Trump amehamisha magoli ya vifo vya Corona kwa kuitisha Iran

Hii ni kauli thabit kabisa kutoka kwa serikali ya iran
Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂 Wewe ndo unatakiwa upimwe akili, make si bure akili yako kuona limtu lenye mafanikio kuliko wananchi wote wa nchi yako halina akili. Inabidi tu ujue limtu lolote lenye mafanikio kuliko ukoo wako wote jua hili Lina akili kuliko wewe na ukoo wako. Na ndo maana kila siku unayasifia hapa maajemi si kwamba yanajua sana kunywa chai bali ni kwa mafanikio yao. Trump ndo Rais anayeongoza watu wenye akili kubwa wengi duniani kuliko rais yoyote yule, Tena taifa lenyewe la watu na vyombo vyenye Uhuru lakin kwa kuwa jamaa ni akili kubwa hadi leo anapeta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…