Polepole unasubiri kwa liTrump itakuwaje?!
Turampet hajawahi kujitambua wala kua na akili kama sio washauri wake wanaomzunguka angeifanya US kama kichaka flani hvVp unakimbilia kwenye pesa! Kwa kuwa umeona jamaa ni bilionea na wewe jeronea![emoji23][emoji23][emoji23], Nimesema linakuzidi kila kitu, kama Jiwe anayekutawala wewe kwa liTrump mpuuzi fulani tu, je wewe ambaye hata kwa Humphrey Polepole unasubiri kwa liTrump itakuwaje?!
Kama atakujibu usisahau nitag MKUUElezea ueleweke. Kamzidi kwa kitu gani hasa? Mbona hueleweki? Kila kitu ndiyo nini hicho?