Trump ana wenge!anashusha heshima yake na taifa lake

Trump ana wenge!anashusha heshima yake na taifa lake

Siri ya sifuri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
2,335
Reaction score
1,967
Salaam wakuu.

Rais Donld trump wa marekani yupo kasi sana,anaunadi ukubwa wa taifa lake,anatamani kuwa na mamlaka mbele ya wenye mamlaka wenzie na anatumia nguvu na hadaa kuwaongoza viongozi wa mataifa mengine kufuata maono yake!

Kabla mzozo wake na rais Zele wa ukreine haujapoa tayati ameshadai kuwasiliana na kiongozi mkuu wa Iran Imam khomenei,madai ambayo yamekanushwa na utawala wa Iran.

Siku chache baada ya kuhitalifiana na Rais wa Ukreine akatangaza kuwa wasaidizi wake watakutana na wawakilishi wa Rais Putin wa Urusi huko Saudi arabia,tayari rais Zele kishatangulia Saudia,waziri wa mambo ya nje wa Marekani na mshauri wa masuala ya kiusalama wa rais Trump wapo hewani wanaelekea Saudia, chakushtua nikwamba Urusi imekana kuwa na taarifa za mkutano huo,kwahiyo hawatahudhuria.
Hii imeekaaje!?

Nakumbuka wiki iliyopita kiongozi Muadham wa taifa kubwa la Iran Sayid Al khomenei akiwahutubu Wairan aliiwaambia"mazungumzo na Marekani sio jambo lakujivunia,si jambo la heshima bali ni kujidhalilisha na kujidunisha na kwamba taifa la Iran halina mpango wowote wakufanya mazungumzo na Marekani mpaka pale watakapoondoa vikwazo vyao na kuacha kuitishia Iran.

Kwa khutba hiyo napata hisia kuwa huenda hata Putin na viongozi wenzie wa Urusi wamewaidhika na kuamua kula kona,kuchukua tahadhari dhidi ya Trump na viongozi wenzie wasioaminika wa Marekani.
 
Salaam wakuu.
Rais Donld trump wa marekani yupo kasi sana,anaunadi ukubwa wa taifa lake,anatamani kuwa na mamlaka mbele ya wenye mamlaka wenzie na anatumia nguvu na hadaa kuwaongoza viongozi wa mataifa mengine kufuata maono yake!
kabla mzozo wake na rais Zele wa ukreine haujapoa tayati ameshadai kuwasiliana na kiongozi mkuu wa Iran Imam khomenei,madai ambayo yamekanushwa na utawala wa Iran. Siku chache baada ya kuhitalifiana na rais wa ukreine akatangaza kuwa wasaidizi wake watakutana na wawakilishi wa rais Putin wa Urusi huko Saudi arabia,tayari rais Zele kishatangulia Saudia,waziri wa mambo ya nje wa marekani na mshauri wa masuala ya kiusalama wa rais Trump wapo hewani wanaelekea Saudia, chakushtua nikwamba Urusi imekana kuwa na taarifa za mkutano huo,kwahiyo hawatahudhuria.
Hii imeekaaje!?
nakumbuka wiki iliyopita kiongozi Muadham wa taifa kubwa la Iran Sayid Al khomenei akiwahutubu Wairan aliiwaambia"mazungumzo na Marekani sio jambo lakujivunia,si jambo la heshima bali ni kujidhalilisha na kujidunisha na kwamba taifa la Iran halina mpango wowote wakufanya mazungumzo na marekani mpaka pale watakapoondoa vikwazo vyao na kuachia kuitishia Iran. Kwa khutba hiyo napata hisia kuwa huenda hata Putin na viongozi wenzie wa Urusi wamewaidhika na kuamua kula kona,kuchukua tahadhari dhidi ya Trump na viongozi wenzie wasioaminika wa Marekani.
Trump ana mbinu za kijambazi. Zele alipogoma akakata msaada urusi akaanza shusha vitu pale kwa bw zele, zele ikabidi atume barua ya kukubali kusaini deal la madini.
Ulaya hawawezi kumsaidia zele hata budget waliyopitisha eti wameomgeza ya ulinzi haifiki hata budget nusu ya ulinzi ya marekani.
Now pia bw trump naona anataka wageuka wajapan na mkata wao wa ulinzi
 
Kwa sasa Urusi lazima akimbie, kwa sababu Ukraine na US watakutana hapo Saudia kuweka mipango sawa kuhusu madini ya Ukraine.

