Trump ametangaza rasmi kuirudisha biblia Marekani (Marekani ni Taifa la Mungu)

Trump ametangaza rasmi kuirudisha biblia Marekani (Marekani ni Taifa la Mungu)

Salaam, Shalom,

Akisubiri kuapishwa, Rais Mteule Donald Trump ameapa kuirudisha tena BIBLIA Marekani, amedai BIBLIA na wahubiri walikuwa wakitishwa kuhubiri au kusoma BIBLIA hadharani, jambo hili lilichangia kuharibu Maadili ya watu wa Marekani.

Huyu ni Rais wa Nchi aliyechaguliwa kuongoza Nchi na makundi yote, wenye dini na wasio na Dini, lakini Yeye hakujikita katika Dini Bali katika kuwafanya watu kumwamini Mungu aliyeandikwa ndani ya BIBLIA.

Je ingekuwa jambo hili amesema kiongozi mkuu Nchi ya maziwa makuu, jambo hili lisingetafsiriwa kama kuchanganya dini na siasa?

Mungu ibariki Marekani,

Mungu Mbariki D. Trump,

Mungu ibariki BIBLIA ( Neno lako).

Ameen

Karibuni 🙏

PIA SOMA
- Trump atoa biblia yake. Ina bendera na katiba ya US pamoja na mwimbaji ampendae
 
Salaam, Shalom,

Akisubiri kuapishwa, Rais Mteule Donald Trump ameapa kuirudisha tena BIBLIA Marekani, amedai BIBLIA na wahubiri walikuwa wakitishwa kuhubiri au kusoma BIBLIA hadharani, jambo hili lilichangia kuharibu Maadili ya watu wa Marekani.

Huyu ni Rais wa Nchi aliyechaguliwa kuongoza Nchi na makundi yote, wenye dini na wasio na Dini, lakini Yeye hakujikita katika Dini Bali katika kuwafanya watu kumwamini Mungu aliyeandikwa ndani ya BIBLIA.

Je ingekuwa jambo hili amesema kiongozi mkuu Nchi ya maziwa makuu, jambo hili lisingetafsiriwa kama kuchanganya dini na siasa?

Mungu ibariki Marekani,

Mungu Mbariki D. Trump,

Mungu ibariki BIBLIA ( Neno lako).

Ameen

Karibuni 🙏

PIA SOMA
- Trump atoa biblia yake. Ina bendera na katiba ya US pamoja na mwimbaji ampendae
Kwani bibilia ni kitabu cha Mungu au cha Paulo, afu Yesu nani kawambia ni Mungu. Nyie mnamuabudu mtu alikuwepo kabla ya Yesu anaitwa Kristo hata Yesu kazaliwa B.C kwa miaka 4 au 6.
 
Siku watu wakijua michezo ya Siasa hawatoshangazwa kabisa na habari kama hizi,

Yani Marekani wamepitisha mambo ya hovyo baada ya kuona athari zimekuwa kubwa zaidi ya ilivyotarajiwa wamemleta mtu ambaye anaweza kupunguza baadhi ya athari.... na Mzunguko utaendelea hivyo Miaka kwa miaka.
 
Siku watu wakijua michezo ya Siasa hawatoshangazwa kabisa na habari kama hizi,

Yani Marekani wamepitisha mambo ya hovyo baada ya kuona athari zimekuwa kubwa zaidi ya ilivyotarajiwa wamemleta mtu ambaye anaweza kupunguza baadhi ya athari.... na Mzunguko utaendelea hivyo Miaka kwa miaka.
Wewe utakua ni mgeni na Marekani
new-100-us-dollar-banknote-DPA9H3.jpg
 
Kwani bibilia ni kitabu cha Mungu au cha Paulo, afu Yesu nani kawambia ni Mungu. Nyie mnamuabudu mtu alikuwepo kabla ya Yesu anaitwa Kristo hata Yesu kazaliwa B.C kwa miaka 4 au 6.
Baba wa Yesu kimwili nani?

Yesu ni Mungu,Hana baba wala mama,

Ndiye huyo huyo Baba, mwana na Roho MTAKATIFU.

Ikiwa huamini Hilo, unaamini usichokijua.
 
Salaam, Shalom,

Akisubiri kuapishwa, Rais Mteule Donald Trump ameapa kuirudisha tena BIBLIA Marekani, amedai BIBLIA na wahubiri walikuwa wakitishwa kuhubiri au kusoma BIBLIA hadharani, jambo hili lilichangia kuharibu Maadili ya watu wa Marekani.

Huyu ni Rais wa Nchi aliyechaguliwa kuongoza Nchi na makundi yote, wenye dini na wasio na Dini, lakini Yeye hakujikita katika Dini Bali katika kuwafanya watu kumwamini Mungu aliyeandikwa ndani ya BIBLIA.

Je ingekuwa jambo hili amesema kiongozi mkuu Nchi ya maziwa makuu, jambo hili lisingetafsiriwa kama kuchanganya dini na siasa?

Mungu ibariki Marekani,

Mungu Mbariki D. Trump,

Mungu ibariki BIBLIA ( Neno lako).

Ameen

Karibuni 🙏

PIA SOMA
- Trump atoa biblia yake. Ina bendera na katiba ya US pamoja na mwimbaji ampendae
Kwa hio taifa teule ni marekani saiv sio Israel tena ?
Ila sishangai kama hata vitabu vyenu mnatoa agano jipya bhc hata taifa teule jipya fresh tuh
 
Baba wa Yesu kimwili nani?

Yesu ni Mungu,Hana baba wala mama,

Ndiye huyo huyo Baba, mwana na Roho MTAKATIFU.

Ikiwa huamini Hilo, unaamini usichokijua.
Yesu kazaliwa na Mama mnamuita mungu .,haya huyo Adamu ambae hana baba wala Mama mtamuita Nani?
 
Kwa hio taifa teule ni marekani saiv sio Israel tena ?
Ila sishangai kama hata vitabu vyenu mnatoa agano jipya bhc hata taifa teule jipya fresh tuh
Marekani hajatajwa kwenye BIBLIA, hivyo ujue Israel ndiyo marekani behind the scenes.

Trump yumo kwenye BIBLIA Kwa sifa zake na utawala katika vitabu vya kinabii.
 
Back
Top Bottom