Unadhani Marekani ni sawa na Tanzania? Akifanikiwa kupitisha hili maana yake rais yeyote atakayeingia madarakani lazima akubaliane na hili! Labda na yeye afanye mchakato wa kuliondoa toka kwa katiba yao!Marekani ni chanzo cha Uchafu mwingi duniani,,,,vimiaka vinne tu havitabadirisha upuuzi na uchafuzi wa marekani duniani.