Na katika makubaliano yao, itapelekea US kupeleka majeshi Ukraine kwa ajili ya kulinda migodi.

Kwa mazingira hayo, Urusi atakuwa anasalimiana uso kwa uso, na mmarekani aliyepo hapo Ukraine; ambayo ni sawa na kazi bure kwa Urusi anachokipigania Ukraine kwa sasa hivi.

Kwa namna nyingine, hapa Ukraine wamemuweza Urusi.​
 
Salaam wakuu.

Rais Donld trump wa marekani yupo kasi sana,anaunadi ukubwa wa taifa lake,anatamani kuwa na mamlaka mbele ya wenye mamlaka wenzie na anatumia nguvu na hadaa kuwaongoza viongozi wa mataifa mengine kufuata maono yake!

Kabla mzozo wake na rais Zele wa ukreine haujapoa tayati ameshadai kuwasiliana na kiongozi mkuu wa Iran Imam khomenei,madai ambayo yamekanushwa na utawala wa Iran.

Siku chache baada ya kuhitalifiana na Rais wa Ukreine akatangaza kuwa wasaidizi wake watakutana na wawakilishi wa Rais Putin wa Urusi huko Saudi arabia,tayari rais Zele kishatangulia Saudia,waziri wa mambo ya nje wa Marekani na mshauri wa masuala ya kiusalama wa rais Trump wapo hewani wanaelekea Saudia, chakushtua nikwamba Urusi imekana kuwa na taarifa za mkutano huo,kwahiyo hawatahudhuria.
Hii imeekaaje!?

Nakumbuka wiki iliyopita kiongozi Muadham wa taifa kubwa la Iran Sayid Al khomenei akiwahutubu Wairan aliiwaambia"mazungumzo na Marekani sio jambo lakujivunia,si jambo la heshima bali ni kujidhalilisha na kujidunisha na kwamba taifa la Iran halina mpango wowote wakufanya mazungumzo na Marekani mpaka pale watakapoondoa vikwazo vyao na kuacha kuitishia Iran.

Kwa khutba hiyo napata hisia kuwa huenda hata Putin na viongozi wenzie wa Urusi wamewaidhika na kuamua kula kona,kuchukua tahadhari dhidi ya Trump na viongozi wenzie wasioaminika wa Marekani.
Anakuza heshima ya taifa lake na ndiyo maana ya MAGA, walioshusha heshima ya Amerika ni akina Biden na maswahiba wao.Wenge analo Siri ya Sufuri.Kwani Mzee huenda kasha minya mahali
 
Kwa sasa Urusi lazima akimbie, kwa sababu Ukraine na US watakutana hapo Saudia kuweka mipango sawa kuhusu madini ya Ukraine.

Na katika makubaliano yao, itapelekea US kupeleka majeshi Ukraine kwa ajili ya kulinda migodi.

Kwa mazingira hayo, Urusi atakuwa anasalimiana uso kwa uso, na mmarekani aliyepo hapo Ukraine; ambayo ni sawa na kazi bure kwa Urusi anachokipigania Ukraine kwa sasa hivi.

Kwa namna nyingine, hapa Ukraine wamemuweza Urusi.​
Afadhali sana alivyojitenga kwasababu akihudhuria atakuwa ameshuhudia na kuhesabika kama Shahidi.
 
Anakuza heshima ya taifa lake na ndiyo yana ya MAGA, walioshusha heshima ya Amerika ni akina Biden na masahiba wao.Wenge wanalo Siri ya Sufuri.Kwani Mzee huenda kasha minya mahali
Hapa kwenye barzatul munafiqiin napatwaje na wenge!?
 
Back
Top Bottom