Unadhani Marekani ni sawa na Tanzania? Akifanikiwa kupitisha hili maana yake rais yeyote atakayeingia madarakani lazima akubaliane na hili! Labda na yeye afanye mchakato wa kuliondoa toka kwa katiba yao!Marekani ni chanzo cha Uchafu mwingi duniani,,,,vimiaka vinne tu havitabadirisha upuuzi na uchafuzi wa marekani duniani.
Sasa Mariam huwaga ni Mama Wa Nani?Yesu Hana mama Wala baba, ni Mungu huyo.
Unaweseka Kwa sababu ya Ukraine yako .God bless Trump and USAMadikteta Huwa wanapenda kujificha kwenye mwavuli wa dini..,limagufuli lilikuwa linapenda kumtaja mungu kila sekunde na kwenda kanisani Tena mbele ya camera,kumbe nyuma ya pazia ni liuaji likubwa!
Baba yake ni nani?Yesu kazaliwa na Mama mnamuita mungu .,haya huyo Adamu ambae hana baba wala Mama mtamuita Nani?
Hujui chochote mvaa kobazi,,,Imani ya kikirsto tuachie wennyewe,we angalia na mh,moh' baltazarKwani bibilia ni kitabu cha Mungu au cha Paulo, afu Yesu nani kawambia ni Mungu. Nyie mnamuabudu mtu alikuwepo kabla ya Yesu anaitwa Kristo hata Yesu kazaliwa B.C kwa miaka 4 au 6.
Biden angeendelea kubaki madarakani marekani ingechukuliwa na shetani. Kumbe hata biblia zilikuwa hazionekani marekani?Rais wa Marekani anaye tarajiwa kuapishwa, Donald Trump ametangaza rasmi kuirudisha biblia Marekani.
View: https://youtu.be/R9Nh6v8ivh0?si=i4su5eN3M7E2k_kA
Na hapo itabadilishwa tu maamaeeWewe utakua ni mgeni na Marekani
View attachment 3150853
Mtende dhambi zen mkimbilie kuwa wasaf subirini hukumu zenuTrump ni mlokole mzungu,tajiri tena Rais
, Huku Hawa waswahili wanadharau waliookoka.
Mtengeneza majina 30+ we huo wakati wa kutengeneza majina nakushauri utumie kuisoma hio bibilia yenu ya uwongo, kuna wakati wandishi hao Mark, Matthew, John na Luke walikuwa wanajikanyaga. Ukisoma vizuri kuna point nyingi zitakufanya uingie uislam sababu Paulo alichelewa kuzifuta 😄Hujui chochote mvaa kobazi,,,Imani ya kikirsto tuachie wennyewe,we angalia na mh,moh' baltazar
Ila nyie watu wa Mnyaazi Mungu mnazingua sana. Nini kinafanya upondee Ukristo? Naona wengi wenu mnapenda sana kutoa maneno ya kejeli kwenye Christianity. Mnadhani mko perfectKwa hio taifa teule ni marekani saiv sio Israel tena ?
Ila sishangai kama hata vitabu vyenu mnatoa agano jipya bhc hata taifa teule jipya fresh tuh