Trump Amuondolea Joe Biden Haki Ya Kupatiwa" Taarifa Za Siri/Classified Informations "Kama Ilivyotakiwa Kwa Maraisi Waliotangulia Wa Marekani

Trump Amuondolea Joe Biden Haki Ya Kupatiwa" Taarifa Za Siri/Classified Informations "Kama Ilivyotakiwa Kwa Maraisi Waliotangulia Wa Marekani

Trump ni mpango wa Mungu kuwa madarakani kama ilivyo kwa Lissu
Namwamini sana Mungu na pia naamini Lisu sio mpango wake awe Rais, hayo ni mawazo yako tu ambayo una haki kuwa nayo.
 
DOGE haooooo, Wizara ya Elimu, baadae PENTAGON,
Madogo WA Elon wenye miaka chini ya 23 wanafanyakazi usiku na mchana 24/7

Eti wazee wanalaumu kwamba watoto wadogo chini ya miaka 25 hawawezi kukagua "nyeti" zao!!
 
Scandal gani ya matumizi mabaya ya pesa iliyofanywa na serikali ya Biden aliyoibua Elon Musk mpaka sasa??
Trump yeye ha-deal na Biden but the whole network (establishment) . Marais wote huogopa ku deal na hizo networks sababu ukithubutu kugusa utaishia kchukiwa na dunia nzima, anahtajika mtu asiyeali hayo ama Trump.
 
Trump yeye ha-deal na Biden but the whole network (establishment) . Marais wote huogopa ku deal na hizo networks sababu ukithubutu kugusa utaishia kchukiwa na dunia nzima, anahtajika mtu asiyeali hayo ama Trump.
20250208_081127.jpg
 
Trump & Musk ni wabaguzi na wataifanya dunia hasa waarabu na waafrica kupata maumivu
 
Trump yeye ha-deal na Biden but the whole network (establishment) . Marais wote huogopa ku deal na hizo networks sababu ukithubutu kugusa utaishia kchukiwa na dunia nzima, anahtajika mtu asiyeali hayo ama Trump.
Trump ndio Rais pekee wa Marekani ambaye hajawahi kuweka taarifa zake za kodi wazi hadharani.
 
Trump yeye ha-deal na Biden but the whole network (establishment) . Marais wote huogopa ku deal na hizo networks sababu ukithubutu kugusa utaishia kchukiwa na dunia nzima, anahtajika mtu asiyeali hayo ama Trump.
20250208_082503.jpg
 
Kuna mda uwa naota Kama vile Mimi ni mtoto wa Trump maana hakuna ujinga anaoufanya ninaoona akili yangu inaukataa
 
Ulitaraji wasiwepo wa kujibu?
Kingine hapo uelewe anayetuhumiwa ni mtoa hela siyo aliyepewa au umesikia wtopc ni ku deal na waliopokea hela?

WAkiwakwenye mdahalo, Hillary Clinton aliwahi kumtuhumu Trump kwa alikuwa akikwepa kodi kunufaisha biashara zake. Ilipofika zamu ya Trump alimwambia angewataja na waliofadhili kampeni zake kuwa na wao ni wakwpa kodi. Akaendelea kusema, kuwa sheria imetoa mwanya huo hivyo alilolifanya ni jambo la kisheria kabisa na wanaomfadhili Hillary pia waliuumia mwanya huo wa kisheria na ni kati ya vitu ambavy akichaguliwa anaenda kuvi fix
 
Trump ndio Rais pekee wa Marekani ambaye hajawahi kuweka taarifa zake za kodi wazi hadharani.
Kwa hiyo anavunja sheria ipi? Kwanini hajawa disqualified? MMkuu, mdiungeunge story kama vile mnaunganisha vipande vya mabehewa
 
JOE BIDEN YOU ARE FIRED. MAKE AMERICA GREAT AGAIN
 
Back
Top Bottom