Nilipe nisepe
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 446
- 971
Ivi mkuu ulichokiandika apa hata wewe umekielewaa??Kwa sasa Urusi lazima akimbie, kwa sababu Ukraine na US watakutana hapo Saudia kuweka mipango sawa kuhusu madini ya Ukraine.
Na katika makubaliano yao, itapelekea US kupeleka majeshi Ukraine kwa ajili ya kulinda migodi.
Kwa mazingira hayo, Urusi atakuwa anasalimiana uso kwa uso, na mmarekani aliyepo hapo Ukraine; ambayo ni sawa na kazi bure kwa Urusi anachokipigania Ukraine kwa sasa hivi.
Kwa namna nyingine, hapa Ukraine wamemuweza Urusi.
Rudia rudia kusoma mwishowe utaelewa tu!Mtoa mada ulichokiandika wewe ndo inaonekana una wenge kuliko uyo Trump.
Salaam wakuu.
Rais Donld trump wa marekani yupo kasi sana,anaunadi ukubwa wa taifa lake,anatamani kuwa na mamlaka mbele ya wenye mamlaka wenzie na anatumia nguvu na hadaa kuwaongoza viongozi wa mataifa mengine kufuata maono yake!
Kabla mzozo wake na rais Zele wa ukreine haujapoa tayati ameshadai kuwasiliana na kiongozi mkuu wa Iran Imam khomenei,madai ambayo yamekanushwa na utawala wa Iran.
Siku chache baada ya kuhitalifiana na Rais wa Ukreine akatangaza kuwa wasaidizi wake watakutana na wawakilishi wa Rais Putin wa Urusi huko Saudi arabia,tayari rais Zele kishatangulia Saudia,waziri wa mambo ya nje wa Marekani na mshauri wa masuala ya kiusalama wa rais Trump wapo hewani wanaelekea Saudia, chakushtua nikwamba Urusi imekana kuwa na taarifa za mkutano huo,kwahiyo hawatahudhuria.
Hii imeekaaje!?
Nakumbuka wiki iliyopita kiongozi Muadham wa taifa kubwa la Iran Sayid Al khomenei akiwahutubu Wairan aliiwaambia"mazungumzo na Marekani sio jambo lakujivunia,si jambo la heshima bali ni kujidhalilisha na kujidunisha na kwamba taifa la Iran halina mpango wowote wakufanya mazungumzo na Marekani mpaka pale watakapoondoa vikwazo vyao na kuacha kuitishia Iran.
Kwa khutba hiyo napata hisia kuwa huenda hata Putin na viongozi wenzie wa Urusi wamewaidhika na kuamua kula kona,kuchukua tahadhari dhidi ya Trump na viongozi wenzie wasioaminika wa Marekani.
Wewe acha porojo za masjid ubwabwa, watu weusi gani warudi makwao..!!😛😛MAGA ni code ya “white supremacy”. Kwa Trump na maswahiba wake hiyo ndiyo heshima ya Marekani.
Kichocheo kikubwa ni tishio walilopata kwa Obama kushinda uRais wa USA mwaka 2008 na 2012. Hawakutarajia kabisa; iliwatibua sana. Mengine ni vibwagizo tu. Sasa hivi wanajivunia “Trump country” na kutishia wenye asili nyingine hasa weusi kwamba “warudi kwao”.
我很明白。我也试图解释现有的现实。虽然热爱俄罗斯的人可能看不懂我写的东西。Ivi mkuu ulichokiandika apa hata wewe umekielewaa??
Uhai na ardhi ni kipi kina thamani kubwa?Kirahisi rahisi tu!?
Ameyapata si tu kwakuvuja jasho na damu,bali kwa gharama ya uhai pia.Na atakaemnyang'anya itamlazimu kugharamikia vivyo hivyo.
Kama ndyo hivyo basi kaa kwa kutulia kwa maana amechaguliwa na kura zaidi ya mil 80 za wamarekani.....ni chaguo la wamarekani.....haisaidii chochote kulmaumu humu..na haji kusoma hapa...Hapana, ni mtazamo wangu tu.
Na wewe husomi hapa!? Nimekuandikia wewe unaekuja kusoma humu.Kama ndyo hivyo basi kaa kwa kutulia kwa maana amechaguliwa na kura zaidi ya mil 80 za wamarekani.....ni chaguo la wamarekani.....haisaidii chochote kulmaumu humu..na haji kusoma hapa...
Sijui mtazamo wako!Uhai na ardhi ni kipi kina thamani kubwa?